Mrs Gudman
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 613
- 1,297
Tuko veeeeerrr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua unatakiwa kuwa kichaa kusema unajipenda mwenyewe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utawasikia najipenda mbaka najiogopa ukiwaangalia kiundani wanastress mbaka basi
lose a lot, what do you lose??? be specific in your answer...nimechoka kusoma mautopolo yakoReality ni kuwa as you age you will loose alot as a woman who purposefully choose not to be married by making up excuses and lies.
So what, so ufanye makaratee tucheze ngololo harusi yako acha kuleta viswahili hapa mpendwa. Utaolewa
ni nonsense..unajijua mwenyewe unaandika nonsenseSio nonsense ni ukweli
Hata uhangaike vipi sijali, kwanza nyie ambao mko disrespectiful kwa wanawake wengine, wanawake walioolewa na nyie wana stress balaa...no one atakua na furaha na mwanaume disrespectiful ...poleni sana., single ladies wanaweza kuwa na furaha zaidi ya wanawake walioolewa na watu wenye mawazo ya kijima km nyie!Huku ndipo Anita Makirita and the rest wanaelekea. View attachment 2360749
Kuna watu wanatafuta dream man wao...Sizan Kama Kuna mwanamke mzma kiafya na kiakili akawa hataki kuolewa!!! Ila sema weng wao wanataftaga mwanaume mweny class furan na wa daraja la chini hataki.
wewe ndio una lako, kila mautopolo yako unayoandika humu unatumie anita as a reference, dada sijui kaka unanidai figo?Wewr una lako sio bure.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii nchi ina vijana wa hovyo sanaWewr una lako sio bure.
Ushasema wanaweza ila najua wajua probability kubwa ni hawana furaha.Hata uhangaike vipi sijali, kwanza nyie ambao mko disrespectiful kwa wanawake wengine, wanawake walioolewa na nyie wana stress balaa...no one atakua na furaha na mwanaume disrespectiful ...poleni sana., single ladies wanaweza kuwa na furaha zaidi ya wanawake walioolewa na watu wenye mawazo ya kijima km nyie!
Watoto wanaelewa kua mbona hali iko hivi?Pamoja na yote mwanamke akishafika 35yrs na kuendelea bila ndoa ni mtihani hasa,kuna mmoja nilikuwa napigapiga mtaani siku kanipeleka kwake mtoto wake mdogo umri 8yrs akaambiwa msalimie Anko,yule mtoto akauliza huyu Anko mbona hana pikipiki kama Anko wa jana?halafu mama nina Anko wangapi? yule wa gari siku hizi haji kwa nini?
Niliondoka bila kuaga
You loose a chance to have a family of your own, you loose a chance to experience womanhood and motherhood, you loose experience and chance to be a parent, you loose a chance to be someone's wife, you loose a chance to blend families ( yours and your husband's). You loose a chance to make your own home, you loose a chance to be a counselor for your own children, you loose a chance to make family plans with your husband and children. You loose a chance to sleep with your own husband or go out with hime comfortably, you loose a chance to have lawful and legal children ( not bastards), by the end of the day you will buy a dog and take care of it while you die alone miserably.lose a lot, what do you lose??? be specific in your answer...nimechoka kusoma mautopolo yako
Wameolewa wapo makwao sasa nikawaambie nini.Nishakuambia kawaambie dada zako kwanza...
Ni ukweli bwana. UOLEWE.ni nonsense..unajijua mwenyewe unaandika nonsense
Sasa kwan me nimekukosea heshima wapi lakini mpenzi mbona unapenda kunituhumu uongo, yaani kukukazia tu uolewe nimekuwa mtu mbaya kwako?!Hata uhangaike vipi sijali, kwanza nyie ambao mko disrespectiful kwa wanawake wengine, wanawake walioolewa na nyie wana stress balaa...no one atakua na furaha na mwanaume disrespectiful ...poleni sana., single ladies wanaweza kuwa na furaha zaidi ya wanawake walioolewa na watu wenye mawazo ya kijima km nyie!
Sasa ndio ni ujima?.Hata uhangaike vipi sijali, kwanza nyie ambao mko disrespectiful kwa wanawake wengine, wanawake walioolewa na nyie wana stress balaa...no one atakua na furaha na mwanaume disrespectiful ...poleni sana., single ladies wanaweza kuwa na furaha zaidi ya wanawake walioolewa na watu wenye mawazo ya kijima km nyie!
Nataka uolewe sio kwa ubaya.wewe ndio una lako, kila mautopolo yako unayoandika humu unatumie anita as a reference, dada sijui kaka unanidai figo?