whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Nitake radhi mkuu umeniita takatakašutakutana na takataka au mabaki ya wanaume katika umri huo wenye matatizo ya kila aina katika past relationships zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitake radhi mkuu umeniita takatakašutakutana na takataka au mabaki ya wanaume katika umri huo wenye matatizo ya kila aina katika past relationships zao.
Mkuu mbona umekasirika? Majadiliano yalikuwa mazuri sana. Ama ukweli umekuumiza.Hahahaha, lol, wapo hapo hapo kwenu,tena ukute wengine wamezalia hapo hapo...
Walikwenda kula uzazi ila sio kuishi. Wana miji yao. Kama hauamini njoo Dm nitakutambulisha kwa familia yangu uijueHahahaha, lol, wapo hapo hapo kwenu,tena ukute wengine wamezalia hapo hapo...
Bila picha hii ni storyI'm 34 single ,na enjoy life no tress ,,and life is so beautiful..........hakuna mashaka....sijawa bibi,ndo kwanza as beautiful as creopatra...
Mkuu akija pm hakikisha na mtongozo unapita humo humo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Walikwenda kula uzazi ila sio kuishi. Wana miji yao. Kama hauamini njoo Dm nitakutambulisha kwa familia yangu uijue
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna pipoz humu kwenye forum utadhan hazijafuta umande, just discussions but zinapanik kweli kweli.Afu mama yangu sidhani kama alistaili kuingizwa hapa dadaš
"nikitaka mechi natafuta kiwanja chochote naenda kuchakachua."Umuhimu wa ndoa kwangu ni kwasababu Sipendi Uzinzi na kuzaa hovyo kila mtoto na baba yake. Nje ya hapo sioni umuhimu wa ndoa.
Ningezaa na mwanaume mmoja kila mmoja na maisha yake tusaidiane kulea nikitaka mechi natafuta kiwanja chochote naenda kuchakachua. Maisha ya ndoa ni utumwa tu.
ššššššKuna pipoz humu kwenye forum utadhan hazijafuta umande, just discussions but zinapanik kweli kweli.
Kuna mtu yupo mentioned na kila memba anayechangia huu mjadala kwa panik zake sasa tutashindwa kubadilishana mawazo kwakuhofia kuwachafulia mood baadhi ya wachangiaji.
Kwa kawaida ukiona mtu anapanik tena anakua kama mbogo jua lipo tatizo au mada inamuhusu na imemgusa kunako.
ya nini kucharukiana hivyo na hamjuani , mitandao ukiichukulia serious unaweza ishi kwa stress , mtu ishi maisha yako mambo yote ni ubatili na kujilisha upepo , kula vaa , pumzika furahia maisha , epuka watu wapo negative.Saikolojia ipi mkuu???
Weka references to the book ama websites tuone huo mtindo au mwili wa binadamu unavyofanya kazi asipoolewa....HAHAHHAHAH
Ataweza kuka bila kuzini? Kama kweli hajawahi kulichezea rungu la kipepe ana asilimia kubwa y kukaka bila mwanaume, ila kama alishwahi kuonja utamu wa rungu hawezi kukaza lazima atalitafuta kwa gharama yoyote.Who told you kuwa mwanamke anatakiwa aishi na mwanaume ?Mwanamke anaweza ishi na mwanaume na anaweza ishi peke yake pia. Yesu mwenyewe aliishi peke yake. Paul anasema kabisa anatamani wanaume waishi peke yao. Ila.sababu ya matamanio so kila mwanaume awe na mwanamke wake. So mwanaume anaweza ishi peke yake,mwanamke pia anaweza ishi peke yake .
Unaona sasa wanawake mlivyo na roho mbaya kwa wenzenu? Unasema kitu kibaya yet bado upo nacho.
Ni sawa na mtu ununue gari halafu uwaambie wenzako kumiliki gari ni kutiana umasikini usinunue, halina faida zaidi ya kukupeleka mjini, kukupa privacy, kukupa usalama, kukupa heshima katika jamii na kukupunguzia gharama za usafiri na mizunguko![]()
![]()
![]()
![]()
Yaani hapo"nikitaka mechi natafuta kiwanja chochote naenda kuchakachua."
Hiyo paragraph yako ya pili tayari ushakiri kwamba wewe ni MTUMWA ni ngono.
Kuna kipindi binadamu huhitaji ngono, bali unahitaji MWANDANI WAKO mtu wa kukufariji unapopitia magumu ya dunia, mtu wa kukutia moyo na mtu wa kuwa nawe kukuondolea upweke.
Kama hujui upweke unaua na kukuongezea msongo wa mawazo.Ila sio mbaya kama umeamua kuwa chama la wana dunia ni yako chaguo ni lako.
Ila si shangai wengi wenu mpo hivyo, vijana wengi kitaa wanaruka nanyi, siUsipende kusemea moyo wa mtu!"nikitaka mechi natafuta kiwanja chochote naenda kuchakachua."
Hiyo paragraph yako ya pili tayari ushakiri kwamba wewe ni MTUMWA ni ngono.
Kuna kipindi binadamu huhitaji ngono, bali unahitaji MWANDANI WAKO mtu wa kukufariji unapopitia magumu ya dunia, mtu wa kukutia moyo na mtu wa kuwa nawe kukuondolea upweke.
Kama hujui upweke unaua na kukuongezea msongo wa mawazo.Ila sio mbaya kama umeamua kuwa chama la wana dunia ni yako chaguo ni lako.
Ila si shangai wengi wenu mpo hivyo, vijana wengi kitaa wanaruka nanyi, sio mbaya wana nao wanasuuza rungu aka kitonga.
Unaongea kama choir boy..blah blah nyingi. Hii mifumo inabadilika anytime ndugu yangu narudia toka hapo Tanzania tembea nchi nyingine utagundua kuna mifumo mingi ya maisha zaidi ya ndoa. Nipo curious una support ndoa za kiislamu za wake wa nne?Huwezi kuijua Dunia maana ina mambo mengi. Kuna maswali nikikuuliza hapa hautaweza nijibu maana utatambua kuwa hakuna unachojua kuhusu topic nitayokuuliza.
Kimisingi maisha kwa ujumla wake yanaundwa na mifumo miwili, ya kujenga na kubomoa.
Huo mfumo unaousemea wewe ni wa kubomoa na jamii ya sasa ndio inabomoa. Watakaokuja kulipia gharama ya uharibifu wetu ni watoto na wajukuu wetu.
Hujui madhara ya maisha nje ya mfumo rasmi wa ndoa na familia ni vema ukauliza. Ila sio unakuja hapa unaunga mkono mfumo wa uharibifu halafu unataka kuhalalisha hoja yako kuwa ni halali kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Seeing things is one thing and reality ni another thing,,, una force your perception iwe reality kitu ambacho ni impossible,,Number moja; wengi mliojibu ni wanaume mnapinga vikali kuwa kuna wadada walio accept maybe marriage is not at the moment for them, and they are to focus on other things. let me tell you something; you are not a woman and second you are NOT above 35, iweje mjue zaidi what goes in these women's minds ama what it feels kutokuolewa kama nyinyi sio wanawake na sio wenye group lililotajwa (above 35),???
Number two;Sijui backgrounds zenu ila kwenye social sciences tunaambiwa huwezi kupata unified answer when it comes to people's perceptions. Namaanisha huwezi ku measure ATTITUDES za watu towards something then ukapata jibu moja kuwa wote ni A ama wote ni B,, never. lazima kutakuwa na degree of variability hata kama ni kidogo. So nyinyi mnaoexpect sijuii wanawake WOTE tunaumia au tuumie tusipoolewa,mtakuwa na hitilafu kwenye ubongo!
Tatu; NOT everybody sees things in the same lens as you do and what you construct of the world as to be ideal is not and is not expected to be every body 's construct.
Tchao.
Ntampa penzi hata amini kama ana miaka 39Mkuu akija pm hakikisha na mtongozo unapita humo humo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ili kesho aje na mada za kusifia ndoa
Sio blah blah hoja ni za msingi. Hizo unazoita ndoa za kiislam za wake wa nne ni mojawapo tu ya ndoa ila hata before uislam kuwa introduced mababu zetu walikuwa wanaoa wake zaidi ya 4 wanaoa hadi 12.Unaongea kama choir boy..blah blah nyingi. Hii mifumo inabadilika anytime ndugu yangu narudia toka hapo Tanzania tembea nchi nyingine utagundua kuna mifumo mingi ya maisha zaidi ya ndoa. Nipo curious una support ndoa za kiislamu za wake wa nne?
Exactly ni makubaliano na preferences. Kama kuna wanawake wanapenda kuolewa kama kikundi iliwapate faraja basi tambua kuna wanawake hawapendi kuolewa au hawana haraka ya kuolewa. Heshimuni maamuzi ya watu especially kama hayawahusu.Sio blah blah hoja ni za msingi. Hizo unazoita ndoa za kiislam za wake wa nne ni mojawapo tu ya ndoa ila hata before uislam kuwa introduced mababu zetu walikuwa wanaoa wake zaidi ya 4 wanaoa hadi 12.
So ni makubaliano tu. Kuna wanawake wanapenda kuolewa na wenzake wanaona ni faraja. So it depends na mke kama anataka ama la.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoa siyo kila kitu.Watu bhana. Unataka kusema nini??