Wanawake wenye tabia za kiume wanakera sana

Wanawake wenye tabia za kiume wanakera sana

Mikoa ipi mkuu , kila kabila Tz lime mshape mwanamke kulingana na mahitaji yao , shida ilianza tulipo oana kabila moja kwa jingne ,tukaanza kuona hizo tofauti , mfano kwa wachaga hakuna hisia bila kuwa na pesa , apo ukijichanganya lazima uumie .
We ndio umesema ukwel sasa oa Mkurya mpeleke kizaramo au kinyume chake ufurahie show
 
Kila kabila Lina namna yake ya kuishi nalo inatakiwa ujue hili.
Wengine bila ngumi hamuendi, wengine bila pesa sahau kabisa
 
Kuna mahali hujamgusa vizuri mkuu mbona wanalegeaga tu Hao chaap.....tumia uanaume wako vizuri mkuu
Kuna demu afu kuna jikedume,
Jikedume huwa hawapendi mapenzi
 
Rosa ree na ununda wote alilambwa shingo tu chariiiii saivi analea

Chemical na mikwara yote alielekea qibla wahuni wakafanya yao
Kemiko kasha inamishwa nini? 😂
 
Kila kabila Lina namna yake ya kuishi nalo inatakiwa ujue hili.
Wengine bila ngumi hamuendi, wengine bila pesa sahau kabisa
Wapesa hao sio wanawake ni makahaba. Mwanamke anaempenda mme wake huwa hamsumbui
 
Kuna dada mjeda ana sura nzito km tope alafu ngozi imeshuka km kamwagiwa uji uliopoa uwe unashuka sasa slowly…… namuwazaga sijui ndani inakuwaje na mumewe?!!

Muda wote mkali km pilipili, wanaume nawapongeza kwa kutuoa na mapungufu yetu aiseee na ile rangi ilivyo nyeusi tiii km usiku wa balaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna dada mjeda ana sura nzito km tope alafu ngozi imeshuka km kamwagiwa uji uliopoa uwe unashuka sasa slowly…… namuwazaga sijui ndani inakuwaje na mumewe?!!

Muda wote mkali km pilipili, wanaume nawapongeza kwa kutuoa na mapungufu yetu aiseee na ile rangi ilivyo nyeusi tiii km usiku wa balaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora angekuwa mpole kumbe ana kelele tena😀
 
Screenshot_20230626-102707_(1).png
 
Back
Top Bottom