Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeHapa povu ruksa Ila Kila mtu anauhuru wa kutoa maoni bila kulazimishwa. Kutokana na experience yangu nazani hayo Ni maoni yangu mwenye mtazamo tofauti njoo weka hoja hazarani
Hapa povu ruksa Ila Kila mtu anauhuru wa kutoa maoni bila kulazimishwa. Kutokana na experience yangu nazani hayo Ni maoni yangu mwenye mtazamo tofauti njoo weka hoja hazarani
Ubaguzi huo kakaMapenzi hayachagui ila usichague kuoa na mtu ambae kwao wana hali mbaya kimaisha...
Utateseka sana ukioa hawa wasio na shule labda tu uwe na pesa.Unaweza ukawa sahihi kwa namna fulani hivi ingawa kwa Sasa naona wanawake wenye elimu kidogo na kipato Cha kati, na waliodanganywa kuwa Ni wazuri (Rangi nyeupe na tako) Ni tatizo kubwa Sana ! Wanaume waliooa wanaweka ambao sio wasomi Wana Raha Sana!
Aisee -- hazikai pamoja Ni _ and +Utateseka sana ukioa hawa wasio na shule labda tu uwe na pesa.
Hapo sawa na pia uishi naye kwa akili asije kukuwekea nyongo ya mamba kwenye maji ya kunywa.Aisee -- hazikai pamoja Ni _ and +
Cha msingi Ni kuwa na hela
Tangu lini mwanamke ameanza kupenda?Wanawake wengi wanafuata maslahi kwa Mwanaume (pesa, mali).
Ni wachache sana wanaosukumwa na penzi la dhati ya moyo.
Na hao wasiosoma wakishaanza tu kwenda saluni ukutana na mafundi waliochezea ndoa zao lazima wawajaze ujinga.Unaweza ukawa sahihi kwa namna fulani hivi ingawa kwa Sasa naona wanawake wenye elimu kidogo na kipato Cha kati, na waliodanganywa kuwa Ni wazuri (Rangi nyeupe na tako) Ni tatizo kubwa Sana ! Wanaume waliooa wanaweka ambao sio wasomi Wana Raha Sana!