Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Una maneno makali sana, alafu unaamini sana kwenye fikra zako! Unadhani kila kilichomo kwenye akili yako ndo kiko hivyo hivyo kwenye uhalisia.

Nataka nikwambie kuwa unakosea, tena sana! Jifunze kuwaza nje ya box, jifunze kuwa na flexible mind & jifunze kuwa tayari kusikia hata usiyopenda kuyasikia.

Kwa kusema hivo namaanisha hivi, kuna mtu anaweza kuwa yuko 40 lakini wala hakuwa kicheche, hakuwa na bahati tu. Na siyo kwamba walioko kwenye ndoa ndiyo wenye akili sana, au wametulia sana au wako bora sana!

Ukishajifunza kuangalia dunia kwa jicho la tatu, hutakaa kumvunja mtu moyo na ku-generalise mambo!
Achana nae huyo
 
Ni Utumwa kama uliyeoana nae hujampenda/hajakupenda.... Kama mmependana yaani unaishi na Soulmate wako ni Maisha ya Raha yasiyoelezeka,
Kikubwa ni kujuana Tabia na kuishi kulingana na Mazingira yenu, migongano hua ipo tu ndio Ubinaadam lakini Ndoa sio mbaya Watu ndio wabaya.
Kuna vitu huwezi kuwa huru kuvifanya ukiwa ndani ya ndoa Haijalishi mwanamke au mwanaume .
 
Unanikumbusha kipindi nikiwa bwana mdogo wa vidudu. Nilikuwa nikipata maralia najitahidi kujikaza ili bi mkubwa asijue kuwa ni mgonjwa ili nisiende hospital.

Basi nakuwa najikeep busy najirusha rusha najifanya nipo fiti ila mzazi ni mzazi anajua tu mtoto wangu hayupo sawa. Ananiita ananipima kwa mkono anajua sipo sawa ni mgonjwa ananipeleka hospital naandikiwa sindano naingia katika kile chumba cha sindano kuface my worst nightmare.


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

So i see the same experience here. But don't worry no one is saying you committed a crime. Its just that u are in that zone where we can't say anything rough kwako. Come here give me a hug. We love you.

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani wewe ndio unafit perfectly nilivyodescribe hapo juu...

Mnataka tuwe watu waku feel sorry for ourselves, sad, tulie...

Mkikuta hali ni tofauti,napo hamuamini,,,

Mnakuja na story za kujifanyisha, kwamba tunajifanyisha tuko strong...

Yote ni sababu mnaamini kutokuolewa ni kitu cha kinyonge, mtu lazima afeel sad,

Bro huwezi kujua perfectly kutokuolewa kuna feel aje,....

Zote ulizonazo ni imaginations/assumptations tu...

Again, there's no guilty about it, and there's no kujifanyisha strong either...
Human nature itaendelea kubaki pale pale huwez shindana nayo mwanamke anatakiwa Aishi na mwanaume same kwa mwanaume

Kuna mmoja alikua kama wewe siku amepata mwanaume akaolewa alipata furaha ambayo sikuwahi kuiona nikamuuliza vip Ile misimamo yake akaniambia niache ujinga in short huwez shindana na nature
 
Kwahiyo wewe umeolewa ila unataka wenzako wasiolewe.....?

Kweli adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake.

Sasa sisi tunavyowasisitiza hapa unaona tunakosea ila wewe kuwapotosha ndio sawa ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wasiolewe .Kuna wengine hawataki kuolewa ndo hao wewe unawajaji. Wao wana furaha kutokuolewa. Tatizo mkimwona mtu ana 40 na hajaolewa mnaona anaishi maisha ya huzuni. Nop ikute mtu kaamua mwenyewe na ana furaha,unless mtu ambae anapenda kuolewa na hajaolewa. Binafsi hata kama nisingeolewa ningekuwa sawa tu.
 
Human nature itaendelea kubaki pale pale huwez shindana nayo mwanamke anatakiwa Aishi na mwanaume same kwa mwanaume

Kuna mmoja alikua kama wewe siku amepata mwanaume akaolewa alipata furaha ambayo sikuwahi kuiona nikamuuliza vip Ile misimamo yake akaniambia niache ujinga in short huwez shindana na nature
Who told you kuwa mwanamke anatakiwa aishi na mwanaume ?Mwanamke anaweza ishi na mwanaume na anaweza ishi peke yake pia. Yesu mwenyewe aliishi peke yake. Paul anasema kabisa anatamani wanaume waishi peke yao. Ila.sababu ya matamanio so kila mwanaume awe na mwanamke wake. So mwanaume anaweza ishi peke yake,mwanamke pia anaweza ishi peke yake .
 
Who told you kuwa mwanamke anatakiwa aishi na mwanaume ?Mwanamke anaweza ishi na mwanaume na anaweza ishi peke yake pia. Yesu mwenyewe aliishi peke yake. Paul anasema kabisa anatamani wanaume waishi peke yao. Ila.sababu ya matamanio so kila mwanaume awe na mwanamke wake. So mwanaume anaweza ishi peke yake,mwanamke pia anaweza ishi peke yake .
Mtu aishi peke yake only if akiweza kuishi bila kufanya ngono, maana hakuna dini inayoruhusu zinaa.
 
mbona sawa tuu....

shida ni pale wengine wanapokuona mkosaji, its your fault and you should feel guilty about it,

lets face it, hata km Mungu angeumba wanawake population sawa na wanaume, still sio wanawake wote wangeolewa due to other factors as well,

yes im 39 single, dont feel sorry for me, there's nothing to feel sorry about and dont bother make me feel guilty, you wont suscseed..lol
Mkuu, nimefurahi kukuona tena. Naamini nimesoma vizuri nikaelewa..hahah!!
 
Kutoolewa katika umri fulani huja na maneno mengi, na mengi huwa hasi, ya kukera au kuumiza. Lakini je, kila kitu ni kibaya kwa wanawake ambao wamefikia umri wa miaka 35 au zaidi na bado hawajaolewa?

Wanawake wengi wasio na waume walio na umri wa miaka 35 na zaidi, wanahisi kutokuwa salama na hawana makao katika familia zao hasa katika hali ambapo wazazi na ndugu wanatoa maneno ya kejeli kuhusu useja wao.

Vyombo vya habari vya kawaida pia hutoa mawazo haya, kwa mfano katika maonesho kama vile sitcom maarufu, ‘Ngono na Jiji’ ambayo inawakilisha wahusika wakuu wa kike ambao wanazingatia sana ndoa.

Je, unaweza kuwa na furaha ukiwa single katika miaka ya 35 na zaidi? Hilo tuongee hapa.
Kuolewa au kutoolewa vyote sawa kikubwa unayafurahia Maisha ya Ulimwengu unakuta Mtu kaolewa anaishi Kama kichaa + majeraha ya Kipigo Cha Mbwa Koko Sasa hapo ni Bora ambaye hajaolewa.
Kwa ufupi Kama umebahatika kupata mwenzi wako na unaishi vizuri Mshukuru Mungu Ila usilete dhihaka kwa ambao hawajaolewa maana Kuna sababu mbalimbali za kutoolewa.
 
Kuna vitu huwezi kuwa huru kuvifanya ukiwa ndani ya ndoa Haijalishi mwanamke au mwanaume .
Taja hivyo vitu ukitoa Uzinzi na Umalaya ambao wengi ndio hudhibitiwa.

Kama una kiu ya elimu utasoma,
Biashara utafanya
Sherehe za stara utakwenda

Unataka nini zaidi?
 
HV mpaka unazaa na mtu uliwaza nn au kutamani kipi Kati yenu ?
Wengi wanaozaa zinakuwa siyo plan zao kuzaa, ni uzembe wa wanawake kutozingatia mzunguko wao na wapo wanawake wanaodhamiria kabisa lazima azae na wewe.

Mwenye uwezo wa kuzuia uzazi usiokuwa na plan ni mwanamke, mwanaume hajui mzunguko wa mwanamke ukoje, wanaume wengi hawapo tayari kuzaa kabla hawajajiandaa ndio unakuta kesi za kukataa mimba au kutokutowa matunzo ya ujauzito hadi mtoto source kuu ni wanawake, akimpenda mwanaume zawadi yake ni mtoto.
 
Wengi wanaozaa zinakuwa siyo plan zao kuzaa, ni uzembe wa wanawake kutozingatia mzunguko wao na wapo wanawake wanaodhamiria kabisa lazima azae na wewe.

Mwenye uwezo wa kuzuia uzazi usiokuwa na plan ni mwanamke, mwanaume hajui mzunguko wa mwanamke ukoje, wanaume wengi hawapo tayari kuzaa kabla hawajajiandaa ndio unakuta kesi za kukataa mimba au kutokutowa matunzo ya ujauzito hadi mtoto source kuu ni wanawake, akimpenda mwanaume zawadi yake ni mtoto.
Yeah mtaalamu dada zetu bhana na wishes zao wakiamin wajuba ukiwazalia umewakamata.
ila kuzaa si Ni kuanzisha familia ..it means walishawaza kuwekwa ndani au kuishi pair till vitu viende hovyo.
 
Back
Top Bottom