Naachaje kukushirikisha sasa jamani. Unajua kwanza wee ni mwanamke mrembooo na smartKamle, bila kunishirikisha,,,,mxiewww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naachaje kukushirikisha sasa jamani. Unajua kwanza wee ni mwanamke mrembooo na smartKamle, bila kunishirikisha,,,,mxiewww
Itategemea kama una hela au hauna.....Kutoolewa katika umri fulani huja na maneno mengi, na mengi huwa hasi, ya kukera au kuumiza. Lakini je, kila kitu ni kibaya kwa wanawake ambao wamefikia umri wa miaka 35 au zaidi na bado hawajaolewa?
Wanawake wengi wasio na waume walio na umri wa miaka 35 na zaidi, wanahisi kutokuwa salama na hawana makao katika familia zao hasa katika hali ambapo wazazi na ndugu wanatoa maneno ya kejeli kuhusu useja wao.
Vyombo vya habari vya kawaida pia hutoa mawazo haya, kwa mfano katika maonesho kama vile sitcom maarufu, ‘Ngono na Jiji’ ambayo inawakilisha wahusika wakuu wa kike ambao wanazingatia sana ndoa.
Je, unaweza kuwa na furaha ukiwa single katika miaka ya 35 na zaidi? Hilo tuongee hapa.
Simple, ndoa zimetengenezwa na binadamu.Dah hii Leo ni Kali ya mwaka[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Embu nitoe tongotongo kwa nini unasema sio jambo la asili?
Dah sasa ulitarajia zitengenezwe na majini?Simple, ndoa zimetengenezwa na binadamu.
Mbona hueleweki. Nilikuwa najibu swali lako kama ndoa ni asili. Tuliza akili zako kama unataka tuendelee na huu mjadala.Dah sasa ulitarajia zitengenezwe na majini?
Ulitaka mahitaji yao ya kimwili yakidhiwe na matango?
au wapandane bila utaratibu?
Unafiki tu, huyu asiolewa mahitaji yake ya kimwili hapati?
kama anapata ndio utaratibu wa jamii ulivyo?
Watoto wanaozaliwa na baba wa kuunga na bluetooth hawaathiriki?
Unafikiri kwa nini watoto walelewao na single parents wana changamoto zaidi?
Inawezekana kabisa. Mwanaume kwa wiki anaruka hata siku nne za wiki. Tena kuna wengine wana a very high drive anaruka siku saba za wiki hadi mwanamke anaomba Pooh kama hujui uliza. Na hapo mtu hatumii madawa wala nini ni mwili na chakula vinafanya kazi yake.Jaribu kufikiria nje ya box unaamini mwanaume anaweza kuwaridhisha kimwili wanawake nne? Inawezekana sana watu wawili waka date for life bila ndoa. Suala la watoto siyo issue kabisa sababu siyo kila mtu anataka watoto. Naomba nikujulishe kitu siyo kila kitu kinachokubalika na jamii ni sawa. Kuna muda Jamii ilikuwa inakubali utumwa na ndoa za watoto.
UNATOMBWA?I'm 34 single ,na enjoy life no tress ,,and life is so beautiful..........hakuna mashaka....sijawa bibi,ndo kwanza as beautiful as creopatra...
Maamuzi yasiyo na faida na jamio hayafai kuheshimiwa. Mfano unatushauri tuheshimu watu wazima wanaobaka watoto, mashoga, wezi, watu wanaovaa nguo utupu. Haya yote ni maamuzi binafsi ila yana madhara kwa jamii.Kwamba Dunia yako imepitwa na wakati na si promote uzinzi nasisitiza umuhimu wa kuheshimu maamuzi, uhuru na haki za wanawake.
UNATOMBWAGA?Yaani wewe ndio unafit perfectly nilivyodescribe hapo juu...
Mnataka tuwe watu waku feel sorry for ourselves, sad, tulie...
Mkikuta hali ni tofauti,napo hamuamini,,,
Mnakuja na story za kujifanyisha, kwamba tunajifanyisha tuko strong...
Yote ni sababu mnaamini kutokuolewa ni kitu cha kinyonge, mtu lazima afeel sad,
Bro huwezi kujua perfectly kutokuolewa kuna feel aje,....
Zote ulizonazo ni imaginations/assumptations tu...
Again, there's no guilty about it, and there's no kujifanyisha strong either...
Kabisa mkuu. Umenyoosha maelezo vizuri kabisa.Hujui saikolojia ya watoto wewe,mtoto anapotambulishwa kua huyu ni ANKO wako,then baadae anakuja ghafla anaingia sebuleni,anakuta mmehamia chumbani,nadhani ataona kawaida?Wiki ijayo anatambulishwa ANKO mwingine,hujui mtoto ata-reason?
Wewe kwa confidence unayokua nayokisa saikolojia ya Mtoto huijui,utahitimisha kua ATAONA kawaida.Kuna watoto inafikia kipindi hadi huwa wana-riakti kwa kutowakubali mababa,wanaokujakuja kwa mama zao.Bear in you mind,mtoto anajifunza zaidi kwa vitendo,siyo kwa kuambiwa.
DuuhAcha wateseke wangese hao wanaliwa sana wakiwa toka wadogo umri huo wengi ukipiga shoo ni unaelea tu hamna lolote, mwanamke 20+ wanakuwa mabibi tayari bondeni huko mtaa wa K-Vant ndio mkute kazaa au katoa mimba kama zote mbinue vipi ndio kwanza asubiri ujimalizie tu. Mlango wa uani ndio ovyo miharufu kama yote, mapaja mikovu kama yote sijui misukule
Unatombeaga madamLugha yako chafu uliyotoa humu kwenye hii topic, inanifanya nisi argue na wewe, please usini quote, no time to argue with fools.
Reality ni kuwa as you age you will loose alot as a woman who purposefully choose not to be married by making up excuses and lies.And what is reality in this context/topic hii??
So what, so ufanye makaratee tucheze ngololo harusi yako acha kuleta viswahili hapa mpendwa. Utaolewa tu.And so what?
Sio nonsense ni ukweliNONSENSE, unadhania ukiandika mautumbo yako yasio na substance kisha ukaweka reference kwa kutumia mimi ndio itaipa hoja yako uzito??? ngumbaru tu wewe..
Wewr una lako sio bure.jamani mbona kama mnamu-attack huyu dada Anita ilhali kila mmoja anaelezea hisia zake kwa mtazamo wake?sidhani kama ni sahihi kama kuna ambao wameolewa kabla ya kufika hyo 35 hongera zao na kama kuna ambao hawajaolewa na wanaona hamna wanachopungukiwa basi waacheni hamna haja ya kumuandama namna hyo
Ulishawahi kusikia wanyama wanafunga ndoa?!Simple, ndoa zimetengenezwa na binadamu.
Hawa ndio wa atuletea mapanya road na wadangaji huku mitaaniDah sasa ulitarajia zitengenezwe na majini?
Ulitaka mahitaji yao ya kimwili yakidhiwe na matango?
au wapandane bila utaratibu?
Unafiki tu, huyu asiolewa mahitaji yake ya kimwili hapati?
kama anapata ndio utaratibu wa jamii ulivyo?
Watoto wanaozaliwa na baba wa kuunga na bluetooth hawaathiriki?
Unafikiri kwa nini watoto walelewao na single parents wana changamoto zaidi?