Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

hahahaaa!!! it was far though she was so eager to go with me!

sasa akishanisindikiza nani atamrudisha? si tutafanya kwenda rudi kwenda rudi?

what was so important was the phone number.. over!

other things remain constant..!!

mbona simple tu....ungemtafutia usafiri wa kurudi...teh teh teh!
 
ilikuwa ni tricky ya kunimaliza makali juu ya hoja yangu ya jehanam

sio kweli! mi naamini kwamba Evelyn Salt anakupenda sana..! tena sana! narudia, anakupenda saaaana!

hata delila alimpenda samsoni, basi tu wafilisti waliamua kumtumia vibaya.. !

usije kujuta lakini eenh!
 
Last edited by a moderator:
mbona simple tu....ungemtafutia usafiri wa kurudi...teh teh teh!

alikuwa kama vile ananiogopa vile! she treated me like a king! and me.. oh! nikampa nafasi ya umalikia kwa muda!

mmh.. nikamshauri fasta aende home kwa vile ni usiku..! so tricky!
 
hahaa! mkuu DEMBA kakukoseaje jinsia bana? haoni hiyo six na midevu hiyo?

actually, JF inazidi kunijenga kila siku...

nilikuwa field kama saa moja na nusu hivi nje, nimekutana na dada mmoja hivi wakati napata chakula, actually alikuwa na tatizo hili la kitambi bana.. basi nimekumbuka hii thread..

sister nimeongea nae kiujanja sana, mpaka tumefikia hatua ya kuongelea tatizo lake la kuwa na kakitambi hako! nimemshauri vitu vingi sana, you cant imagine alivyofurahi kupata ushauri kutoka kwa stranger..!

actually, nimepata rafiki mpya! she is beautiful, she gave me her number..


ha ha ha

hayo maneno ya kuwa na tumbo la minyama nyama ungemwambia DEMBA angekutukana mpaka ungeghairi kula
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha

hayo maneno ya kuwa na tumbo la minyama nyama ungemwambia DEMBA angekutukana mpaka ungeghairi kula

unajua mkuu.. tatizo ni jinsi ya ku-approach mtu!

ukiropoka ni lazima utukanwe.. tena upigwe ikiwezekana!

by the way, Evelyn Salt anakuita!
 
Last edited by a moderator:
alikuwa kama vile ananiogopa vile! she treated me like a king! and me.. oh! nikampa nafasi ya umalikia kwa muda!

mmh.. nikamshauri fasta aende home kwa vile ni usiku..! so tricky!

mmmhhh! huko kusifia......!
Have you asked yourself why such a beautiful horse doesn't have a rider?
Slow down, take it easy my friend if what you're telling me is not a joke!

anyway, my bed is dying to be with me. I'm going to log out soon
 
dont panic...! karibu tunywe maziwa fresh..!

angalau utarelax..!

bado lakini hatujamaliza conversation!
sijapanic mkuu...it's just a question
nikinywa maziwa hupatwa na kwikwi
 
mmmhhh! huko kusifia......!
Have you asked yourself why such a beautiful horse doesn't have a rider?
Slow down, take it easy my friend if what you're telling me is not a joke!

anyway, my bed is dying to be with me. I'm going to log out soon

thanks for speaking a lot.. you made me connect some dots...!

something is rolling here in my central brain!

are you you?
 
hata mi naona! kaogopa kabisa hata kuongea na wewe tena..!

eti lusungo? una ubavu kweli hata mmoja wa kuongea na huyu kigori?

unaweza kumwangalia uso kwa uso bila kutetemeka?

hawezi kuniangalia usoni anaogopa kwenda jehanam
 
Pamoja na kwamba umetumia lugha ya kejeli ila umenena. Mdada unaolewa mrembo huna tumbo, soon after that unaanza kujaa ovyo kisa ushaondoka sokoni. Matokeo yake jamaa anarudi sokoni maana anaona kama anaishi na kitimoto!!Wadada tujitunze, tuache kujaza mitumbo wadada wenzangu
 
Back
Top Bottom