Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Ukileta mapozi huku ndipo utaangukia.
FB_IMG_1659084567169.jpg
 
Kutoolewa katika umri fulani huja na maneno mengi, na mengi huwa hasi, ya kukera au kuumiza. Lakini je, kila kitu ni kibaya kwa wanawake ambao wamefikia umri wa miaka 35 au zaidi na bado hawajaolewa?

Wanawake wengi wasio na waume walio na umri wa miaka 35 na zaidi, wanahisi kutokuwa salama na hawana makao katika familia zao hasa katika hali ambapo wazazi na ndugu wanatoa maneno ya kejeli kuhusu useja wao.

Vyombo vya habari vya kawaida pia hutoa mawazo haya, kwa mfano katika maonesho kama vile sitcom maarufu, ‘Ngono na Jiji’ ambayo inawakilisha wahusika wakuu wa kike ambao wanazingatia sana ndoa.

Je, unaweza kuwa na furaha ukiwa single katika miaka ya 35 na zaidi? Hilo tuongee hapa.
Mtoa mada anatamani wanawake watokee katika uzi wake wakomenti kwa majuto na kulalama kuwa wanakosa jambo muhimu maishani mwao

Mtoa mada anasahau kuwa watu hawajapewa kila kitu kwenye maisha yao
 
Mtoa mada anatamani wanawake watokee katika uzi wake wakomenti kwa majuto na kulalama kuwa wanakosa jambo muhimu maishani mwao

Mtoa mada anasahau kuwa watu hawajapewa kila kitu kwenye maisha yao
Kwa hiyo unakubali Kuna upungufu sehemu?
 
Kuna mmaza ana 55 katolewa mahari, harusi ni hivi karibuni,, katika umri wowote mwanamke ana uwezo wa kuolewa kwa heshima vizuri tu
 
Kutoolewa katika umri fulani huja na maneno mengi, na mengi huwa hasi, ya kukera au kuumiza. Lakini je, kila kitu ni kibaya kwa wanawake ambao wamefikia umri wa miaka 35 au zaidi na bado hawajaolewa?

Wanawake wengi wasio na waume walio na umri wa miaka 35 na zaidi, wanahisi kutokuwa salama na hawana makao katika familia zao hasa katika hali ambapo wazazi na ndugu wanatoa maneno ya kejeli kuhusu useja wao.

Vyombo vya habari vya kawaida pia hutoa mawazo haya, kwa mfano katika maonesho kama vile sitcom maarufu, ‘Ngono na Jiji’ ambayo inawakilisha wahusika wakuu wa kike ambao wanazingatia sana ndoa.

Je, unaweza kuwa na furaha ukiwa single katika miaka ya 35 na zaidi? Hilo tuongee hapa.
nadharia tu furaha ya mtu uanzia kwake mwenyw haiitaj mtu uwe na furah ukijiic unaitaj mtu il uwe na fura bc kwa kiac fulan utakuw ushafail
 
Kuna watatu wenye umri zaidi ya huyo hivi karibuni tunakula ubwabwa,
Hiyo % unayo izungumzia Mathematical is equal to zero,kuna umri ukifika bila mtu unaweza ukaa miaka tano husipate mtongozo wowote. Wengine wamekubaliana na hali halisi wanawatafuta vijana wadogo tu wa kuwakuna maisha ya endelee.
 
Hiyo % unayo izungumzia Mathematical is equal to zero,kuna umri ukifika bila mtu unaweza ukaa miaka tano husipate mtongozo wowote. Wengine wamekubaliana na hali halisi wanawatafuta vijana wadogo tu wa kuwakuna maisha ya endelee.
Wanaume mnazungumzia Hali zetu Kwa uhakika km mmeshawahi kuwa ke vile
 
Kuna mmaza ana 55 katolewa mahari, harusi ni hivi karibuni,, katika umri wowote mwanamke ana uwezo wa kuolewa kwa heshima vizuri tu
Miaka 55 wanaenda kutaga au?
Kila raha na wakati wake bibie mrembo, mlimbwende,mlembwekeza u mzuri sana usikubali Dunia ikuhadae mpaka uote kutu ndio upate Huba toka kwa aliyekustahiri toka mwanzo.
 
Kuna mmaza ana 55 katolewa mahari, harusi ni hivi karibuni,, katika umri wowote mwanamke ana uwezo wa kuolewa kwa heshima vizuri tu
Hapo mtaalamu huyo anavizia pension ya huyo bibi kizee.

Ila hakuna pendo Wala Mapenzi ya dhati
 
Back
Top Bottom