Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Kuolewa si lazima.
Ingekuwa hiyari 90 ya wanawake wangekuwa single bila watoto wala majukumu ya familia hawajui.

Ila unfortunately ni ile lazima kama ya kula.

Hapo ni kama umesema kula lazima.... Nyoo usile uone balaa lake.

Sasa usiolewe utasoma namba huko mbeleni.

Kuna vitu vya kususa au kuahirisha katika maisha ila sio kuoga, kula, kulala, NDOA na mahusiano serious.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Never count me in. Acha kuweka wanawake wote kwenye kapu moja. We differ. By the way nimeolewa ndoa tena kanisani na sherehe kama yote .Na watoto ninao wengi tu na bado nazaa. Ila siwezi kuwaona wanawake ambao hawajaolewa at their 30's eti wanakosa kitu. No. Kuolewa ni choice. Na wanawake wengi tu single wana furaha kuliko hata walio kwenye ndoa.
Kwahiyo wewe umeolewa ila unataka wenzako wasiolewe.....?

Kweli adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake.

Sasa sisi tunavyowasisitiza hapa unaona tunakosea ila wewe kuwapotosha ndio sawa ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu achaneni na dada zetu.Huu ni upumbufu, utajiskiaje mtu akikuuliza unajiskiaje kuwa maskini? Halafu maswali yanaulizwa na watu wasiopata mademu wa maana.
Umasikini unaweza kuvumilika sababu ukitoboa hata umri umeenda still maisha utayafurahia. Ila ndoa umri wake ni wakati wa ujana tena ukiwa kinda.

Ukiwashafika umri wa ukuta aaaaah hapo ni basi tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa Yani kugeuka geuka pekeyako kama kambale [emoji23]hainogi sana ila nafikiri ni makosa tu ya ujana ila muda ukishapita na ukikubalibiyo hali unaweza ona kawaida kama hapo juu wanavoeleza lkn kunastage lazima ulipitiwa kipindi Cha akili kuwaza sana kuwa na ndoa maana ndoa ndo familia yenyew Sasa
Imagine kulala kama panga stoo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu kama hicho. Hili kundi litakuwa shamba darasa kwa wadogo zao na mabinti zao ambao wataona madhara ya kuleta ushubwada na udangaji kwenye maisha na mambo serious.

Vibinti vya kuzaliwa kati ya mwaka 1999 na 2000 kuja uku juu ndivyo vinakimbiza soko kwa sasa na vinaolewa mapema sana katika umri wa kati ya 20 hadi 25. Fuatilia.

Wameona dada zao wanavyozalishwa na kutupwa sababu ya kuendekeza udangaji na tamaa za mali.

Pia wameona hasara ya kuruka na wanaume tofauti kila mwaka.

So trust me it won't be accepted. Ila hawa sasa shamba darasa sasa hivi baada ya kuwa "Age go" wanaanza kuleta kauli za kishujaa ndio tunapita nao kinoko hivi kwa kuwapa makavu live.

Wanataka tusympathize nao kwani sisi ndio ambao tuliwaambia wawe micharuko kipindi wakiwa mabinti?

Hapa tunasukuma ndani wadangaji.... Sukuma ndani vicheche wastaafu ..... Sukuma ndani wale waliosema umepata wapi namba yangu..... Sukuma ndani wale wa koma kunifuatilia maisha yangu mimi sio type yako..... Sukuma ndani wale wa sihitaji ndoa mimi..... Sukuma ndani wale wa nitaolewa nikitaka kwasasa naishi nitakavyo..... Lazima watoke jasho.

Sukuma ndani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni stage tu. Tukiipita tutakuwa tukiangalia nyuma na kushangaa jinsi tulivyokuw tunaona kuolewa ni mafanikio
 
Back
Top Bottom