Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,341
- 2,121
Jambo gani? lipi hilo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa ndiyo inasema na kuaminisha watu hivyo. Haifanyi kuwa kweliMaisha ya upweke hayo
Ambayo hata huko Ulaya wanakufa na Insomnia.
Au uwe single mama
Nadhani sitakuwa karibu yako wakati ukisononeka ila najua kuwa hiki kifungo ni cha maisha.Ni stage tu. Tukiipita tutakuwa tukiangalia nyuma na kushangaa jinsi tulivyokuw tunaona kuolewa ni mafanikio
Unaona sasa? Unahisi kila mtu anapitia life kama yako.Eti mmeoza wote wana miji yao, unaongea uongo..huo ni uongo!
Bishana sasa na ukweli halafu uone mziki wake.Jamaa ndiyo inasema na kuaminisha watu hivyo. Haifanyi kuwa kweli
Ndiyo Bado...au basLakini wewe...au basi
Wanavyopenda kujitutumua,utasikia....sisi wanaume Kwa umri huo Bado sana 🤣🤣🤣🤣😏Naisubir hiyo unitag kabisa🤣
Kinachoitwa ukweli kinategemea na uelewa wa watu. Mfano leo watanzania wengi watakwambia nyongo ya mamba ni sumu. Kwao huo ni ukweli. Lakini wengi kusema hivyo halifanyi kuwa kweli. Ni stage ya ushamba tunapitia. Kama ile ya zamani kuamini mwenye kitambi anahela na ana afya.
Watapunch TU si unawajua Kwa midomo mirefu haoAfadhal maanaaa...
Ndo zao hizo😂Wanavyopenda kujitutumua,utasikia....sisi wanaume Kwa umri huo Bado sana 🤣🤣🤣🤣😏
❤️🤜Nitakununulia viatu....unapotaja size Yako nitagHili nalo wakalitazame.
Mtume muhammad alimuoa bi hadija akiwa na miaka 40.
Msiwavunje moyo wadada wa watu umri ni namba tu.
🤣🤣🤣🤣Naona akina dada mna kikao chenu usiku mnene
🤣watajijua ilimradi nao wanakufa na stressNdo zao hizo😂
Naona TU mnavyotuuwa🤣🤣🤣🤣
Wengi wanastress Tena wapweke mno na umri inakimbia wengine hta watoto hawana kabisa na wakusingiziwa nao hakuna 😂,🤣watajijua ilimradi nao wanakufa na stress
🤣Mdomo huo🙄Ndio kinakuwa hakina ladha tena.
🙊Punguza volume tafadhali....wataibuka hapa tushangae🤣Wengi wanastress Tena wapweke mno na umri inakimbia wengine hta watoto hawana kabisa na wakusingiziwa nao hakuna 😂