Wanawake wenye sura nzito/ngumu tukutane hapa

Wanawake wenye sura nzito/ngumu tukutane hapa

Huwa naamini kabisa kipimo cha uzuri wa mwanamke sio sura kama dunia ya sasa ilivyozoweshwa.. So kwangu sura tupa kapuni..

Zamani kwenye mashindano ya urembo (ma miss) uzuri ulipimwa kwa kuangalia mguu, ma judgw walijipanga kisha walimbwende wanapita huku wamevalia mavazi mafupi na ma judge wanakagua mguu mzuri.

Ila haya yote ni trends tu za kidunia.. Siku hizi naona kuna shift of trend kwa kasi kutoka kwenye sura kwenda kwenye chura maana mambo ya usodoma yameshika kasi.
[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36]
 
Sura nzito
Huko nyuma flatscreen
Mweusi tii
Mfupi kama nyundo
Macho mekundu kama damu
Meno makubwa ka ya punda.
Sauti mbaya Balaa.
Nikicheka utadhani nakomesha wasikilizaji. Huhu
Kuna binti kitambo wakati tunachat alitoa description kama yako kuwa ndo yuko hivyo tena alijikandia zaidi ,mwanaume nkajitoa muhanga tukakutana,nkakuta kitu tafauti kabisa na alivyojielezea,mtoto mkalii.yani kama ndo ingekuwa kamari ni sawa na kumla muhindi milioni 10 kwa mkeka wa jelo,sema tu nligundua hana confidence wala self esteem.
 
Kuna binti kitambo wakati tunachat alitoa description kama yako kuwa ndo yuko hivyo tena alijikandia zaidi ,mwanaume nkajitoa muhanga tukakutana,nkakuta kitu tafauti kabisa na alivyojielezea,yani kama ndo ingekuwa kamari ni sawa na kumla muhindi milioni 10 kwa mkeka wa jelo,sema tu nligundua hana confidence wala self esteem.
Hahahaha

Na hata wadada waliochangia huu Uzi wengi hawako km Uzi unavyosema
 
Hahahaha

Na hata wadada waliochangia huu Uzi wengi hawako km Uzi unavyosema
Kweli kabisa,ila wanawapa kampani wenzao,na kujaribu kupunguza trafic huko pm,pia wanaenjoy kujishusha kuwa humble.Wanawake wasichojua ni kuwa si kila dereva anadata na body,wengine wanapenda engine,wengine rim na tairi,dashboard,shokapu etc
 
Back
Top Bottom