Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Exactly ni makubaliano na preferences. Kama kuna wanawake wanapenda kuolewa kama kikundi iliwapate faraja basi tambua kuna wanawake hawapendi kuolewa au hawana haraka ya kuolewa. Heshimuni maamuzi ya watu especially kama hayawahusu.
Hakuna hiyo haiwezi kuapply kwenye huu mjadala. Wewe unaishi bila kuolewa ni nani unakutana nae kimwili?!

Huna haja za kimwili, na je huku na kule akapatiakana mtoto huoni kuwa mtoto atalipia maisha yake yote kuumia kuishi bila familia ya kueleweka sababu mama alikuwa mbinafsi alikuwa haheshimu Ndoa.

Kwa taarifa yako mwanamke kuolewa na wenzake ni jambo ambalo si tatizo na jamii inajua maana hata dini zinatambua ndoa ya wake zaidi ya m'moja.

Sasa wewe uje ufananishe na kuwa msimbe miaka yako yote bila sababu za kimsingi?!
 
Hakuna hiyo haiwezi kuapply kwenye huu mjadala. Wewe unaishi bila kuolewa ni nani unakutana nae kimwili?!
Jaribu kufikiria nje ya box unaamini mwanaume anaweza kuwaridhisha kimwili wanawake nne? Inawezekana sana watu wawili waka date for life bila ndoa. Suala la watoto siyo issue kabisa sababu siyo kila mtu anataka watoto. Naomba nikujulishe kitu siyo kila kitu kinachokubalika na jamii ni sawa. Kuna muda Jamii ilikuwa inakubali utumwa na ndoa za watoto.
 
At least wewe dada umetoa hoja nzuri. Umeongea jambo la kuwasaidia wanawake wenzako. Ila sio hawa wakuda wengine wanaojaribu kutetea eti ni kawaida na aina shida wakati wenzao wanateseka na kufedheheshwa na haya maisha ya usingo.

Asikwambie mtu nje ya ndoa mtoto wa kike anapatwa na fedheha na mateso mengi.

Ndio maana tunakemea hapa ili hivi vibinti vya umri wa miaka chini ya 23 vijifunze na kujua huku mbeleni hakuna faraja wala kutetewa ni mwendo wa spana na kunangwa hadi adabu iwashike.

Sisi tunawapenda dada zetu ndio maana tunawasema kila uchwao. Achaneni na haya majinga yanayosema tusiwaseme wanawake tunawapa stress. Haya majinga ndio yamesababisha mabinti wanazalishwa hovyo sababu ya ile dhana mbaya kuwa mtoto wa kike hasemwi au hakemewi anapokosea.

Zamani watoto wa kike kitendo cha kuvaa nguo za kukosa maadili anasemwa kama kauwa mtu siku hizi mabinti wanavaa nyavu inaonyesha kila kitu cha ndani anapanda boda boda anajiachia kwenye barabara huko wanawake wenzake mnakaa kimya wanaume wanachekelea na wale wanaochukizwa wanashindwa kusema. Haya mambo yanazidi kuongezeka, sasa mnataka tucheke.

Ukiona mtu umri umefikia 35+ hayupo katika mahusiano serious nakuapia hapa asilimia 99% ni yeye. Miaka 35+ amekutana na wanaume wangapi kwa idadi?!


Wangapi walionyesha nia ya kumtaka kimaisha akasema hapana mimi nina mipango yangu kwanza. Leo wanajifanya ooooh mipango ya MUNGU, MUNGU gani huyo wanaemzungumzia.

Juzi tu hapa napita mtaa fulani nimekutana na mabinti wazuri sana rika la 22,nikawasimamisha kuwasalimia na kuwauliza jambo, walinipita kama ni mchina ameongea kichina na watu ambao ni mabubu na viziwi. Yaani ile dharau ya dry. Dah nikasema kwasababu "subirini mfike miaka 30 na hizo dharau zen"[emoji23][emoji23]

Wakacheka kile kicheko cha umetuchekesha balaa nikasikia m'moja anawauliza wenzake " Amesemaje? "

Sasa hawa wasipotoboa baade hadi 35+ kimahusiano lazima tuwakalie kooni.



Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza usielewe tunachojaribu kukwambia, ila kama umeshapata mtoto wa kike, yatamkuta kisha utaona kama utaweza kuhimili kumpiga spana mtoto wako mwenyewe. Ikiwezekana upate mfano hai wa mtu wako wa karibu, ili uweze kuona ule upande usiotaka kuuangalia.
 
Kwa mila za Kiafrka wanawake huolewa, na sio kuoa.

Sasa kama wanaume wa kuwaoa hawapo/hawajajitokeza; Sina sababu yoyote ya kuwalaumu wale ambao hawajaolewa ukichukulia pia kuwa; wanawake ni wengi kuliko wanaume.

Kuhusu kushare experience; Kimsingi watu hujifunza kuishi kutokana na hali yao hata hivyo hakuna njia moja ambayo ni sahihi kwani hutegemea mambo mengi; ikiwepo uwezo wa kifedha, support anayopata kwenye familia, mji au eneo anapoishi, marafiki nk

Mwanamke huingia menopause kwenye 45yrs hivi, hivyo 35 bado ni umri mzuri tu wa kuolewa!
Hata nikihitaji mke wa pili huo umri ni moja ya kigezo muhimu kwani wengi wao wapo matured na wanajitambua

Hehe ! Hawaolewi kama mayai, wanachaguliwa
 
Jaribu kufikiria nje ya box unaamini mwanaume anaweza kuwaridhisha kimwili wanawake nne? Inawezekana sana watu wawili waka date for life bila ndoa. Suala la watoto siyo issue kabisa sababu siyo kila mtu anataka watoto. Naomba nikujulishe kitu siyo kila kitu kinachokubalika na jamii ni sawa. Kuna muda Jamii ilikuwa inakubali utumwa na ndoa za watoto.
Kwa nini ashindwe?

Kama huna nguvu ni wewe na Hilo ni tatizo lako, tafuta dawa upone[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Kisaikolojia Kuna umri mwanamke uhitaji mtoto akikosa utaona anabeba midoli na inafikia hatua mbaya anaanza kulala nayo na kuiongelesha.

Huko kudate ni kuzini na ni chukizo kwa Mungu, tambua hilo kijana
 
Unaweza usielewe tunachojaribu kukwambia, ila kama umeshapata mtoto wa kike, yatamkuta kisha utaona kama utaweza kuhimili kumpiga spana mtoto wako mwenyewe. Ikiwezekana upate mfano hai wa mtu wako wa karibu, ili uweze kuona ule upande usiotaka kuuangalia.
Hiyo haiondoi ukweli kwa kile alicho waeleza.

Kwa hiyo binti yako utamdekeza ili aharibikiwe?
 
Sisi wanaume,kuoa ni muhimu,na Hawa wadada kuolewa ni muhimu.Hivi mdada ambaye umri umeanza kusonga,akiwa hajaolewa,jamii unadhani inamchukuliaje?

Ukute mdada ana mtoto kabisa,daah! yaani mtoto anakua anaumia kisaikolojia sana,hasa pale anapoona akina anko wa kila aina,wanatembea na mama yake, naturally huwa watoto wanajisikia vibaya.Oleweni,akina dada,angalia kinachokukwamisha usiolewe,jirekebishe,hali kadhalika na sisi wanaume,tuoe,ila tuoe wanaojitambua,wale wasiojitambua,tuwatimizie haha zao kwa kuwafanya michepuko huku tukiwashauri waolewe.
 
Kwa nini ashindwe?

Kama huna nguvu ni wewe na Hilo ni tatizo lako, tafuta dawa upone[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Kisaikolojia Kuna umri mwanamke uhitaji mtoto akikosa utaona anabeba midoli na inafikia hatua mbaya anaanza kulala nayo na kuiongelesha.

Huko kudate ni kuzini na ni chukizo kwa Mungu, tambua hilo kijana
Mr. Power tunaishi dunia mbili tofauti huwezi kunielewa hadi siku ukigundua hata mke wako huyo mmoja ni demu wetu pia.
 
For my experience kudate na 37 and Above. Ukikuta mwanamke Yuko above that age na Hajawahi kuolewa na Hana mtoto wengi wao wako total desperate na anaweza akafanya lolote kwa mwanaume ili mradi waishi wote au waoane.wengi wao they pretend kuwa wako strong bila mwanaume lakin in reality wako too desperate na Hawa wengi historia zao nyuma walikuwa na expectations kubwa Sana mahusiano na wakidate na watu wenye fedha au walitarajia watu hao. Ila akishavuka 45 hajaolewa na Hana mtoto basi wengi wanagive up completely about ndoa...SASA Ukikuta 37 and above aliolewa akaachika au kazalishwa I mean single mother wengi hawana intension Sana na mapenzi wao wanawaza namna atakavyomlea mwanae na mipango mingine ya maendeleo akija kwako ataonekana kweli anataka mahusiano lakini hitaji lake kuu ni apate utulivu au fedha kujenga familia yake...NOTE..wengi age hii and above utelezi hakuna unajiongeza na mafuta..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo maana nikasema hivi huna uwezo wa kujadiliana na mimi sababu hata maana za maneno huzijui. Hakuna tusi hapo nililo tukana, sisi Waswahili tunajua matusi ni nini, sasa unapoambiwa mjinga na kweli umjinga hujatukanwa bali umepewa stahiki yako.

Umetumia tena tamko "Mnafiki" mahala si pake sababu tukichambua neno hilo mimi sina alama za unafiki. Nakuita tena wewe ni mjinga na ni mjinga kweli, hii ni sifa yako.

Sasa usilazimishe ukweli ukauita matusi hili haliwezekani hata ubinuke.
Don't ever argue with a woman especially when she is in panic mode!.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Mr. Power tunaishi dunia mbili tofauti huwezi kunielewa hadi siku ukigundua hata mke wako huyo mmoja ni demu wetu pia.
Kwamba Dunia yako wewe ni ya kichuguu?
Inawezekana ila tambua adhabu endapo nitakufumania?
Inaonyesha unapenda uzinzi na kupromote uzinzi hivyo huoni shida watu kufanya ngono ila Ndoa unaipiga vita.
 
Back
Top Bottom