Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Haramu??? nimekwambia akili yako ni local/mshamba.
Hauna ujanja huo !! Unaonekana mshamba hata hujielewi pesa huna za kuoa na Wanaooa ni wenye akili sio wewe unaweka suruali chini ya makalio usela wa kijinga.
 
Hauna ujanja huo !! Unaonekana mshamba hata hujielewi pesa huna za kuoa na Wanaooa ni wenye akili sio wewe unaweka suruali chini ya makalio usela wa kijinga.

KAOE, ila usitulazimishe ni lazima kufanya hivyo, kama ilivyo choice yako kuoa hivyo hivyo ni choice ya mtu kutokuoa,
 
Hauna ujanja huo !! Unaonekana mshamba hata hujielewi pesa huna za kuoa na Wanaooa ni wenye akili sio wewe unaweka suruali chini ya makalio usela wa kijinga.
Hahaha... haya. Imenibidi nicheki mshamba ananiita maskini.
 
number moja; wengi mliojibu ni wanaume mnapinga vikali kuwa kuna wadada walio accept maybe marriage is not at the moment for them, and they are to focus on other things. let me tell you something; you are not a woman and second you are NOT above 35, iweje mjue zaidi what goes in these women's minds ama what it feels kutokuolewa kama nyinyi sio wanawake na sio wenye group lililotajwa (above 35),???

number two;Sijui backgrounds zenu ila kwenye social sciences tunaambiwa huwezi kupata unified answer when it comes to people's perceptions. Namaanisha huwezi ku measure ATTITUDES za watu towards something then ukapata jibu moja kuwa wote ni A ama wote ni B,, never. lazima kutakuwa na degree of variability hata kama ni kidogo. So nyinyi mnaoexpect sijuii wanawake WOTE tunaumia au tuumie tusipoolewa,mtakuwa na hitilafu kwenye ubongo!

tatu; NOT everybody sees things in the same lens as you do and what you construct of the world as to be ideal is not and is not expected to be every body 's construct.

Tchao.
Hawa wa vingereza vingi tabu sana🤣🤣🤣🤣
 
mbona sawa tuu....

shida ni pale wengine wanapokuona mkosaji, its your fault and you should feel guilty about it,

lets face it, hata km Mungu angeumba wanawake population sawa na wanaume, still sio wanawake wote wangeolewa due to other factors as well,

yes im 39 single, dont feel sorry for me, there's nothing to feel sorry about and dont bother make me feel guilty, you wont suscseed..lol
Haja zako za mwili unazitubuje?
 
Sasa tunafix vipi kitu ambacho hata kikiwafixed soko lake halipo tena, its a wastage of time and effort.

Hebu imagine kutengeneza deki ya mkanda ili iende dukani kuuzwa.

Nani anatumia mikanda miaka hii?! [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani we jamaa unapiga ngumi za shingo tu, sio fresh ivo[emoji3][emoji3][emoji3]
 
number moja; wengi mliojibu ni wanaume mnapinga vikali kuwa kuna wadada walio accept maybe marriage is not at the moment for them, and they are to focus on other things. let me tell you something; you are not a woman and second you are NOT above 35, iweje mjue zaidi what goes in these women's minds ama what it feels kutokuolewa kama nyinyi sio wanawake na sio wenye group lililotajwa (above 35),???

number two;Sijui backgrounds zenu ila kwenye social sciences tunaambiwa huwezi kupata unified answer when it comes to people's perceptions. Namaanisha huwezi ku measure ATTITUDES za watu towards something then ukapata jibu moja kuwa wote ni A ama wote ni B,, never. lazima kutakuwa na degree of variability hata kama ni kidogo. So nyinyi mnaoexpect sijuii wanawake WOTE tunaumia au tuumie tusipoolewa,mtakuwa na hitilafu kwenye ubongo!

tatu; NOT everybody sees things in the same lens as you do and what you construct of the world as to be ideal is not and is not expected to be every body 's construct.

Tchao.
Hamna.... Hapa unajaribu ku decorate kahoja kako. Ila ukweli ni kwamba upo upande huu huu wa maumivu. Acha urongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ina feli vipi wakati haikuanza?


Sasa nazungukaje na jambo lipo bayana na wazi. Wewe unajua utamu wa ndoa wewe. [emoji23][emoji23][emoji23] Sio utamu wakuwa na bwana maana unaweza hata lala na mume wa mtu, konda wa daladala, bodaboda, muhuni yaani unaweza kulala na mtu yoyote.

Ila NDOA bwana ina heshima na raha yake.

Hebu wazia. Upo kwenye ndoa yako ya halali. Mumeo anarudi kazini watoto wanaruka ruka baba yao karudi kazini wakati wewe upo jikoni ukimuandalia msosi.

Anaingia sebuleni mnasalimiana mnaongozana kuelekea chumbani kwenu, sio geto, CHUMBA CHA BABA NA MAMA WANANDOA.

Vitoto vinajisemesha semesha kwa baba yao vikinokoleana, "Baba junior kalamba sukari mchape" [emoji23][emoji23][emoji23] ,baba yao anajibu haya mwanangu ntamchapa baadae", kengine kanasema baba halafu Brighton hajalala mchana na yeye mchape, baba anajibu " haya baba ntamchapa baadae mwanangu mzuri," haoooo mnaingia chumbani unamuuliza mume wako wa NDOA habari ya kazini anakujibu kwa mahaba "Salama, m'meshindaje?" Unaendelea nakuzungumza nae mkijadili moja mbili tatu kuhusu familia yenu halali ya NDOA.

Acha kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii reply kaisoma huku kashika tama huko alipo huku anajiuliza God when
 
KAOE, ila usitulazimishe ni lazima kufanya hivyo, kama ilivyo choice yako kuoa hivyo hivyo ni choice ya mtu kutokuoa,
Kuolewa na kuoa ni lazima. Mnataka kutuletea watoto wasio na adabu kwenye jamii sababu ya maamuzi yenu yasiyozingatia mustakabali wa taifa.

Wewe unadhani maamuzi yako ya kupata mtoto ni kama vile umeenda ShopRite kununua Chocolate [emoji515] ili ule ujisikie vizuri?

Pale unapokutana kimwili na mwanaume muda wowote maana yake unashiriki jambo la kijamii nalo ni kuleta raia wa Jamuhuri.

Sasa nyie mabinti wa kisasa huwa mnadhani Sex ni kama kunywa malta au Serengeti lite, hamchukui any precaution au kuwa aware kile mnachofanya kikatiba ni jambo la kitaifa.

Matokeo yake watoto wakija mnaanza kuleta uzungu kwenye malezi. Mara nyoko nyoko nyoko mtoto huyu tutafanya co parenting pumbavu mnatuharibia jamii sababu ya kukosa maadili.

Juzi hapa kamati ya bunge imekaa kikao kuzungumzia hii changamoto ya ndoa kuvunjika miaka hii, ongezeko la watoto wa mitaani na watoto wa nje ya ndoa. Wewe na akili zako hizi za series za kikorea unakuja hapa kutuletea ushubwada.

Sasa mimi ndio nakwambia utaolewa kwa nguvu utake usitake.

Yaani ni mwendo wa Kusukuma ndani Anita Makirita , sukuma ndani wanaomsapoti, sukuma ndani....

Utaolewa hivi hivi na uzee wako wa miaka 40.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafasi za uteuzi pia waangalie kigezo hiki, mtu asiye na ndoa analeta taswira si rafiki sana kwa jamii. Kiongozi anayefaa kuigwa, ni yule mwenye ndoa inayotambulika.
 
Back
Top Bottom