Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Yeah sure! Wengi wao ndio wife material.. So ni wazuri sana kufanya nao maishaWe have no choice haha
Uko tayari....
HahahaUmeona eeh? Nawaangalia tu mimi hapa wanavyojichetua
Sindio ili uelewe somo vizuriHehe na mfano juu umenletea
Kwani kuna uongo wowote hapo dada?Machalii wa siku hizi mna vituko aisee
Huuu uzi ni wa kwenu ulikuwa hautuhusu. Ila tumekuja kucheki wife material.[emoji23][emoji23][emoji23] kufanya nini
Hahah nnacho ikubali JF ni kwamba sie ma Men wote hapa tutajifanya tunawakubali kichiz hawa wenye sura za baba
Hahaha striker kama huyu hatabiriki kabisaTunapiga miguu yote mkuu....mwanaume hachezei nafasi
Nnachowapendea wanawake sura ngumu ni utulivu wao tu. Hawana makuu kwa sababu soko lao lipo chini
Sura za baba zetu
Niko hapa
Hahaaa mkuu huo mtihani sasa. Hapo inabidi upate mafuta na unawe maji ya Mwamposa ili neema ya Mungu ikushukie maana hakuna linaloshindikana kwa Mungu.Haha.. Je mimi sura ngumu na tako sina nafanyaje?
Mda wowote anakuliza hahahaHahaha striker kama huyu hatabiriki kabisa
Hahhaha kwa nn isiwezekane Ngabu niko na sura ngumu sema mwenyewe najikubali na sura ya baba anguHaiwezekani kwako!!
Tunawaambie kile mnachotaka kukisikia sasa kosa letu ni niniWanafki hamkosekani
Halafu mkifika huko ohh demu ana sura ngumu ka jiwe..
Hata wadada wenyewe tuo hivo
AsanteeeeeNnachowapendea wanawake sura ngumu ni utulivu wao tu. Hawana makuu kwa sababu soko lao lipo chini
Ndio..Kujioffend kujijua kuwa una sura ngumu?
Aahh ngabuAhahaaaaaaa
Hapa mwafulani ndo panamfaa hapa.
Teh teh teh.
Vibaya hivyo Aggyjay