Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoa mada anatamani wanawake watokee katika uzi wake wakomenti kwa majuto na kulalama kuwa wanakosa jambo muhimu maishani mwaoKutoolewa katika umri fulani huja na maneno mengi, na mengi huwa hasi, ya kukera au kuumiza. Lakini je, kila kitu ni kibaya kwa wanawake ambao wamefikia umri wa miaka 35 au zaidi na bado hawajaolewa?
Wanawake wengi wasio na waume walio na umri wa miaka 35 na zaidi, wanahisi kutokuwa salama na hawana makao katika familia zao hasa katika hali ambapo wazazi na ndugu wanatoa maneno ya kejeli kuhusu useja wao.
Vyombo vya habari vya kawaida pia hutoa mawazo haya, kwa mfano katika maonesho kama vile sitcom maarufu, ‘Ngono na Jiji’ ambayo inawakilisha wahusika wakuu wa kike ambao wanazingatia sana ndoa.
Je, unaweza kuwa na furaha ukiwa single katika miaka ya 35 na zaidi? Hilo tuongee hapa.
Kwa hiyo unakubali Kuna upungufu sehemu?Mtoa mada anatamani wanawake watokee katika uzi wake wakomenti kwa majuto na kulalama kuwa wanakosa jambo muhimu maishani mwao
Mtoa mada anasahau kuwa watu hawajapewa kila kitu kwenye maisha yao
Yaani ndio umeona ndio la kulisemea? Petty thinkerUshasema wanaweza ila najua wajua probability kubwa ni hawana furaha.
Koma mpuuzi wewe unakazania niolewe umekua mama yangu?!Sasa kwan me nimekukosea heshima wapi lakini mpenzi mbona unapenda kunituhumu uongo, yaani kukukazia tu uolewe nimekuwa mtu mbaya kwako?!
Ila sio kweli ulichosema hapa.
Kumbe unajijua ni mjima eeh?Sasa ndio ni ujima?.
nadharia tu furaha ya mtu uanzia kwake mwenyw haiitaj mtu uwe na furah ukijiic unaitaj mtu il uwe na fura bc kwa kiac fulan utakuw ushafailKutoolewa katika umri fulani huja na maneno mengi, na mengi huwa hasi, ya kukera au kuumiza. Lakini je, kila kitu ni kibaya kwa wanawake ambao wamefikia umri wa miaka 35 au zaidi na bado hawajaolewa?
Wanawake wengi wasio na waume walio na umri wa miaka 35 na zaidi, wanahisi kutokuwa salama na hawana makao katika familia zao hasa katika hali ambapo wazazi na ndugu wanatoa maneno ya kejeli kuhusu useja wao.
Vyombo vya habari vya kawaida pia hutoa mawazo haya, kwa mfano katika maonesho kama vile sitcom maarufu, ‘Ngono na Jiji’ ambayo inawakilisha wahusika wakuu wa kike ambao wanazingatia sana ndoa.
Je, unaweza kuwa na furaha ukiwa single katika miaka ya 35 na zaidi? Hilo tuongee hapa.
Tuchape kazi..Ni Mtazamo Tu....
Lazima una tatizo kubwa ama ni jeuri sana una kiburi.Sasa unabisha .....we endelea kubisha......Wala hakuna shida
Tukimtanguliza Mungu MbeleTuchape kazi..
Kama hao uliwa shuhudia wagapi?Kuna mmaza ana 55 katolewa mahari, harusi ni hivi karibuni,, katika umri wowote mwanamke ana uwezo wa kuolewa kwa heshima vizuri tu
Kuna watatu wenye umri zaidi ya huyo hivi karibuni tunakula ubwabwa,Kama hao uliwa shuhudia wagapi?
Sio wanabariki ndoa hao?Kuna mmaza ana 55 katolewa mahari, harusi ni hivi karibuni,, katika umri wowote mwanamke ana uwezo wa kuolewa kwa heshima vizuri tu
HapanaSio wanabariki ndoa hao?
Hiyo % unayo izungumzia Mathematical is equal to zero,kuna umri ukifika bila mtu unaweza ukaa miaka tano husipate mtongozo wowote. Wengine wamekubaliana na hali halisi wanawatafuta vijana wadogo tu wa kuwakuna maisha ya endelee.Kuna watatu wenye umri zaidi ya huyo hivi karibuni tunakula ubwabwa,
Wanaume mnazungumzia Hali zetu Kwa uhakika km mmeshawahi kuwa ke vileHiyo % unayo izungumzia Mathematical is equal to zero,kuna umri ukifika bila mtu unaweza ukaa miaka tano husipate mtongozo wowote. Wengine wamekubaliana na hali halisi wanawatafuta vijana wadogo tu wa kuwakuna maisha ya endelee.
Ndio ukweli wenyewe halafu wanatembea na vijana wadogo ambao hawana vifua.Wanaume mnazungumzia Hali zetu Kwa uhakika km mmeshawahi kuwa ke vile
Miaka 55 wanaenda kutaga au?Kuna mmaza ana 55 katolewa mahari, harusi ni hivi karibuni,, katika umri wowote mwanamke ana uwezo wa kuolewa kwa heshima vizuri tu
Hapo mtaalamu huyo anavizia pension ya huyo bibi kizee.Kuna mmaza ana 55 katolewa mahari, harusi ni hivi karibuni,, katika umri wowote mwanamke ana uwezo wa kuolewa kwa heshima vizuri tu