Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
- Thread starter
-
- #581
Dah...eti Babyface [emoji41]
Wekeni na picha basi
Laini hiyoo
Ahsante kwa pongeziIla tuwapongeze sana hawa wanawake wa sampuli hizi, maana ndiyo wanaongoza kutunza familia zao bila migogoro, kwanza ni wapambanaji sana na wanjua kubembeleza sana, na wengi wao 90% wanaolewa
Huyu anaelekea kwenye sura ngumu
Kuna binti kitambo wakati tunachat alitoa description kama yako kuwa ndo yuko hivyo tena alijikandia zaidi ,mwanaume nkajitoa muhanga tukakutana,nkakuta kitu tafauti kabisa na alivyojielezea,yani kama ndo ingekuwa kamari ni sawa na kumla muhindi milioni 10 kwa mkeka wa jelo,sema tu nligundua hana confidence wala self esteem.
Nazidi kukusanya taarifa za msingi na kabla sijatuma nitakupa uupitie na kuuweka nakshi kidogoFungua Uzi kaka ake kulike
Jirani hyo Lips ni ya kwako au ya yule jirani yetu mwingine? ?Haha asante
Wacha we!!!huwezi kuwa serious! Wengine huku mmekuja kutuuzia chai mi ntakufata kunako Post Meridian kudhibitisha hilo!
Wewe kweli tremendous, kama yote yako Ooh Lord Have Mercy!
Fanya ana ana anadooo...kachanika pastoooJirani hyo Lips ni ya kwako au ya yule jirani yetu mwingine? ?
Hii laini pia
HahaaBora umenikumbuka