Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Acha matusi ya reja reja, kama umeshindwa kuingia kwenye mjadala au hujui uingiaje..funga bakuli lako.
Huwa situkani bibie kwangu matusi ni dhambi.

Nimeandika ukweli na huna uwezo wa kujadiliana na mimi. Bora nijadiliane na werevu elfu moja watanielewa kuliko kujadiliana na mjinga mmoja kama wewe lazima utanishinda tu.

Wewe mimi nakwambia ukweli tu kisha nashika njia, ukubali ukatae hilo utajua wewe.
 
Huwa situkani bibie kwangu matusi ni dhambi.

Nimeandika ukweli na huna uwezo wa kujadiliana na mimi. Bora nijadiliane na werevu elfu moja watanielewa kuliko kujadiliana na mjinga mmoja kama wewe lazima utanishinda tu.

Wewe mimi nakwambia ukweli tu kisha nashika njia, ukubali ukatae hilo utajua wewe.
HAHAAAA eti huna matusi,na humo humo unatukana....wanafiki kama wewe mfe tu, mtupunguzie mzigo katika jamii.
 
HAHAAAA eti huna matusi,na humo humo unatukana....wanafiki kama wewe mfe tu, mtupunguzie mzigo katika jamii.
Ndiyo maana nikasema hivi huna uwezo wa kujadiliana na mimi sababu hata maana za maneno huzijui. Hakuna tusi hapo nililo tukana, sisi Waswahili tunajua matusi ni nini, sasa unapoambiwa mjinga na kweli umjinga hujatukanwa bali umepewa stahiki yako.

Umetumia tena tamko "Mnafiki" mahala si pake sababu tukichambua neno hilo mimi sina alama za unafiki. Nakuita tena wewe ni mjinga na ni mjinga kweli, hii ni sifa yako.

Sasa usilazimishe ukweli ukauita matusi hili haliwezekani hata ubinuke.
 
Ndiyo maana nikasema nikasema hivi huna uwezo wa kujadiliana na mimi sababu hata maana za maneno huziju. Hakuna tusi hapo nililo tukana, sisi Waswahili tunajua matusi ni nini, sasa unapoambiwa mjinga na kweli umjinga hujatukanwa bali umepewa stahiki yako.

Umetumia tena tamko "Mnafiki" mahala pake sababu tukichambua neno hilo mimi sina za unafiki. Nakuita tena wewe ni mjinga na ni mjinga kweli, hii ni sifa yako.

Sasa usilazimishe ukweli ukauita matusi hili haliwezekani hata ubinuke.

POTEA HUKO, eti sina uwezo wa kujadiliana na wewe, usiniquote basi??? mpuuzi tu wewe...eti huna unafiki...kafie mbele...wewe ni mnafiki tena mnafiki per se! tapika basi?!
 
Daaah my lecturer taught me,, how people hide their pain in sentences leo ndo nimeamini
emoji16.png
emoji16.png
pole lakini
Mojawapo ya miiko ya teuzi na uongozi ukienda mataifa yote ni hiyo lazima public servant awe ni mume au mke wa ndoa na mtu mwingine.

Nje ya hapo huko maofisini ni kuleta uzinifu, kutengeneza safari na wake za watu au waume za watu na kuharibu ustawi wa jamii.

Hii inalegezwa sasa inaleta picha mbaya. Tazama watu kama akina Jokate wanabeba ujauzito wakiwa katika ofisi ya uma, na hajawahi kuolewa wala hatujui anatoka na nani.

Huyo ni public figure kuna mabinti kibao wanamtazamia kuwa ni mfano wa kuigwa. Watoto wa kike wanatabia ya kuiga mabaya zaiid kuliko mazuri maana mazuri ni kazi sana kuyasimamia tofauti na mabaya ambayo yana nguvu kali ya ushawishi.


Na ukienda bungeni pale eneo la viti maalumu tazama kumejawa na wadada ambao ni wamezaa na wanaume za watu na wengine kama wakina mdee hawajulikani wapo na nani hii ni mbaya ya sana kwa taswira ya taifa na sura ya uongozi wa kike na wa kiume.

Mbona kila mbunge wa kiume pale ukitafuta picha yake na mke wake utaiona sijaona kiongozi wa kiume ambaye hana familia yake ya ndoa ya mke na watoto. Wote wapo vema. Ila wanawake wamejaa pale kundi kubwa ni singles, single mothers.... Hili ni janga kubwa sana linahitaji vita kubwa kulitokomeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwenye huu uzi nimekukubali! Umepigilia misumari ya moto kweli kweli!! Hawa wanawake wanaleta ubishi tu ila wangetuliza akili wangetoka na madini mengi sana kutoka kwenye comments zako! Kudos Samcezar
 
Au mtu asexual anatakaje kuolewa kwa mfano

Watu wanafikiri binadamu wote duniani wameumbwa sawa

Yani kuna vitu wanaandika unaona kabisa ni nadharia na siyo uhalisia

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni asexual? Hao Ace ni wangapi in a million katika jamii? Halafu kuna comment moja ya Samcezar ameelezea kuhusu lesbos Kwamba hamna jambo la hivyo bali ni ugonjwa wa akili tu! Akija mwenyewe atakutag!! Ukipigwa pu*mbu vizuri hakuna cha ulesbo wala nini!! Oleweni acheni vizisingizio!! Itasaidia katika ujenzi wa taifa!! Maendeleo ya taifa lolote basic yake ni kuanzia kwenye family level!! Ebo
 
Zamani nilikuwa kama wewe baada ya kujua Dunia nikaona ni mambo ya kishamba tu. Acha watu waishi maisha yao.
Huwezi kuijua Dunia maana ina mambo mengi. Kuna maswali nikikuuliza hapa hautaweza nijibu maana utatambua kuwa hakuna unachojua kuhusu topic nitayokuuliza.

Kimisingi maisha kwa ujumla wake yanaundwa na mifumo miwili, ya kujenga na kubomoa.

Huo mfumo unaousemea wewe ni wa kubomoa na jamii ya sasa ndio inabomoa. Watakaokuja kulipia gharama ya uharibifu wetu ni watoto na wajukuu wetu.

Hujui madhara ya maisha nje ya mfumo rasmi wa ndoa na familia ni vema ukauliza. Ila sio unakuja hapa unaunga mkono mfumo wa uharibifu halafu unataka kuhalalisha hoja yako kuwa ni halali kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuwa na miaka 40 masimulizi sahihi yanasema alikuwa na miaka 28. Yaani alimzidi miaka 3 tu.

Waambieni ukweli wanawake, sababu hili ni jambo la kiasili, na asili haiepukiki kama haitakuathiri kimaana basi itakuathiri kimaada.

Kingine humu wanawake si wakweli yaani hawataki kukiri na kukubali ukweli, lakini wanashindwa kujua kuukataa kwao ukweli hakufanyi ukweli uwe uongo. Wanajiumiza wenyewe.
Umesema vizuri sana. Kuna Misukule hapa inajifanya ni gentlemen inatoa faraja za unafiki kwa hawa wadada bila kuelewa madhara ya kufariji mtu anaekwenda siko.

Yaani mtu anakuona unaelekea kwenye kingo ya mwamba unaoning'inia mlimani juu ya korongo refu sana halafu anakushangilia na kukupa moyo kuwa endelea kwenda mbele ni maamuzi yako mtu asikuingilie.

Ufala sana. Sisi tutaendelea kuwasakama kwa nia nzuri ya kuwaokoa na majuto ya vizazi na vizazi. Yaani ni mwendo wa Kusukuma ndani.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupanga ni kuchagua,
Wapo wengi sana wenye kila aina ya sifa ya kua mke ila aina ya mitazamo yao inapingana na mitazamo ya wanaokutana nao kwenye mahusiano.Ninayo pc moja kali sana ina bachelor of education from UDSM kichwan ni mwalimu shule fulani ya upili mkoa Kilimanjaro.
Aisee acha kabisa lilipokuja suala la kutaka kumuoa ha ha ha ha ha alinipa masharti ambayo hakuna mwanaume anaweza kubali.
Hivyo sio kila ambae hajaolewa kwamba hakuna waoaji hapana, wengi wao wana vipaumbele vyao.
Mfano yeye alisema kwanza
1;anapenda sana adventure (yani kila mwezi lazima atoke out nje ya mkoa)
2;sio lazima akuage kila anapotoka kwenda kwenye mambo yake(kumbuka tayari umeshaoa)
3;usimuulize kuhusu mshahara wake.
4;anaweza akachukua lodge akaspend hata siku tatu au wiki nzima bila wewe, anasema ndivyo alivyo huwa anafanya sana eti anajifungia peke yake ndani anaangalia tu movies za holiwood.
5;anataka kujua mshahara wako umeshaingia au laa(hii nimeiona mapema sana ndio muuni nikakacha maana ilikua kila zikifika tareh za mshahara anajifanya nataka unipeleke sehemu kumbe unaenda kupigwa mtonyo)
Huyu anaonekana sio mzima kiakili. Mbaya zaidi imagine ni mwalimu. Hawa watu tunawapeleka kufundisha watoto wetu hatujui wanafundisha na kuongea nini huko madarasani.

Maana sifa kuu za mwalimu ni kuwa mzazi na mlezi wa watoto na jamii. Mmmmmmhmn hii kitu inatisha sana.

Huyu mtumie sms mwambie aende kuonana na wanasaikolojia asaidie kupewa psychotherapy. Hayupo sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee, hii ya watoto ndio kabisaa... nikisema sitaki watoto in this lifetime na sina tatizo lolote ( watanzania hua wanapanick ajabu lol)
Kweli ni stage ya ushamba, kuna siku haya mambo yatakua accepted kwenye hii jamii.
Una umri gani tuanzie hapo, kuwa honest na umri nikwambie kitu !


Kuna siku niliketi na dokta wa Agakhan Hospital. Huyu dokta alikuwa anatuelezea takwimu za kustaajabisha za idadi ya wanawake wa kitanzania ambao huenda kujifungua kwa operation bila haja ya kufanya hivyo.

Anasema wengi huogopa uchungu sababu waliambiwa na wanawake wenzao uchungu wakujifungua kwa njia ya kawaida so imewatisha wanaona bora operation.


Hili likanifanya nijiulize nini kinawakuta watoto wa kike miaka hii ya sasa?

Mbona kama jamii ibawafundisha kuogopa uanamke na kuufanya kuwa ni jinsia ya kuiogopa sana na kuogopa kuishi kama mwanamke wa kawaida.

Imagine kuna wengine mwili wake unafanya kazi vizuri tu wanaomba kubebewa ujauzito na wanawake wenzao kwa malipo ili tu wao wasihangaike na kubeba mimba.

Aiseee hivi tunakwenda wapi na hii jamii ya sasa?!

Sasa kuna kundi ambalo wewe upo la kusema mimi sihitaji watoto wala sitakuja kupata mtoto.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Exactly, thread nzima imejaa comment za wanaume wakiforce kuelezea experience ya women 35+...
Hawa ni transgender? Maana hakuna a day in their life wamewahi kua wanawake (XY chromosome) mscheew
Men need women, for women sio lazima ( watasema tunajifariji, ngoja niishie hapa)
Thumbs up to you for holding your own agaisn’t misogyny!!
Unajua maana ya misogyny wewe?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Misogyny ni mtu anaechukia uanamke au kuchukia wanawake

Sasa unamke ni kuolewa, kujifungua watoto, kuwa mke kwa mume, kunyonyesha mtoto, kuwa bibi, kuwa mama, kupika chakula kizuri kwa familia, kuwa mfariji, kuwa msiri. Yaani kuwa na mambo yanayoitwa ya kike.


Sasa mtu unachukia kuolewa, hutaki kuwa na watoto, hutaki mahusiano na wanaume, hutaki kuvaa nguo za kike napenda kampani ya kiume, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu unaita wanaokuhoji kwann u atabia hizo kuwa ni misogynists kwamba wanachukia uanamke?!

Hivi unakuwa serious au unahitaji msaada ila unashindwa kunyoosha maelezo?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Make it make sense kuwa nakuattack. I don't engage in a war unless i have something to gain from it.....

Am not waring you stop making this personal.

Sent using Jamii Forums mobile app

Acha kuzunguka mbuyu mpuuzi wewe, posts zako zote umeziframe kuni attack, ziangalie tena mpuuzi tu wewe sijui huoni tangia uanze kuniattack kuwa anita ni 39 years of age na good thing about this is age to her has come with maturity, she knows kuna wajinga wajinga mnaochukia wanawake na wenye mawazo ya Kijima, hivyo ku attack ni kawaida yenu….humbabaishi!

Nimeongea vitu vitatu, moja Anita being a woman and being kundi lililotajwa ,nimetoa my own perspective as the topic is relevant to me,sasa wewe unayekuja na msimamo tofauti wangu unanipinga kwa basis zipi, na wakati hujawahi kuwa mwanamke wala kuwa above 35?

Mbili ku measure attitudes za watu huwezi kuja na jibu moja, sababu tuko tofauti, tuna upbringing tofauti, exposure tofauti n.k sasa topic imelenga kujua attitudes zetu sisi wanawake kuhusu ndoa,tumekuja tofauti kuna wanawake wanaona si sahihi na wengine sahihi, kama ilivyo ngumu kuja na jibu moja kuna pia wanaume wanaona tunaoona ni sawa tu tuachwe, sasa kama unashindwa ku observe kuwa jibu haliwezi kuwa moja,sijui tukusaidiaje…

Mwisho nimesema sio lazima watu waone things in the same lens as you are it is what it is, dunia yako ambayo ni ideal sio lazima iwe ideal kwa wote, kulazimisha dunia yako ambayo unaiona ni ideal ndio iwe dunia yetu wote,…ni ujinga…na hautakubalika….!
 
Back
Top Bottom