Ntakuzibua
JF-Expert Member
- Oct 3, 2018
- 714
- 1,253
Labda wa huko mkoan kwenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
neno sahihi ni less attractive au mvuto hafifu. Si kumuita mtu ni mubayaBinafsi huwa nasikitishwa sana kauli za kuwa mtu anasura mbaya, au mwanamke/mwanaume mbaya ie kimuonekano. I hate such statement. Hakuna mtu mwenye sura mbaya duniani, tunatofautiana kimuonekano ila huwezi sema huyu ni mbaya. Vyote ni vizuri ila tu vingine ni vizuri zaidi.
Wanawake/wanaume wote ni wazuri ila wanatofautiana viwango vya uzuri. Ila hauna myu mbaya kisura ya kibanadamu.
Wapo sana tu, huwezi vutiwa na kila mtu.Kwamba kuna watu wana rangi mbaya? Shepu mbaya? Sura mbaya? Nyie muogopeni Mungu nyie. Jifunzeni ku appreciate utofauti wa watu.
This is rude.
Pisi kali asilimia kubwa they're too demanding yaani wanaomba hela na hawana matumizi mazuri ya pesa.Sababu kubwa ni 2 tu.
1. Wanaume kwa asili huwa wanamtongoza mwanamke ambaye wanamuona ni mnyonge (ambaye hana sifa zote za uzuri) ili kuwa na uhakika wa kukubalwa. Wanaume huogopa kutongoza pisi kali kwa hofu ya kukataliwa.
Kwahiyo wanaume huwatongoza zaidi hawa wadada wenye sura, nyayo na mwendo wa baba zao. Ndiyo maana ni kawaida kwa dada pisi kali kukosa mume au mpenzi kwa kuwa wanaume wengi wanaogopa kuwatongoza.
2. Wadada sura mbovu huwa hawajiamini na wanaogopa kupoteza bahati.
Wakitongozwa hukubali kirahisi kwa kuwa wanahisi wakikataa wengine hawatakuja. Wajanja wanajipigia na kuwazalisha kisha wanasepa. Huyu bidada anabakia kuwa singo mama.
Huu ni uchunguzi uliofanywa kwa Ustadi mkubwa na Sexless
Pis Kali Wana demand makubwa halafu wengi w wanaringia uzuri wao!Sababu kubwa ni 2 tu.
1. Wanaume kwa asili huwa wanamtongoza mwanamke ambaye wanamuona ni mnyonge (ambaye hana sifa zote za uzuri) ili kuwa na uhakika wa kukubalwa. Wanaume huogopa kutongoza pisi kali kwa hofu ya kukataliwa.
Kwahiyo wanaume huwatongoza zaidi hawa wadada wenye sura, nyayo na mwendo wa baba zao. Ndiyo maana ni kawaida kwa dada pisi kali kukosa mume au mpenzi kwa kuwa wanaume wengi wanaogopa kuwatongoza.
2. Wadada sura mbovu huwa hawajiamini na wanaogopa kupoteza bahati.
Wakitongozwa hukubali kirahisi kwa kuwa wanahisi wakikataa wengine hawatakuja. Wajanja wanajipigia na kuwazalisha kisha wanasepa. Huyu bidada anabakia kuwa singo mama.
Huu ni uchunguzi uliofanywa kwa Ustadi mkubwa na Sexless
Ndio haswa my point, binafsi I find everyone ana kitu kinachomfanya awe attractive, haswa KE. Kwa ME l hardly pay attention on their faces.Mungu hakunyimi vyote unajua kila mtu ana kasoro
Tuendelee kuboresha ustaarabu.Wapo sana tu, huwezi vutiwa na kila mtu.
Tunajifanya wastaarabu tu, ila mawazo yetu huwa hayako hivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wenzako hawalili uzuri wanapambania bahati
hao warembo ndo wanaongoza kwa kujiuza
MH mbona mnasemaga kuwa wenye shepu na Sura nzuri ndio wanaoongoza[emoji55]Leo tena mnasema hivi!
Mbaya kwa definition ya nani?Unakuta ni mweusi, mfupi na ana shepu kama gunia la pamba. Lkn hapo hapo ana sura ya babake. Ana manyonyo makubwa kama puto za kucheza watoto. Huyo siyo mbaya??
Nimecheka kama mazuriWeee thubutuuuu, hakuna wanawake magumu wa kukubali show kama wenye sura ngumu
hawa wazuri na wenye matako makubwa ndo walaini wa kukubali upesi sababu washaliwa Toka wakiwa wadogo mpaka washafyonzwa vinyeo na k kwahiyo wameujua utam wa dudu mapema na utam wa pesa za wanaume mapema ndo maana huwa ni vicheche wa kupindukia na ndo maana huwa hawaolewi sababu ya ukicheche wao
Fact Mungu hajaumba mtu mbayaBinafsi huwa nasikitishwa sana kauli za kuwa mtu anasura mbaya, au mwanamke/mwanaume mbaya ie kimuonekano. I hate such statement. Hakuna mtu mwenye sura mbaya duniani, tunatofautiana kimuonekano ila huwezi sema huyu ni mbaya. Vyote ni vizuri ila tu vingine ni vizuri zaidi.
Wanawake/wanaume wote ni wazuri ila wanatofautiana viwango vya uzuri. Ila hauna myu mbaya kisura ya kibanadamu.
😂😂😂😂 nani anapinga tena jamani
Yaan kwa kweli