Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Siyo kila Mwanamke ana bahati ya kuolewa, inapotokea hivyo inabidi kukubaliana na hali maisha yaendelee.
 
Siyo kila Mwanamke ana bahati ya kuolewa, inapotokea hivyo inabidi kukubaliana na hali maisha yaendelee.
Hapo inaingia ule msemo wa Waswahili usemao Sasa Mimi nifanyeje[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] ila sio jambo la kujivunia kwa kiumbe kinacho jitambua.
 
kwa mila za Kiafrka wanawake huolewa, na sio kuoa
sasa kama wanaume wa kuwao hawapo/hawajajitokeza; Sina sababu yoyote ya kuwalaumu wale ambao hawajaolewa ukichukulia pia kuwa; wanawake ni wengi kuliko wanaume.

Kuhusu kushare experience; Kimsingi watu hujifunza kuishi kutokana na hali yao hata hivyo hakuna njia moja ambayo ni sahihi kwani hutegemea mambo mengi; ikiwepo uwezo wa kifedha, support anayopata kwenye familia, mji au eneo anapoishi, marafiki nk

Mwanamke huingia menopause kwenye 45yrs hivi , hivyo 35 bado ni umri mzuri tu wa kuolewa!
Unawaamsha sasa mbona? Huko ndo tunajipigia kitonga siku hizi mkuu
 
Sasa kama ni lesbian mtu anatakaje kuolewa? Ndoa ya mume na mke??
Lesbian ni mahusiano ya kibinadamu au ni matatizo ya kiakili kama ulivyo ushoga na fetishes zingine?!

Na inaonekana wewe hauwajui vizuri hao malesbian. Wale huwa wanajipa uigizaji wa kijinga sana. Eti mojawapo anajifanya mke mwingine mwanaume halafu wanaigiza. Hebu imagine ni kama wewe uwe na mche wa sabuni halafu uigize ni pande la dhahabu. Sasa si unaona ni ugonjwa wa akili huo?

Yaani ukatae kitu halafu ukifanye vile vile na jinsia yako kwa namna ya kuigiza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo matumaini uliyonayo ya kutoka kwenye umaskini ni hivyo hivyo wanawake waliopo above 35 wanayo kuingia kwenye ndoa. Narudia usiwape stress Dada zetu. Ni umri na miili yao, wewe mwanaume yanakuhusu nini? Tunasumbuliwa na story za ndoa kutoka kwa hawa mademu sababu ya wanaume kama nyie.
Acha unafiki hapa. Wewe ndie utakae waoa. Au unawafariji wenzako kinafiki?

Unafananisha umasikini na Ndoa, haupo serious na maisha wewe u need to educate yourself.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una maneno makali sana, alafu unaamini sana kwenye fikra zako! Unadhani kila kilichomo kwenye akili yako ndo kiko hivyo hivyo kwenye uhalisia.

Nataka nikwambie kuwa unakosea, tena sana! Jifunze kuwaza nje ya box, jifunze kuwa na flexible mind & jifunze kuwa tayari kusikia hata usiyopenda kuyasikia.

Kwa kusema hivo namaanisha hivi, kuna mtu anaweza kuwa yuko 40 lakini wala hakuwa kicheche, hakuwa na bahati tu. Na siyo kwamba walioko kwenye ndoa ndiyo wenye akili sana, au wametulia sana au wako bora sana!

Ukishajifunza kuangalia dunia kwa jicho la tatu, hutakaa kumvunja mtu moyo na ku-generalise mambo!
Kama ulivyotumia mfano wa wachache kutetea wengi na mimi natumia experience ya wengi niliowaona kulinda wachache wanaostahili kutetewa dhidi ya wengi wanaojificha kundi hilo la wachache.

Sasa usilazimishe niwe na mitazamo kama yako wakati sote tunajua haujui ninachokiongea sababu umechagua kukaa upande wako. Ila unajua ukweli upo na haya mambo yapo.

Ni ni kwasababu ya watu kama wewe ambao kwa sura ya unafiki unakuja kutetea viumbe ambao wanasura na haiba ya ndumi la kuwili. Wanapokosea wanajivika sura ya huruma na ukimya wa ukiwa ili kutetewa na wasiojitambua kama wewe ambao kazi ni kutafuta ushujaa ambao hauna faida na jamii zaidi ya kufunika tabia zenye kuleta matokeo mabovu ziendelee.

Acha tukemee wewe ili wengine wakiona dada zao wanachopitia wanakuwa alerted kuwa wakizingua jamii itawaonaje na kuwatreat vipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa nyongo ya mamba ni sumu au si sumu maana ndio ukweli upo hapo.

Kuhusu kitambi haikuwahi kuwa agreed na watanzania wote kuwa kitambi ni ishara ya utajiri maana hata masikini walikuwa navyo.

Tukirejea kwenye eneo la ndoa, hili janga limeanza kuonekana mwanzoni mwa miaka ya 2000 hadi leo hii ni miongo miwili so it means sio muda mrefu tokea janga lianze na sasa ndipo wale walioshobokea life style hiyo ya janga wanaanza kuvuna walichopanda.

Sasa acha kupotosha kwamba kuna siku kwamba jamii itazoea wanawake kuishi bila Ndoa huko ni kujidanganya kwasababu zifuatazo.

1. Kwasasa kutokana na kutetereka kwa taasisi ndoa kumekuwa na ongezeko la watoto wa mitaani. Jamii imejua ndio maana kelele za ndoa zinaongezeka miaka hii kuliko kipindi chochote kile cha jamii ya mtanzania.

2. Ndoa ni taasisi muhimu katika ujenzi wa taifa. Viongozi na jamii wanalijua hilo hivyo ni ngumu kuwa watachekea kufeli kwa taasisi hii.

3. Wanawake wanaoishi nje ya ndoa ni minority ya population ya wanawake wote. Idadi kubwa ni waliopo katika ndoa maana zinafungwa kila siku, na wale mabinti ambao bado hawajaolewa.

4. Ndoa ndio chimbuko la mafanikio ya kiuchumi na ustawi wa jamii ikiwamo malezi ya watoto, wanaume hawataacha kuoa na watatafuta wanawake ambao wanavigezo vya kuwa mke sio bora mwanamke, sasa umri ukiwa umeenda wewe tayari hauna vigezo wataolewa mabinti wadogo chini yako umri wa chini ya miaka 30.

So tusipotoshane kuwa kuna siku jamii itasema ndoa ni mzigo na watu waishi kiholela bila NDOA hiyo sahau.

Katika taasisi imara na ya muda mrefu basi ni ndoa. Imekuwapo kwa vizazi na vizazi. Hailazimishwi ila watu huitafuta na kuingia kwa moyo wa hiyari na wakuitaka kwa masilahi yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jamaa nahisi huna hata passport namaanisha hujajichanganya ulimwenguni kwenye jamii tofauti. Na hili ni tatizo la watanzania wengi. Ndoa sio ya Kila mtu. Yani sio kila mwanaume ameumbwa kuoa na sio kila mwanamke ameumbwa kuolewa, Yani ndoa sio ya kila mtu. Vilevile sio kila mtu ameumbwa awe mzazi, wengine hawatakiwi kulea watoto sababu hawana uvumilivu Kwa watoto. Jamaa kakwambia ukweli, tupo kwenye stage ya ushamba miaka ya baadae tutaona kawaida kuhusu kuoa na kuolewa kuwa sio ishu. Kama ilivyo kwenye teknolojia tulivyozidiwa na wazungu, vilevile hii stage ya kuona kuolewa ni lazima wenzetu walishaipita miaka mingi. Kama furaha yako ni kuwa na familia usidhani ni kila mtu. Sasa hivi furaha ya kila mtu duniani ni kuwa na hela nyingi na kuwa na peace of mind basi. Mengine ni nyongeza tu.
 
Mambo kama hizi ndio zinawatia dada zetu pressure. Unakuta huku uswahilini watu wamechukuana tu wanaishi chumba kimoja kila siku ugomvi, maisha hayaeleweki lakini bi dada akitoka hapo anaenda kujisifia kwa wenzake eti mimi nina mume na kila siku anakula kipigo.

Madhara yake inapelekea msichana kuangukia kwa mwanaume hata asiekuwa sahihi ili tu nae aonekane ni mkee wa mtu kitu kinacho zidisha idadi ya masingo maza kwa kasi ya 5g.

Kwa miaka 35+ kwa mwanamke huyo ni mkongwe kama hana mtoto ndio wakati wakutafuta na sii kukimbilia kutafuta mume.

Kama tayari kwa huo umri unawatoto endelea tu na maisha yako, ukipata wa kukuchakata siku moja moja sio mbaya maana sii vizuri mwanamke kukaa muda mrefu bila kutombwa
Unajua changamoto ninayoiona ni kuwa katika jamii kuna watu kama wewe ambao huwa mnajifanya ni comforter in general wa jamii. Ila huwezi kuta mtu kama wewe unakaa chini kukemea binti ambae katika umri mdogo kwa makusudi anachagua kutumia mwili wake kama malighafi ya kujipatia kipato.

Utasikia muache bwana si maisha yake we inakuhusu nini. Then hapa tena kwa unafiki ule ule unakuja unasema tunawasema kwakua wamefikia hatua hawana ujanja so tunawapa stresss


Nani aliyekwambia sisi tunafurahia kuwasema? Sisi tunaumia pia kuwasema hawa ila ni natural process na ni lazima itokee ili kukinga jamii na madhara ya kundi la WANAWAKE wa hivi ambao wakiachwa bila kuongea lolote wanajionea sawa tu na kuishi wakiendelea kushawishi watoto wa kike kufuata mkondo wao.

Wewe unadhani kuna mwanamke ambae kafika 35+ hajaolewa atafurahia kuona binti mdogo wa miaka 20+ anachumbiwa, anaolewa na kupata watoto ndani ya ndoa na kuishi vema katika jamii yetu?! La hasha. Furaha ni kuona wanawake wanapotoka na kuharibu kama yeye ili wawe wengi.

Na ndio maana katika hizi topic huwezi kuta mwanamke anakaa upande wa wanaume sababu wanawake wana asili ya kuharibu wanapoachiwa kujifanyia maamuzi muhimu kama haya ya ndoa na familia.

Sasa wewe unakuja hapa na kujifanya mfariji wao nenda wafuate PM uwaambie sisi hapa tuna kazi moja ya kukemea kazi ya shetani.

Wewe unasema sijui wanawake hawapati wanaume, hivi wewe upo serious na unachofikiria kwenye kichwa chako?

Hao wanaokosa wanaume wanatafutia bara au sayari gani?! Kila unapokwenda kwenye social media na social network ni wanaume kulalamikia uhaba wa wake wa kuoa. Sababu wanazotoa wanaume za kukosa wake ni mambo ya wanawake kutaka pesa, kutoheshimu waume zao, kutokuwa watii, kutoshirikiana na wanaume wao katkka mipango ya kifamilia, usaliti, tamaa etc. Nenda kamuulize sasa mdada unalalamika umekosa mume hawa wanaolalamikia kukosa wake au wapenzi hauwaoni, then ujionee namna mwanamke anachagua kuwa alivyo.

So wakifika hiyo age sisi huwa tunajua huyu alikuwa msumbufu age imeenda sasa anatubu ndio maana tunawasema. Sio wote wamekosa mahusiano sababu walitaka ila wengi ni matokeo ya maamuzi yao na mipango yao wakati wakiwa bado mabinti ila wakishapoteza mvuto na muda umeshaenda ndio wanajiweka sokoni, nani sasa aje kuchukua mtu umri umeenda na hakuna la kufanya nae katika umri huo.

Hebu kausha kama hujui kinachoendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke wa miaka 35 kashakwepa mishale mingi ya kimahusiano wengi hata nyege zenyewe hawana, na ukikuta anayetaka kuolewa sababu maisha magumu apate wa kumtunza wachache ambao hawajapitia misukosuki ndio wataishi kwa stress ya ndoa.
Chipsi hata zikiwa na pili pili nyingi kiasi gani bado ukiziona utatamani tu kuzila tena na tena.

Same kwenye NDOA, hata kama ina madhira gani utaitamani tu iwe isiwe. Tusipotoshe jamii hapa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu kama hicho. Hili kundi litakuwa shamba darasa kwa wadogo zao na mabinti zao ambao wataona madhara ya kuleta ushubwada na udangaji kwenye maisha na mambo serious.

Vibinti vya kuzaliwa kati ya mwaka 1999 na 2000 kuja uku juu ndivyo vinakimbiza soko kwa sasa na vinaolewa mapema sana katika umri wa kati ya 20 hadi 25. Fuatilia.

Wameona dada zao wanavyozalishwa na kutupwa sababu ya kuendekeza udangaji na tamaa za mali.

Pia wameona hasara ya kuruka na wanaume tofauti kila mwaka.

So trust me it won't be accepted. Ila hawa sasa shamba darasa sasa hivi baada ya kuwa "Age go" wanaanza kuleta kauli za kishujaa ndio tunapita nao kinoko hivi kwa kuwapa makavu live.

Wanataka tusympathize nao kwani sisi ndio ambao tuliwaambia wawe micharuko kipindi wakiwa mabinti?

Hapa tunasukuma ndani wadangaji.... Sukuma ndani vicheche wastaafu ..... Sukuma ndani wale waliosema umepata wapi namba yangu..... Sukuma ndani wale wa koma kunifuatilia maisha yangu mimi sio type yako..... Sukuma ndani wale wa sihitaji ndoa mimi..... Sukuma ndani wale wa nitaolewa nikitaka kwasasa naishi nitakavyo..... Lazima watoke jasho.

Sukuma ndani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah kweli “sukuma ndanii” unawapa makavu live!! Wanajifariji tu ila in reality deep down wanaumia sana
 
Mafanikio huleta furaha na pride au confidence. Mafanikio yapo nyanja mbali mbali katika level ya mtu binafsi.

1.Kielimu
2.Kijamii
3.Kiuchumi

Hayo ndio top three ila sio kila mtu anafanikiwa katika yote. Ukikosa kimojawapo huwa kuna hali ya kujihisi duni tu na kuona kama hueleweki kwenye jamii hata ukijifanya hujali ila sononeko lipo tu.
Kuna watu hawajali. Kinachowachosha ni kelele za watu wanaowataka wajali kama wao. Wawe na mtazamo kama wao. Mmoja anafikiri kuolewa ni mafanikio. Anataka na wengine waone hivyo. Wengine huwa hata watoto hawataki, lakini wale wenye watoto watataka kuflaunt watoto wao. Ni stage ya ushamba tu tunapitia
 
Umuhimu wa ndoa kwangu ni kwasababu Sipendi Uzinzi na kuzaa hovyo kila mtoto na baba yake. Nje ya hapo sioni umuhimu wa ndoa.

Ningezaa na mwanaume mmoja kila mmoja na maisha yake tusaidiane kulea nikitaka mechi natafuta kiwanja chochote naenda kuchakachua. Maisha ya ndoa ni utumwa tu.
Unaona sasa wanawake mlivyo na roho mbaya kwa wenzenu? Unasema kitu kibaya yet bado upo nacho.

Ni sawa na mtu ununue gari halafu uwaambie wenzako kumiliki gari ni kutiana umasikini usinunue, halina faida zaidi ya kukupeleka mjini, kukupa privacy, kukupa usalama, kukupa heshima katika jamii na kukupunguzia gharama za usafiri na mizunguko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yaani hapo hapo unawapa faida kiaina halafu unawapotosha. MUNGU anakuona ujue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah kweli “sukuma ndanii” unawapa makavu live!! Wanajifariji tu ila in reality deep down wanaumia sana
Uliambiwa kuwa kipindi icho walikiwa micharuko ama izo ndo estimations zako kwa Sasa,ukiwa inaishia kwenye dunia hii Kuna vitu vingi vitakavyo pelekea situation kwa mlengwa yaweza kuwa mbaya au nzuri .kwaiyo wewe ukipita maisha Yako ya myooko usizani Kila sampuli ya wasichana ni wadangaji ndo mana hawajaolewa mpaka Sasa ..loooh mfyuuu
 
Ndoa za Mitara zipitishwe ili hao wengine wapate stara
At least wewe dada umetoa hoja nzuri. Umeongea jambo la kuwasaidia wanawake wenzako. Ila sio hawa wakuda wengine wanaojaribu kutetea eti ni kawaida na aina shida wakati wenzao wanateseka na kufedheheshwa na haya maisha ya usingo.

Asikwambie mtu nje ya ndoa mtoto wa kike anapatwa na fedheha na mateso mengi.

Ndio maana tunakemea hapa ili hivi vibinti vya umri wa miaka chini ya 23 vijifunze na kujua huku mbeleni hakuna faraja wala kutetewa ni mwendo wa spana na kunangwa hadi adabu iwashike.

Sisi tunawapenda dada zetu ndio maana tunawasema kila uchwao. Achaneni na haya majinga yanayosema tusiwaseme wanawake tunawapa stress. Haya majinga ndio yamesababisha mabinti wanazalishwa hovyo sababu ya ile dhana mbaya kuwa mtoto wa kike hasemwi au hakemewi anapokosea.

Zamani watoto wa kike kitendo cha kuvaa nguo za kukosa maadili anasemwa kama kauwa mtu siku hizi mabinti wanavaa nyavu inaonyesha kila kitu cha ndani anapanda boda boda anajiachia kwenye barabara huko wanawake wenzake mnakaa kimya wanaume wanachekelea na wale wanaochukizwa wanashindwa kusema. Haya mambo yanazidi kuongezeka, sasa mnataka tucheke.

Ukiona mtu umri umefikia 35+ hayupo katika mahusiano serious nakuapia hapa asilimia 99% ni yeye. Miaka 35+ amekutana na wanaume wangapi kwa idadi?!


Wangapi walionyesha nia ya kumtaka kimaisha akasema hapana mimi nina mipango yangu kwanza. Leo wanajifanya ooooh mipango ya MUNGU, MUNGU gani huyo wanaemzungumzia.

Juzi tu hapa napita mtaa fulani nimekutana na mabinti wazuri sana rika la 22,nikawasimamisha kuwasalimia na kuwauliza jambo, walinipita kama ni mchina ameongea kichina na watu ambao ni mabubu na viziwi. Yaani ile dharau ya dry. Dah nikasema kwasababu "subirini mfike miaka 30 na hizo dharau zen"[emoji23][emoji23]

Wakacheka kile kicheko cha umetuchekesha balaa nikasikia m'moja anawauliza wenzake " Amesemaje? "

Sasa hawa wasipotoboa baade hadi 35+ kimahusiano lazima tuwakalie kooni.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Utumwa kama uliyeoana nae hujampenda/hajakupenda.... Kama mmependana yaani unaishi na Soulmate wako ni Maisha ya Raha yasiyoelezeka,
Kikubwa ni kujuana Tabia na kuishi kulingana na Mazingira yenu, migongano hua ipo tu ndio Ubinaadam lakini Ndoa sio mbaya Watu ndio wabaya.
Kabisa yaani. Wewe dada unajua maana ya NDOA. Maneno yako yamenyooka kabisa. Na MUNGU atakubarikia uzao wako utakuwa wa ndoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom