Wanawake wenye rangi, sura na shepu mbaya ndiyo wanaoongoza kwa kuchakatwa

neno sahihi ni less attractive au mvuto hafifu. Si kumuita mtu ni mubaya
 
Pisi kali asilimia kubwa they're too demanding yaani wanaomba hela na hawana matumizi mazuri ya pesa.
 
Pis Kali Wana demand makubwa halafu wengi w wanaringia uzuri wao!

Tunatongoza Dem yeyote ambaye tupo nae karibu lakin swala la mahusiano ni matokeo ridhaa ya nafsi na moyo!

Sisi kutongoza ni tabia,kudumu kwenye mahusiano ni msimamo was mwanamke sio mwanamme!!

Wengi hatupendi tuwe inferior Kwa mwanamke yeyote tukiona jam tunaanzisha mengine na kukuweka dormant zone hata Kama tunaishi pamoja!!
 
Heading yako inasema Wanawake wenye rangi

Hivi kuna wanawake/Binadamu ambao hawana rangi?
 
Unakuta ni mweusi, mfupi na ana shepu kama gunia la pamba. Lkn hapo hapo ana sura ya babake. Ana manyonyo makubwa kama puto za kucheza watoto. Huyo siyo mbaya??
Mbaya kwa definition ya nani?

Hakuna mtu akawa mbaya kwa watu wote au mzuri kwa watu wote.
 
Nimecheka kama mazuri
 
Fact Mungu hajaumba mtu mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…