Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Kuna moja naichapa ina 37 saiv ni sweet, tight, wet na ina joto kuliko hawa early na mid 20's wengi niliochapaHivi kufikia muda umri huo kinakuwa kimekauka eti?
Kinini hicho?Hivi kufikia muda umri huo kinakuwa kimekauka eti?
Me nina 35 hata siulizwi et[emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732] Nataka nije na mada inayowauliza wanaume pia
Si kweli! Lazima kuna shida sehemu!I'm 34 single ,na enjoy life no tress ,,and life is so beautiful..........hakuna mashaka....sijawa bibi,ndo kwanza as beautiful as creopatra...
Sasa unabisha .....we endelea kubisha......Wala hakuna shidaSi kweli! Lazima kuna shida sehemu!
Why pick on women?Kutoolewa katika umri fulani huja na maneno mengi, na mengi huwa hasi, ya kukera au kuumiza. Lakini je, kila kitu ni kibaya kwa wanawake ambao wamefikia umri wa miaka 35 au zaidi na bado hawajaolewa?
Wanawake wengi wasio na waume walio na umri wa miaka 35 na zaidi, wanahisi kutokuwa salama na hawana makao katika familia zao hasa katika hali ambapo wazazi na ndugu wanatoa maneno ya kejeli kuhusu useja wao.
Vyombo vya habari vya kawaida pia hutoa mawazo haya, kwa mfano katika maonesho kama vile sitcom maarufu, ‘Ngono na Jiji’ ambayo inawakilisha wahusika wakuu wa kike ambao wanazingatia sana ndoa.
Je, unaweza kuwa na furaha ukiwa single katika miaka ya 35 na zaidi? Hilo tuongee hapa.
Watu kama nyingi mnaoringa ringa kuoelewa huwa mnaangukiaga kwa wachimbachimvi,walevi, playboys,watu wasio na malengo na maisha yao.I'm 34 single ,na enjoy life no tress ,,and life is so beautiful..........hakuna mashaka....sijawa bibi,ndo kwanza as beautiful as creopatra...
Aaaawapi iyo ni mipango ya mungu....ni kwamba tumekosa waume wakutu owa au?unaweza kuolewa mapema ukangukia pua vile vile.....na aliye chelewa ndo akawa the luckiest ever....Watu kama nyingi mnaoringa ringa kuoelewa huwa mnaangukiaga kwa wachimbachimvi,walevi, playboys,watu wasio na malengo na maisha yao.
Ndege mjanja hunasa tundu bovu.
Huzin na waume za watu ?Sasa unabisha .....we endelea kubisha......Wala hakuna shida
Tatizo liko kwenye kumkuta huyo ambaye hajachezewa sana Kuanzia hiyo miaka na kuendelea, Mimi siamini et kuna mwanamke kuanzia umri wa kupevuka kwakwe Mpaka huo umri wa miaka 35 na kuendelea hajawah kukutana na mwanaume serious kufanya naye maisha nadhani ni machaguo yao wengine hawataki kuolewa tu.
Hugongani na waume za watu ?Sasa unabisha .....we endelea kubisha......Wala hakuna shida
Vuta kidogoMe nina 35 hata siulizwi et
Umenifanya nicheke yaan mwanamke anakua professional side chickShida ni kwamba katika umri huo au zaidi utategemea waume za watu kwa huduma za kimwili (ngono). Kwa maana nyingine unakuwa tishio kwa ndoa za watu. Ndio maana jamii inanyanyapaa jambo hilo, ofcourse kuna sababu nyingine pia.