Mmmmmmhmn ni kweli pia at this certain age kuna watu wanajaribu kurudi shule wasome just kufulfil ile desire ya kuwa msomi ila sasa its pointless maana umri umeshaenda.
Kuna vitu umri ukishaenda ukivifanya vinakuwa havina maana tena na hata jamii inaona ni kituko.
Umri wa ndoa kwa mwanamke ni chini ya 30. Kuanzia 31 kwenda juu then know haupo serious na mipangilio yako ya maisha.
Sasa wewe unasema above 39 umeona wanaolewa kwenda kugundua nini tena katika ndoa?
Umri huo hauna experience ya kukaa na mume tena. Umeshaonjwa hadi basi, mwili umeshaanza kupoteza mvuto, hata ukitafuta mtoto unamleta ukiwa hauna experience ya kuwa mzazi maana haujawahi kuwa na mtoto kuna vingi utakuwa haujui plus stress za maisha sijui utacoupe vipi na malezi ya watoto.
Its a known and open truth that mwanamke ukifika 35 kwenda juu hauna mahusiano serious na haukuwahi kuwa katika mahusiano serious then jua tu umeshachana mkeka. Yaani umedisco mahusiano. Unachojaribu kufanya ni kuigizia kuwa katika mahusiano but hayatakuwa serious maana utakutana na takataka au mabaki ya wanaume katika umri huo wenye matatizo ya kila aina katika past relationships zao.
Sent using
Jamii Forums mobile app