Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Dah hii imekaaje?


Click [emoji115]
 
Dah hii imekaaje?

Screenshot_20220912-145016_Chrome.jpg
 
Kwamba Dunia yako wewe ni ya kichuguu?
Inawezekana ila tambua adhabu endapo nitakufumania?
Inaonyesha unapenda uzinzi na kupromote uzinzi hivyo huoni shida watu kufanya ngono ila Ndoa unaipiga vita.
Kwamba Dunia yako imepitwa na wakati na si promote uzinzi nasisitiza umuhimu wa kuheshimu maamuzi, uhuru na haki za wanawake.
 
Kwamba Dunia yako imepitwa na wakati na si promote uzinzi nasisitiza umuhimu wa kuheshimu maamuzi, uhuru na haki za wanawake.
Uhuru una mipaka.....................................................................
mpaka wa kwanza ni kufuata sheria za kimaumbile za asili zinavyofanya kazi.
Kwa nini? usipinge mapenzi kabla ya Ndoa.kila chaguo lina matokeo yake na hili unalo sapoti lina matokeo mabaya zaidi.
 
Mi nashangaa wanawake wote tuliosoma nao sekondari sasa hivi, 65% ni singo maza. Kipindi kile walikuwa wanaringa, lakin sasa hivi wao ndo wanaotutongoza. Yaani unajipigia bure tu wamejaa nyege mpaka basi. Yaani kwenye magroup ya WhatsApp ya alumni unachagua unapiga mmoja mmoja unavyotaka. Jua la jioni sasa hivi hakuna mtu anawataka. Kweli kuwa mwanamke baada ya umri flani noma sana. Maringo yote kwisha
 
Acha zako wewe, hao watoto wanajionea kawaida, kwani huyo mamake anakazana na hao wanaume mbele ya macho yake, si ni huko vyumbani, tatizo mmeklemu mitazamo mnadhani dunia nzima inatazama mambo sawa, kumbe dunia hii siku hizi kila mtu ana mitazamo yake
Hujui saikolojia ya watoto wewe,mtoto anapotambulishwa kua huyu ni ANKO wako,then baadae anakuja ghafla anaingia sebuleni,anakuta mmehamia chumbani,nadhani ataona kawaida?Wiki ijayo anatambulishwa ANKO mwingine,hujui mtoto ata-reason?
Wewe kwa confidence unayokua nayokisa saikolojia ya Mtoto huijui,utahitimisha kua ATAONA kawaida.Kuna watoto inafikia kipindi hadi huwa wana-riakti kwa kutowakubali mababa,wanaokujakuja kwa mama zao.Bear in you mind,mtoto anajifunza zaidi kwa vitendo,siyo kwa kuambiwa.
 
Acha zako wewe, hao watoto wanajionea kawaida, kwani huyo mamake anakazana na hao wanaume mbele ya macho yake, si ni huko vyumbani, tatizo mmeklemu mitazamo mnadhani dunia nzima inatazama mambo sawa, kumbe dunia hii siku hizi kila mtu ana mitazamo yake
Hakuna mtoto wa kiume anaye furahia Hilo jambo tusidanganyane.
 
Uhuru una mipaka.....................................................................
mpaka wa kwanza ni kufuata sheria za kimaumbile za asili zinavyofanya kazi.
Kwa nini? usipinge mapenzi kabla ya Ndoa.kila chaguo lina matokeo yake na hili unalo sapoti lina matokeo mabaya zaidi.
Ndoa siyo asili ni utaratibu umewekwa na binadamu. Narudia tena jaribu kufikiria hili suala kama mtu huru.
 
Pamoja na yote mwanamke akishafika 35yrs na kuendelea bila ndoa ni mtihani hasa,kuna mmoja nilikuwa napigapiga mtaani siku kanipeleka kwake mtoto wake mdogo umri 8yrs akaambiwa msalimie Anko,yule mtoto akauliza huyu Anko mbona hana pikipiki kama Anko wa jana?halafu mama nina Anko wangapi? yule wa gari siku hizi haji kwa nini?
Niliondoka bila kuaga
 
Ndoa siyo asili ni utaratibu umewekwa na binadamu. Narudia tena jaribu kufikiria hili suala kama mtu huru.
Dah hii Leo ni Kali ya mwaka[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Embu nitoe tongotongo kwa nini unasema sio jambo la asili?
 
Seeing things is one thing and reality ni another thing,,, una force your perception iwe reality kitu ambacho ni impossible,,

6 itaonekana 9 ukiwa upside down but haibadili the fact kwamba ile ni 6
And what is reality in this context/topic hii??
 
Atakwambia sex ni starehe. Hawa wanaofika hadi miaka 40 hawajitambui hawa huwa ni changamoto kweli kweli.

Unajua yale mafunzo ya unyagoni yalikuwa yanasaidia sana. Mabinti wanaambiwa purpose ya sex kuwa kwanza ni kwajiri ya kuleta mtoto so ukiwa unalala na mwanaume jua direct au indirect unatafuta mtoto.

Pili ni tendo la starehe sababu lina ambatana na raha ya mwili ila si starehe ya kujiachia pale kama haupo katika mkataba wa ndoa.

Sasa hii sampuli ya Anita Makirita wamepitwa na hilo somo la awali. Wao wanaingage kwenye sex kufurahisha mwili tu na wanahisi mahusiano ni entertainment kama kwenda club, au kuogelea, au kwenda fiesta.

Ndio sababu hawaoni shida kuacha mahusiano yakiwa katikati na kuruka na mtu mwingine kutafuta ile excitement ya kimahaba sijui kutoana out, kuleteana mauwa, kufanya sex mara saba kwa siku sababu mahaba yamekolea. Hii inawapa akili ya kutotulia na mtu m'moja na matokeo yake wakisikia ndoa wanaona kama wanaambiwa waache tabia zao za kurukaruka kama kicheche na kuwa na mahusiano mapya kila baada ya muda fulani.





Sent using Jamii Forums mobile app

NONSENSE, unadhania ukiandika mautumbo yako yasio na substance kisha ukaweka reference kwa kutumia mimi ndio itaipa hoja yako uzito??? ngumbaru tu wewe..
 
jamani mbona kama mnamu-attack huyu dada Anita ilhali kila mmoja anaelezea hisia zake kwa mtazamo wake?sidhani kama ni sahihi kama kuna ambao wameolewa kabla ya kufika hyo 35 hongera zao na kama kuna ambao hawajaolewa na wanaona hamna wanachopungukiwa basi waacheni hamna haja ya kumuandama namna hyo
 
Back
Top Bottom