Wee usiogope haya maneno tuu. Mie bonge la handsome na very caringYule tumuache kwanza......
๐๐๐๐ Back-up kwa mahubiri yako ya humu ndani kweli mzabzab ?Sindo yale yale sasa๐ค
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee usiogope haya maneno tuu. Mie bonge la handsome na very caringYule tumuache kwanza......
๐๐๐๐ Back-up kwa mahubiri yako ya humu ndani kweli mzabzab ?Sindo yale yale sasa๐ค
Sawa mkuu wa Idala ๐Haya ukimalizia siasa ujilete mwenyewe
๐๐๐๐๐Wee usiogope haya maneno tuu. Mie bonge la handsome na very caring
Nakuja huko selfika uone mambo yenyewe๐๐๐๐๐
Embu tuone vithibitisho.....๐
Nasubiria....Nakuja huko selfika uone mambo yenyewe
For me naamini kwenye msingi wa familia ile baba,mama na watoto, ila age is just a number, mtu anaweza kufika umri huo ndyo akapata mume na wakaanza a happy and blessed family...
Hii ni kweli kabisaFor me naamini kwenye msingi wa familia ile baba,mama na watoto, ila age is just a number, mtu anaweza kufika umri huo ndyo akapata mume na wakaanza a happy and blessed family...
Sasa je, una kwama wapi mzee mwenzangu, njoo tuanzishe familia sasa.For me naamini kwenye msingi wa familia ile baba,mama na watoto, ila age is just a number, mtu anaweza kufika umri huo ndyo akapata mume na wakaanza a happy and blessed family...
Familia ya pili? Baki njia kuu mkuuSasa je, una kwama wapi mzee mwenzangu, njoo tuanzishe familia sasa.
Highway itapendeza zaidi mkuu. ๐Familia ya pili? baki njia kuu mkuu
Hapana sitaki kuitwa bibi mdogo mimi๐Highway itapendeza zaidi mkuu. ๐
We shida yako nini mkuu, hapa mzee mwenzio nimekufa nimeoza๐คฃ
Basi nitakuita bibi mkubwa ๐Hapana sitaki kuitwa bibi mdogo mimi๐
Acha kujichekesha, siyo lazima wafunge ndoa kupata watoto jifunzeni kuishi maisha yenu.Hizo jamii kama izo zishapotea wacha kumdanganya watu zipo documentary za watu baadhi ya visiwa hawataki kuzaa wala kuoa ila wamepotea wote kabisa na zinaisha miaka 50 ijayo hamna kitu
Sasa elewa kwamba kuzaa lazima ili kusurvive kwa species fulani kama ivyo ivyo tuone ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Sema tu...mimi nikisema utasema najifariji
Wanaumia kwa sababu ya unyanyapaa na sio sababu ya kutokuolewa. Lau kile mtu angejali maisha yake na kuachana na maisha ya wengine ingeleta amani zaidi.Daah kweli โsukuma ndaniiโ unawapa makavu live!! Wanajifariji tu ila in reality deep down wanaumia sana
You are very correct aisee! Wawili ni zaidi ya mmoja siku zote!Kwa sababu kisaikolojia najua unaumia.
Najua haupo sawa ila hautakubali.
Watu wa jamii yako hupenda kujionesha wako very stable na strong ila wakiwa chumbani peke yao machozi ya damu hulindima kwenye mashavu yao.
Sasa upate mtoto kwa njia ya haramu toa ufala wako hapaAcha kujichekesha, siyo lazima wafunge ndoa kupata watoto jifunzeni kuishi maisha yenu.
Haramu??? Nimekwambia akili yako ni local/mshamba.Sasa upate mtoto kwa njia ya haramu toa ufala wako hapa