Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Wanawake weng kweny umri huo Kama Yuko sawa kiafya lazma atakuwa aliwah kuolewa Mara kadhaa na ikashndkana ,weng wao huwa tayar washazaa pia huwa wamekata tamaa na ndoa.
In short wanawake katka Rika hili huwa hawana stress maana Mambo meng washayapitia.
ili kuondoa wimbi hili wanaume tujitahid tuoe wake Zaid ya mmoja
nakuunga mkono,upo sahihi kabisa
 
I'm 34 single ,na enjoy life no tress ,,and life is so beautiful..........hakuna mashaka....sijawa bibi,ndo kwanza as beautiful as creopatra...
Pole sana mdada,jitahidi kumuomba Mungu sana ili nawe upate wako,kila kiungo mwilini kimeumbwa kwa kazi maalumu
 
mbona sawa tuu....

shida ni pale wengine wanapokuona mkosaji, its your fault and you should feel guilty about it,

lets face it, hata km Mungu angeumba wanawake population sawa na wanaume, still sio wanawake wote wangeolewa due to other factors as well,

yes im 39 single, dont feel sorry for me, there's nothing to feel sorry about and dont bother make me feel guilty, you wont suscseed..lol
😳😳😳
 
Kuna watu hawajali. Kinachowachosha ni kelele za watu wanaowataka wajali kama wao. Wawe na mtazamo kama wao. Mmoja anafikiri kuolewa ni mafanikio. Anataka na wengine waone hivyo. Wengine huwa hata watoto hawataki, lakini wale wenye watoto watataka kuflaunt watoto wao. Ni stage ya ushamba tu tunapitia
Aisee, hii ya watoto ndio kabisaa... nikisema sitaki watoto in this lifetime na sina tatizo lolote ( watanzania hua wanapanick ajabu lol)
Kweli ni stage ya ushamba, kuna siku haya mambo yatakua accepted kwenye hii jamii.
 
number moja; wengi mliojibu ni wanaume mnapinga vikali kuwa kuna wadada walio accept maybe marriage is not at the moment for them, and they are to focus on other things. let me tell you something; you are not a woman and second you are NOT above 35, iweje mjue zaidi what goes in these women's minds ama what it feels kutokuolewa kama nyinyi sio wanawake na sio wenye group lililotajwa (above 35),???

number two;Sijui backgrounds zenu ila kwenye social sciences tunaambiwa huwezi kupata unified answer when it comes to people's perceptions. Namaanisha huwezi ku measure ATTITUDES za watu towards something then ukapata jibu moja kuwa wote ni A ama wote ni B,, never. lazima kutakuwa na degree of variability hata kama ni kidogo. So nyinyi mnaoexpect sijuii wanawake WOTE tunaumia au tuumie tusipoolewa,mtakuwa na hitilafu kwenye ubongo!

tatu; NOT everybody sees things in the same lens as you do and what you construct of the world as to be ideal is not and is not expected to be every body 's construct.

Tchao.
Exactly, thread nzima imejaa comment za wanaume wakiforce kuelezea experience ya women 35+...
Hawa ni transgender? Maana hakuna a day in their life wamewahi kua wanawake (XY chromosome) mscheew
Men need women, for women sio lazima ( watasema tunajifariji, ngoja niishie hapa)
Thumbs up to you for holding your own agaisn’t misogyny!!
 
Aisee, hii ya watoto ndio kabisaa... nikisema sitaki watoto in this lifetime na sina tatizo lolote ( watanzania hua wanapanick ajabu lol)
Kweli ni stage ya ushamba, kuna siku haya mambo yatakua accepted kwenye hii jamii.
Tatizo ni pale umezeeka alafu hujiwez nani atakuudumia ndo umuhimu wa watoto unapoonekana na faraja ukiwa Mzee huna hata mtoto mmoja ni janga kubwa, kama hutaki ndoa at least uwe na mtoto
 
Kuolewa na kuoa ni lazima. Mnataka kutuletea watoto wasio na adabu kwenye jamii sababu ya maamuzi yenu yasiyozingatia mustakabali wa taifa.

Wewe unadhani maamuzi yako ya kupata mtoto ni kama vile umeenda ShopRite kununua Chocolate [emoji515] ili ule ujisikie vizuri?

Pale unapokutana kimwili na mwanaume muda wowote maana yake unashiriki jambo la kijamii nalo ni kuleta raia wa Jamuhuri.

Sasa nyie mabinti wa kisasa huwa mnadhani Sex ni kama kunywa malta au Serengeti lite, hamchukui any precaution au kuwa aware kile mnachofanya kikatiba ni jambo la kitaifa.

Matokeo yake watoto wakija mnaanza kuleta uzungu kwenye malezi. Mara nyoko nyoko nyoko mtoto huyu tutafanya co parenting pumbavu mnatuharibia jamii sababu ya kukosa maadili.

Juzi hapa kamati ya bunge imekaa kikao kuzungumzia hii changamoto ya ndoa kuvunjika miaka hii, ongezeko la watoto wa mitaani na watoto wa nje ya ndoa. Wewe na akili zako hizi za series za kikorea unakuja hapa kutuletea ushubwada.

Sasa mimi ndio nakwambia utaolewa kwa nguvu utake usitake.

Yaani ni mwendo wa Kusukuma ndani Anita Makirita , sukuma ndani wanaomsapoti, sukuma ndani....

Utaolewa hivi hivi na uzee wako wa miaka 40.

Sent using Jamii Forums mobile app

PUMBA, unadhania ukiniattack utapata credit? mpuuzi tu wewe
 
Exactly, thread nzima imejaa comment za wanaume wakiforce kuelezea experience ya women 35+...
Hawa ni transgender? Maana hakuna a day in their life wamewahi kua wanawake (XY chromosome) mscheew
Men need women, for women sio lazima ( watasema tunajifariji, ngoja niishie hapa)
Thumbs up to you for holding your own agaisn’t misogyny!!
Sio kuforce Bali human nature huwez pigana na human nature ndo jamii ya wazungu ina depression, addiction, higher suicide kwenye Kuna vitu havina replacement
 
HUnijui na itabaki kuwa hivyo,umeshindwa kupinga hizo hoja umebaki kusema na decorate...acha viroja!
Kuna mtu alikua kama wewe amekuja kuwa Mzee hakuna wa kumuangalia aliishi uzee wa mateso atakayekuwa na huruma na wewe kwa asilimia kubwa ni watoto wako

Na ndoa pia inaleta faraja ogopq sana loneliness
 
Tatizo ni pale umezeeka alafu hujiwez nani atakuudumia ndo umuhimu wa watoto unapoonekana na faraja ukiwa Mzee huna hata mtoto mmoja ni janga kubwa, kama hutaki ndoa at least uwe na mtoto
This type of thinking is so selfish, rudia kusoma ulichoandika
 
Wanawake wanao jiona wasomi au kujiita wasomi ni wajinga mno. Sasa huyo unaye jadiliana naye hajaona kama analo tatizo.

Kuna umri ukifika sokl unakuwa huna zaidi ya kutumika tu.
Acha matusi ya reja reja, kama umeshindwa kuingia kwenye mjadala au hujui uingiaje..funga bakuli lako.
 
Back
Top Bottom