Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Alafu ukiwa unatoa disvalues kuhusu discussion za hapa usipende kuwataja wamama,
Huoni kwamba unajidhalilisha nakudhalilisha jinsia ya kike kwa ujumla.wataje wanaume sawa mpendwa.
Mfano ungenambia mimi ''MJINGA BABA ANGU''ingependeza sana.
MJINGA baba yako,mama yako na wewe mwenyewe...FURAHI BASI?!
 
Sizan Kama Kuna mwanamke mzma kiafya na kiakili akawa hataki kuolewa!!! Ila sema weng wao wanataftaga mwanaume mweny class furan na wa daraja la chini hataki.
Umejibu vizuri sana, most of the ladies wanakuaga na stupid mind hasa kwenye ages ya 21-30yrs yani
Siongei kwa kusikia bali hata mimi yamenikuta nikiwa nasoma bweni ukirudi kitaa unatongoza demu kisa pc kali inajikuta keki kinyama, mjuba nikampotezea nikatoboa School advance, nafika chuo nashangaa ghafla simu, nikapokea anajitambulisha mi fulani nikaanza nae nikaoa ndio mke wangu,
juzi narudi job nakuta anasimulia ujinga wake ati anawakanya watoto.mwanaume nikashindwa kujikaza nikampa maneno yake palepale sikumbakisha kudadeki zake.
 
Wewe ni asexual? Hao Ace ni wangapi in a million katika jamii? Halafu kuna comment moja ya Samcezar ameelezea kuhusu lesbos Kwamba hamna jambo la hivyo bali ni ugonjwa wa akili tu! Akija mwenyewe atakutag!! Ukipigwa pu*mbu vizuri hakuna cha ulesbo wala nini!! Oleweni acheni vizisingizio!! Itasaidia katika ujenzi wa taifa!! Maendeleo ya taifa lolote basic yake ni kuanzia kwenye family level!! Ebo
Wanakuja na vihoja vya kuchomelea hapa vya kizungu upuuzi mtupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kuzunguka mbuyu mpuuzi wewe, posts zako zote umeziframe kuni attack, ziangalie tena mpuuzi tu wewe sijui huoni tangia uanze kuniattack kuwa anita ni 39 years of age na good thing about this is age to her has come with maturity, she knows kuna wajinga wajinga mnaochukia wanawake na wenye mawazo ya Kijima, hivyo ku attack ni kawaida yenu….humbabaishi!

Nimeongea vitu vitatu, moja Anita being a woman and being kundi lililotajwa ,nimetoa my own perspective as the topic is relevant to me,sasa wewe unayekuja na msimamo tofauti wangu unanipinga kwa basis zipi, na wakati hujawahi kuwa mwanamke wala kuwa above 35?

Mbili ku measure attitudes za watu huwezi kuja na jibu moja, sababu tuko tofauti, tuna upbringing tofauti, exposure tofauti n.k sasa topic imelenga kujua attitudes zetu sisi wanawake kuhusu ndoa,tumekuja tofauti kuna wanawake wanaona si sahihi na wengine sahihi, kama ilivyo ngumu kuja na jibu moja kuna pia wanaume wanaona tunaoona ni sawa tu tuachwe, sasa kama unashindwa ku observe kuwa jibu haliwezi kuwa moja,sijui tukusaidiaje…

Mwisho nimesema sio lazima watu waone things in the same lens as you are it is what it is, dunia yako ambayo ni ideal sio lazima iwe ideal kwa wote, kulazimisha dunia yako ambayo unaiona ni ideal ndio iwe dunia yetu wote,…ni ujinga…na hautakubalika….!
Sasa mwenyewe si ndo umetuambia una miaka 39 lakini Shangazi Anita mbona unakuwa mbogo kwa wapwa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kuzunguka mbuyu mpuuzi wewe, posts zako zote umeziframe kuni attack, ziangalie tena mpuuzi tu wewe sijui huoni tangia uanze kuniattack kuwa anita ni 39 years of age na good thing about this is age to her has come with maturity, she knows kuna wajinga wajinga mnaochukia wanawake na wenye mawazo ya Kijima, hivyo ku attack ni kawaida yenu….humbabaishi!

Nimeongea vitu vitatu, moja Anita being a woman and being kundi lililotajwa ,nimetoa my own perspective as the topic is relevant to me,sasa wewe unayekuja na msimamo tofauti wangu unanipinga kwa basis zipi, na wakati hujawahi kuwa mwanamke wala kuwa above 35?

Mbili ku measure attitudes za watu huwezi kuja na jibu moja, sababu tuko tofauti, tuna upbringing tofauti, exposure tofauti n.k sasa topic imelenga kujua attitudes zetu sisi wanawake kuhusu ndoa,tumekuja tofauti kuna wanawake wanaona si sahihi na wengine sahihi, kama ilivyo ngumu kuja na jibu moja kuna pia wanaume wanaona tunaoona ni sawa tu tuachwe, sasa kama unashindwa ku observe kuwa jibu haliwezi kuwa moja,sijui tukusaidiaje…

Mwisho nimesema sio lazima watu waone things in the same lens as you are it is what it is, dunia yako ambayo ni ideal sio lazima iwe ideal kwa wote, kulazimisha dunia yako ambayo unaiona ni ideal ndio iwe dunia yetu wote,…ni ujinga…na hautakubalika….!
Hebu acha hasira bwana seriously hili ni swala mtambuka. No body is attacking you. Tunaongea na wewe kwa lugha elekezi. Fanyia utekelezaji. UOLEWE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Proof tosha huwezi ku argue.
Jitahidi sana kuficha real ID yako(inner emotions)kuhusu mada yoyote ikiwa ipo hapa jamvin, kinyume na hapo utajiweka uchi mwenyewe kama ambavyo umefanya hapa.
Tayari hapa wengi wameshafahamu wewe ni mhanga wa tatizo la kutokuolewa au umeolewa ukaachika, pole sana jifanyie tathimin unakosea wapi then ukishajirekebisha chapisha bango tutakuja.
 
Jitahidi sana kuficha real ID yako(inner emotions)kuhusu mada yoyote ikiwa ipo hapa jamvin, kinyume na hapo utajiweka uchi mwenyewe kama ambavyo umefanya hapa.
Tayari hapa wengi wameshafahamu wewe ni mhanga wa tatizo la kutokuolewa au umeolewa ukaachika, pole sana jifanyie tathimin unakosea wapi then ukishajirekebisha chapisha bango tutakuja.
Pole we, usinipangie cha kuposti hapa JF, kutokuolewa mbona ni mimi mwenyewe nilisema pamoja na umri wangu kwenye posti yangu ya kwanza kwenye topic hii....unajichosha bure kutaka kuniattack ,nitadeal na wewe vilivyo....kama wewe una muda wa kuandika use.nge...so do i!
 
Aisee, hii ya watoto ndio kabisaa... nikisema sitaki watoto in this lifetime na sina tatizo lolote ( watanzania hua wanapanick ajabu lol)
Kweli ni stage ya ushamba, kuna siku haya mambo yatakua accepted kwenye hii jamii.
Honestly ni mawazo yngu pia
 
Exactly, thread nzima imejaa comment za wanaume wakiforce kuelezea experience ya women 35+...
Hawa ni transgender? Maana hakuna a day in their life wamewahi kua wanawake (XY chromosome) mscheew
Men need women, for women sio lazima ( watasema tunajifariji, ngoja niishie hapa)
Thumbs up to you for holding your own agaisn’t misogyny!!
Misogynists work overtime to put women under control
 
Back
Top Bottom