Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Human nature itaendelea kubaki pale pale huwez shindana nayo mwanamke anatakiwa Aishi na mwanaume same kwa mwanaume

Kuna mmoja alikua kama wewe siku amepata mwanaume akaolewa alipata furaha ambayo sikuwahi kuiona nikamuuliza vip Ile misimamo yake akaniambia niache ujinga in short huwez shindana na nature
Hajapatwa na ule muujiza wa kuamka ndani ya Ndoa huyu. Atakuwa anaita "Mume wangu" mara 1000 kwa siku ile tu furaha ya kujua huyu jamaa ni wangu wa halali wa ndoa. Ndoa ina maajabu yake bwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio wasiolewe .Kuna wengine hawataki kuolewa ndo hao wewe unawajaji. Wao wana furaha kutokuolewa. Tatizo mkimwona mtu ana 40 na hajaolewa mnaona anaishi maisha ya huzuni. Nop ikute mtu kaamua mwenyewe na ana furaha,unless mtu ambae anapenda kuolewa na hajaolewa. Binafsi hata kama nisingeolewa ningekuwa sawa tu.
Kwahiyo kwa hoja yako kuwa ndoa ni jambo binafsi?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwamba mtu inapofikia muda wa kuoa au kuolewa ni issue yake binafsi kwa 100%?


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] My dear unahitaji kurejea mafunzo ya ndoa pia ukasome katiba ya nchi, miongozo mbali mbali na maandiko ya mawizara na asasi za kijamii kuelewa functionality za ndoa.

Hayo maamuzi yako ya kusema unataka au hutaki ndoa ni yako wewe kwa perception. Uhuru ulio nao kuhusu ndoa yaani kuamua kwasababu zako binafsi inaishia katika kupeak nani utaishi nae tu hapo basi. The rest wewe hauamui lolote maana benefits zinagusa watu wengine na taasisi nyingine.

Unaoa au kuolewa ili taifa lipate raia wema kwa maana ya watoto.

Unaoa au kuolewa ili jamii ikue na kuendelea

Unaoa au kuolewa ili kulinda culture ya taifa au jamii (race) kama unabisha nenda kwa waarabu au wahindi utake kuolewa kule ndipo utajua sio swala binafsi na maamuzi binafsi kujiamulia tu kama unachagua tu kama kwenda mjini au usiende.

Ndoa ndio taasisi ya kwanza kabla ya zote uzijuazo hapa duniani na katika taifa lolote ndio maana inaheshimiwa popote unapokwenda.

Kuoa au kuolewa sio lazima ya vita ila ni lazima ya hiyari kama ile ya kulipa kodi, ya kula chakula, ya kunywa maji, ya kuoga, ya kufanya mazoezi. Yaani ni ile wanasema lazima ya hiyari. Utake usitake utafanya sababu si kwaajiri yako tu ni kwaajiri ya wakupendao, kwaajiri ya jamii yako, kwaajiri ya taifa na nikwaajiri ya Dunia kwa ujumla.

Unaweza kuwa na matatizo yako ya kiakili au kihistoria ila nenda kayatibu urudi kwenye mstari uitafute ndoa ukaitumikie.

Maisha nje ya ndoa kwa mtu asiye na dosari wala shida yoyote ni dharau kwa muumba na ni kinyume na maadili ya kijamii. Haya mabaya yote yanayotuzonga yakiwamo maradhi ya zinaa ni matokeo ya watu kufikiria kama WEWE.

Unasema mtu hataki ndoa, je, maisha yake yote hafanyi mapenzi, je hataki faraja ya mke au mume, je anatumia vipi faragha yake, je maumbile yake hayatamii kupata mtoto, kwan hapati ndoto nyevu hapati hedhi, haya yote ni taarifa kuwa ndoa haina pingamizi.

Changamoto za kibinadamu zipo ila si sababu ya kuikana ndoa. Ndio maana umepewa uhuru wa kuchagua utakayeishi nae nje ya hapo ni kujiendekeza. Mara oooh nimeumizwa, sasa umeumizwa na wanaume wote Duniani? Si ubadili mitazamo yako ujue ni wanaume gani wa kwenda nao ila sio kususa Ndoa.

Ndoa haikwepeki. Ukiona mtu anaikwepa jua ana matatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Who told you kuwa mwanamke anatakiwa aishi na mwanaume ?Mwanamke anaweza ishi na mwanaume na anaweza ishi peke yake pia. Yesu mwenyewe aliishi peke yake. Paul anasema kabisa anatamani wanaume waishi peke yao. Ila.sababu ya matamanio so kila mwanaume awe na mwanamke wake. So mwanaume anaweza ishi peke yake,mwanamke pia anaweza ishi peke yake .
Kwahiyo wewe hoja yako ni wanawake wasiolewe waendelee kuzalishwa huko nje halafu mkienda bungeni wale vichwa panzi wa viti maalumu wanasema wanaume wanawanyanyasa wanawake na kutekeleza watoto kisha zinatungwa sheria ambazo zinatumia pesa zetu za kodi katika utekelezaji wake wa matamasha ya uhamasishaji?

Maana naona ni kama ndo ajenda yako hapa kuwa wanawake wasiolewe na wanaume tusioe. Sasa unategemea jamii itakuwa ni ya watu wa aina gani hapo?! Hebu kuwa serious basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo kila Mwanamke ana bahati ya kuolewa, inapotokea hivyo inabidi kukubaliana na hali maisha yaendelee.
Kuolewa sio swala la bahati mnapenda kuwaaminisha watoto wakike kuwa kuolewa ni bahati.

Kuolewa ni kama kutafuta kazi au kufanya biashara. Jitihada zako, mipango yako na mitazamo yako ndio vitaamua upate mwenza ama la

Hakunaga bahati ni mikakati yako tu umejipangaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutoolewa katika umri fulani huja na maneno mengi, na mengi huwa hasi, ya kukera au kuumiza. Lakini je, kila kitu ni kibaya kwa wanawake ambao wamefikia umri wa miaka 35 au zaidi na bado hawajaolewa?

Wanawake wengi wasio na waume walio na umri wa miaka 35 na zaidi, wanahisi kutokuwa salama na hawana makao katika familia zao hasa katika hali ambapo wazazi na ndugu wanatoa maneno ya kejeli kuhusu useja wao.

Vyombo vya habari vya kawaida pia hutoa mawazo haya, kwa mfano katika maonesho kama vile sitcom maarufu, ‘Ngono na Jiji’ ambayo inawakilisha wahusika wakuu wa kike ambao wanazingatia sana ndoa.

Je, unaweza kuwa na furaha ukiwa single katika miaka ya 35 na zaidi? Hilo tuongee hapa.
Kawaida.
Kwani ulisikia ukiwa single unapungukiwa chochote?

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Wewe jamaa nahisi huna hata passport namaanisha hujajichanganya ulimwenguni kwenye jamii tofauti. Na hili ni tatizo la watanzania wengi. Ndoa sio ya Kila mtu. Yani sio kila mwanaume ameumbwa kuoa na sio kila mwanamke ameumbwa kuolewa, Yani ndoa sio ya kila mtu. Vilevile sio kila mtu ameumbwa awe mzazi, wengine hawatakiwi kulea watoto sababu hawana uvumilivu Kwa watoto. Jamaa kakwambia ukweli, tupo kwenye stage ya ushamba miaka ya baadae tutaona kawaida kuhusu kuoa na kuolewa kuwa sio ishu. Kama ilivyo kwenye teknolojia tulivyozidiwa na wazungu, vilevile hii stage ya kuona kuolewa ni lazima wenzetu walishaipita miaka mingi. Kama furaha yako ni kuwa na familia usidhani ni kila mtu. Sasa hivi furaha ya kila mtu duniani ni kuwa na hela nyingi na kuwa na peace of mind basi. Mengine ni nyongeza tu.
Viafrika bwana vikipata exposure ya kufika mataifa ya magharibi vinajisahau kabisa nakuona jamii zao za kiafrika ni tatizo ila hao watu wa magharibi ndio wapo civilized zaidi.


Sasa wewe mimi utaniambia nini kuhusu mataifa ya magharibi na jamii za huko na tamaduni zao. Hebu usifungue topic ambayo hatutamaliza leo.


Kwakifupi wewe umepotoka na umeshakuwa assimilated na jamii ya kimagharibi yaani uzungu mwingi. Naotea wewe hata watoto wako (kama unao) utawalea kwa misingi hiyo hiyo potofu ya kimagharibi ya mataifa kama US na Western Europe countries.

Siajabu wewe hata wale wajamaa wa upinde ni ajenda una sapoti maana unaonekana tu kwa namna unaongea. Anyways lets not get too personal about this tujikite katika mada.

Familia ni kitu muhimu sana katika ustawi wa jamii yoyote kwenye kutengeneza wealth, personal character, stability ya jamii, na kujenga uchumi imara.

Hili ni kosa ambalo US na washirika wenzake wa mlengo wa soko huria now wanalipia gharama kulipuuza. Tazama mataifa kama china, india na haya ya kiarabu, why unadhani yanapiga hatua vema kipindi hiki cha miaka ya economic crisis kama hizi za sasa kwasababu wealth kwao ipo rooted at the family level.

Kuna mengi unatakiwa ufahamu namna uchumi wa taifa unalindwa Katika ngazi ya taifa na inakuwa ni rahisi sana kuendesha taifa na kulikuza kiuchumi kwa namna hiyo na kushindana na umasikini.

No wonder African nations tunaanza kurudi nyuma sababu tumefeli sana eneo la familia sababu tunadhani familia ni kwaajiri ya kuzaa tu watoto na kugombana mke na mume na kuhangaika na mafunanizi na ngono. We lack the true purpose of family function in a nation.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mademu wa jf bwana sijui wanadate wanaume wa namna gani huko duniani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kila mwanaume kwao ana matatizo ila cha ajabu ukimuuliza haya matatizo wewe personally yalikukuta unakuta ni ile anahadithia experience za wanawake wengine ambazo ni very rare kutokea katika mahusiano.

Mfano utamwambia kwanni usijipange kimaisha na mwanaume atasema wanaume ukishafanikiwa wanakutema wanachukua mwanamke mwingine, sasa swali ni wewe je yamekukuta au kama yamekukuta ulitafiti sababu ipi ilisababisha huyu mtu akuteme?

Au unaishi na mwanamke anawaza kuwa mwanaume atakufa kabla yake yeye[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

So unagundua wanaume huwa tunaongea yanayotukuta na yanayotutokea katika maisha yetu wanawake wanazungumzia wanavyovihisi au ambayo wanatabiri vinaweza watokea kutokana na mitazamo yao.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viafrika bwana vikipata exposure ya kufika mataifa ya magharibi vinajisahau kabisa nakuona jamii zao za kiafrika ni tatizo ila hao watu wa magharibi ndio wapo civilized zaidi.


Sasa wewe mimi utaniambia nini kuhusu mataifa ya magharibi na jamii za huko na tamaduni zao. Hebu usifungue topic ambayo hatutamaliza leo.


Kwakifupi wewe umepotoka na umeshakuwa assimilated na jamii ya kimagharibi yaani uzungu mwingi. Naotea wewe hata watoto wako (kama unao) utawalea kwa misingi hiyo hiyo potofu ya kimagharibi ya mataifa kama US na Western Europe countries.

Siajabu wewe hata wale wajamaa wa upinde ni ajenda una sapoti maana unaonekana tu kwa namna unaongea. Anyways lets not get too personal about this tujikite katika mada.

Familia ni kitu muhimu sana katika ustawi wa jamii yoyote kwenye kutengeneza wealth, personal character, stability ya jamii, na kujenga uchumi imara.

Hili ni kosa ambalo US na washirika wenzake wa mlengo wa soko huria now wanalipia gharama kulipuuza. Tazama mataifa kama china, india na haya ya kiarabu, why unadhani yanapiga hatua vema kipindi hiki cha miaka ya economic crisis kama hizi za sasa kwasababu wealth kwao ipo rooted at the family level.

Kuna mengi unatakiwa ufahamu namna uchumi wa taifa unalindwa Katika ngazi ya taifa na inakuwa ni rahisi sana kuendesha taifa na kulikuza kiuchumi kwa namna hiyo na kushindana na umasikini.

No wonder African nations tunaanza kurudi nyuma sababu tumefeli sana eneo la familia sababu tunadhani familia ni kwaajiri ya kuzaa tu watoto na kugombana mke na mume na kuhangaika na mafunanizi na ngono. We lack the true purpose of family function in a nation.



Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni aina ya watu ambao huwa wanadhami mawazo yao pekee ndio sahihi. Ndo maana kwenye hii thread Kila asiyekubaliana na mawazo yako unaona hayupo sahihi.
 
Yeah mtaalamu dada zetu bhana na wishes zao wakiamin wajuba ukiwazalia umewakamata.
ila kuzaa si Ni kuanzisha familia ..it means walishawaza kuwekwa ndani au kuishi pair till vitu viende hovyo.

Mweeeeeeee[emoji848]
 
Back
Top Bottom