hahahaaa!!! it was far though she was so eager to go with me!
sasa akishanisindikiza nani atamrudisha? si tutafanya kwenda rudi kwenda rudi?
what was so important was the phone number.. over!
other things remain constant..!!
ilikuwa ni tricky ya kunimaliza makali juu ya hoja yangu ya jehanam
you are still confusing me you knw!
everything that you pronounce here, the way your lips shake... oh my!
Ungetongozwa wewe bado ingekuwa mzigo...??? We unamtaka...jirani siri kwangu mzigo naenda kusema!tena bila hata kuulizwa!
mbona simple tu....ungemtafutia usafiri wa kurudi...teh teh teh!
hahaa! mkuu DEMBA kakukoseaje jinsia bana? haoni hiyo six na midevu hiyo?
actually, JF inazidi kunijenga kila siku...
nilikuwa field kama saa moja na nusu hivi nje, nimekutana na dada mmoja hivi wakati napata chakula, actually alikuwa na tatizo hili la kitambi bana.. basi nimekumbuka hii thread..
sister nimeongea nae kiujanja sana, mpaka tumefikia hatua ya kuongelea tatizo lake la kuwa na kakitambi hako! nimemshauri vitu vingi sana, you cant imagine alivyofurahi kupata ushauri kutoka kwa stranger..!
actually, nimepata rafiki mpya! she is beautiful, she gave me her number..
Kuku sijawahi muona anawika wala kudonoa ntamuitaje jogoo?
ha ha ha
hayo maneno ya kuwa na tumbo la minyama nyama ungemwambia DEMBA angekutukana mpaka ungeghairi kula
Evelin Salt kasema hana uhakika na jinsia, naanza kumwelewa sasa...ana hasara alokuzaa
ni hatari kuwa na ubongo unaowaza pombe na ngono muda wote
your what?
alikuwa kama vile ananiogopa vile! she treated me like a king! and me.. oh! nikampa nafasi ya umalikia kwa muda!
mmh.. nikamshauri fasta aende home kwa vile ni usiku..! so tricky!
yamekukuta yapi tena jaman?mi naongea na Excel.
sijapanic mkuu...it's just a questiondont panic...! karibu tunywe maziwa fresh..!
angalau utarelax..!
bado lakini hatujamaliza conversation!
mmmhhh! huko kusifia......!
Have you asked yourself why such a beautiful horse doesn't have a rider?
Slow down, take it easy my friend if what you're telling me is not a joke!
anyway, my bed is dying to be with me. I'm going to log out soon
hata mi naona! kaogopa kabisa hata kuongea na wewe tena..!
eti lusungo? una ubavu kweli hata mmoja wa kuongea na huyu kigori?
unaweza kumwangalia uso kwa uso bila kutetemeka?
sijapanic mkuu...it's just a question
nikinywa maziwa hupatwa na kwikwi
hawezi kuniangalia usoni anaogopa kwenda jehanam