Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Wanawake wenye miaka 35+ wanachukuliaje hali ya kuwa "single"?

Hizi threads zinaleta tensio ukubwa wa tatizo ni kujua zaidi tatizo.. Naona ni fair sana hususani katika Maisha watu hwafanani kuwa wanawake wameolewa miaka ya mapema sana 19 tayar ana mtoto wengine mpaka 35 bado wako 40 wakina lady jay Dee na salama jabir yote swa tu coz fainal dunia tunapita...Tabia hilo tatizo lipo kwa jamii za sasa kwa kiasi kikubwa kwa nn mtu alazimishe na kupewa uoga wakati jambo liko nje wa uwezo wake? Kama hakujaaliwa usiforce ubaya ya tensions kama izi kutoka kwa watu ndo zinapelekea watu kujinyonga.

Wapo wadada wamekosa watu kabisa kuwa nao kutokana na kila anayekutana nae ni ovyo iyo ni nafsi yake kikubwa anaishi tu...makazini lipo sana kamtu kameolewa au kameoa basi kanaanza kujifanya kanajua kila kitu kisa kina mtoto kuforce wengine wawe kama yeye ni swala baya sana...miaka 35 kwa demu ambaye hajachezewa sana bado yupo poa sana labda kama aliaanza kuchezewa kitambo
Acheni kutajataja majina ya watu kwenye comment zenu, unataja watu walishaolewaga na wakakaa kwenye ndoa wakaona ni upuzi, na wengine ambao hawana shida na huko kuolewa, hivi unajua wapo wadada hawana shobo na kuolewa?? Usichukue mentality za mazoea ukadhani kila mwanamke wa over 35 na yuko single basi ana shida sana ya ndoa wengine wanajionea poa tu.
 
Kinachoitwa ukweli kinategemea na uelewa wa watu. Mfano leo watanzania wengi watakwambia nyongo ya mamba ni sumu. Kwao huo ni ukweli. Lakini wengi kusema hivyo halifanyi kuwa kweli. Ni stage ya ushamba tunapitia. Kama ile ya zamani kuamini mwenye kitambi anahela na ana afya.
Sasa nyongo ya mamba ni sumu au si sumu maana ndio ukweli upo hapo.

Kuhusu kitambi haikuwahi kuwa agreed na watanzania wote kuwa kitambi ni ishara ya utajiri maana hata masikini walikuwa navyo.

Tukirejea kwenye eneo la ndoa, hili janga limeanza kuonekana mwanzoni mwa miaka ya 2000 hadi leo hii ni miongo miwili so it means sio muda mrefu tokea janga lianze na sasa ndipo wale walioshobokea life style hiyo ya janga wanaanza kuvuna walichopanda.

Sasa acha kupotosha kwamba kuna siku kwamba jamii itazoea wanawake kuishi bila Ndoa huko ni kujidanganya kwasababu zifuatazo.

1. Kwasasa kutokana na kutetereka kwa taasisi ndoa kumekuwa na ongezeko la watoto wa mitaani. Jamii imejua ndio maana kelele za ndoa zinaongezeka miaka hii kuliko kipindi chochote kile cha jamii ya mtanzania.

2. Ndoa ni taasisi muhimu katika ujenzi wa taifa. Viongozi na jamii wanalijua hilo hivyo ni ngumu kuwa watachekea kufeli kwa taasisi hii.

3. Wanawake wanaoishi nje ya ndoa ni minority ya population ya wanawake wote. Idadi kubwa ni waliopo katika ndoa maana zinafungwa kila siku, na wale mabinti ambao bado hawajaolewa.

4. Ndoa ndio chimbuko la mafanikio ya kiuchumi na ustawi wa jamii ikiwamo malezi ya watoto, wanaume hawataacha kuoa na watatafuta wanawake ambao wanavigezo vya kuwa mke sio bora mwanamke, sasa umri ukiwa umeenda wewe tayari hauna vigezo wataolewa mabinti wadogo chini yako umri wa chini ya miaka 30.

So tusipotoshane kuwa kuna siku jamii itasema ndoa ni mzigo na watu waishi kiholela bila NDOA hiyo sahau.

Katika taasisi imara na ya muda mrefu basi ni ndoa. Imekuwapo kwa vizazi na vizazi. Hailazimishwi ila watu huitafuta na kuingia kwa moyo wa hiyari na wakuitaka kwa masilahi yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni kutajataja majina ya watu kwenye comment zenu, unataja watu walishaolewaga na wakakaa kwenye ndoa wakaona ni upuzi, na wengine ambao hawana shida na huko kuolewa, hivi unajua wapo wadada hawana shobo na kuolewa?? Usichukue mentality za mazoea ukadhani kila mwanamke wa over 35 na yuko single basi ana shida sana ya ndoa wengine wanajionea poa tu.
Acha kuongea uongo. Hakunaga mwanamke wa hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umasikini unaweza kuvumilika sababu ukitoboa hata umri umeenda still maisha utayafurahia. Ila ndoa umri wake ni wakati wa ujana tena ukiwa kinda.

Ukiwashafika umri wa ukuta aaaaah hapo ni basi tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo matumaini uliyonayo ya kutoka kwenye umaskini ni hivyo hivyo wanawake waliopo above 35 wanayo kuingia kwenye ndoa. Narudia usiwape stress Dada zetu. Ni umri na miili yao, wewe mwanaume yanakuhusu nini? Tunasumbuliwa na story za ndoa kutoka kwa hawa mademu sababu ya wanaume kama nyie.
 
Mmmmmmhmn ni kweli pia at this certain age kuna watu wanajaribu kurudi shule wasome just kufulfil ile desire ya kuwa msomi ila sasa its pointless maana umri umeshaenda.


Kuna vitu umri ukishaenda ukivifanya vinakuwa havina maana tena na hata jamii inaona ni kituko.

Umri wa ndoa kwa mwanamke ni chini ya 30. Kuanzia 31 kwenda juu then know haupo serious na mipangilio yako ya maisha.

Sasa wewe unasema above 39 umeona wanaolewa kwenda kugundua nini tena katika ndoa?

Umri huo hauna experience ya kukaa na mume tena. Umeshaonjwa hadi basi, mwili umeshaanza kupoteza mvuto, hata ukitafuta mtoto unamleta ukiwa hauna experience ya kuwa mzazi maana haujawahi kuwa na mtoto kuna vingi utakuwa haujui plus stress za maisha sijui utacoupe vipi na malezi ya watoto.

Its a known and open truth that mwanamke ukifika 35 kwenda juu hauna mahusiano serious na haukuwahi kuwa katika mahusiano serious then jua tu umeshachana mkeka. Yaani umedisco mahusiano. Unachojaribu kufanya ni kuigizia kuwa katika mahusiano but hayatakuwa serious maana utakutana na takataka au mabaki ya wanaume katika umri huo wenye matatizo ya kila aina katika past relationships zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Una maneno makali sana, alafu unaamini sana kwenye fikra zako! Unadhani kila kilichomo kwenye akili yako ndo kiko hivyo hivyo kwenye uhalisia.

Nataka nikwambie kuwa unakosea, tena sana! Jifunze kuwaza nje ya box, jifunze kuwa na flexible mind & jifunze kuwa tayari kusikia hata usiyopenda kuyasikia.

Kwa kusema hivo namaanisha hivi, kuna mtu anaweza kuwa yuko 40 lakini wala hakuwa kicheche, hakuwa na bahati tu. Na siyo kwamba walioko kwenye ndoa ndiyo wenye akili sana, au wametulia sana au wako bora sana!

Ukishajifunza kuangalia dunia kwa jicho la tatu, hutakaa kumvunja mtu moyo na ku-generalise mambo!
 
Mambo kama hizi ndio zinawatia dada zetu pressure. Unakuta huku uswahilini watu wamechukuana tu wanaishi chumba kimoja kila siku ugomvi, maisha hayaeleweki lakini bi dada akitoka hapo anaenda kujisifia kwa wenzake eti mimi nina mume na kila siku anakula kipigo.

Madhara yake inapelekea msichana kuangukia kwa mwanaume hata asiekuwa sahihi ili tu nae aonekane ni mkee wa mtu kitu kinacho zidisha idadi ya masingo maza kwa kasi ya 5g.

Kwa miaka 35+ kwa mwanamke huyo ni mkongwe kama hana mtoto ndio wakati wakutafuta na sii kukimbilia kutafuta mume.

Kama tayari kwa huo umri unawatoto endelea tu na maisha yako, ukipata wa kukuchakata siku moja moja sio mbaya maana sii vizuri mwanamke kukaa muda mrefu bila kutombwa
 
Ingekuwa hiyari 90 ya wanawake wangekuwa single bila watoto wala majukumu ya familia hawajui.

Ila unfortunately ni ile lazima kama ya kula.

Hapo ni kama umesema kula lazima.... Nyoo usile uone balaa lake.

Sasa usiolewe utasoma namba huko mbeleni.

Kuna vitu vya kususa au kuahirisha katika maisha ila sio kuoga, kula, kulala, NDOA na mahusiano serious.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna mwanamke ambaye hataki kusema, "ntakusemea kwa babaako akuchape" 😂😂😂
 
Mwanamke wa miaka 35 kashakwepa mishale mingi ya kimahusiano wengi hata nyege zenyewe hawana, na ukikuta anayetaka kuolewa sababu maisha magumu apate wa kumtunza wachache ambao hawajapitia misukosuki ndio wataishi kwa stress ya ndoa.
 
Ni stage tu. Tukiipita tutakuwa tukiangalia nyuma na kushangaa jinsi tulivyokuw tunaona kuolewa ni mafanikio
Mafanikio huleta furaha na pride au confidence. Mafanikio yapo nyanja mbali mbali katika level ya mtu binafsi.

1.Kielimu
2.Kijamii
3.Kiuchumi

Hayo ndio top three ila sio kila mtu anafanikiwa katika yote. Ukikosa kimojawapo huwa kuna hali ya kujihisi duni tu na kuona kama hueleweki kwenye jamii hata ukijifanya hujali ila sononeko lipo tu.
 
Umuhimu wa ndoa kwangu ni kwasababu Sipendi Uzinzi na kuzaa hovyo kila mtoto na baba yake. Nje ya hapo sioni umuhimu wa ndoa.

Ningezaa na mwanaume mmoja kila mmoja na maisha yake tusaidiane kulea nikitaka mechi natafuta kiwanja chochote naenda kuchakachua. Maisha ya ndoa ni utumwa tu.
 
Umuhimu wa ndoa kwangu ni kwasababu Sipendi Uzinzi na kuzaa hovyo kila mtoto na baba yake. Nje ya hapo sioni umuhimu wa ndoa.

Ningezaa na mwanaume mmoja kila mmoja na maisha yake tusaidiane kulea nikitaka mechi natafuta kiwanja chochote naenda kuchakachua. Maisha ya ndoa ni utumwa tu.
Ni Utumwa kama uliyeoana nae hujampenda/hajakupenda.... Kama mmependana yaani unaishi na Soulmate wako ni Maisha ya Raha yasiyoelezeka,
Kikubwa ni kujuana Tabia na kuishi kulingana na Mazingira yenu, migongano hua ipo tu ndio Ubinaadam lakini Ndoa sio mbaya Watu ndio wabaya.
 
Back
Top Bottom