Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Team "Enyimba" , Mizigo, Mipododo, Minofu tupoooz....waacheni wadada wenye vitambi
 
hapo kwa [MENTION=212295] lara 1
ni hatareeee huyu mtt nilipokutana kwenye kumbukumbu ya the late regia mtema pale peacock hotel nilimsisikaaa.

Msiwe mnatajataja jina hilo mimi moyo kudunda. Huyo mtoto anapwelepweta moyo wangu. Hizi ndiyo aina za wife material.
 
Last edited by a moderator:
Kupunguza tumbo its mission no one will understand.
 

Si ni bora awe na litumbo lakini na nyuma awe na mzigo wa haja kuliko awe flat screen?
 
Wanaume bwana!!!
Kila kibaya cha mwanamke. Hivi kitambi kimewahi kua kizuri hata kwa Mwanaume?
 
yaani wewe ndo umetoa point kuliko wote!!..maana manamake ya humu jf yenye vitambi mabishi kama nini!..haya nendeni mkapunguze matambi yenu kwa jamaa!!..

Dah kaka hii lugha hii...😱
 
wanasemaga ukubwa wa pua..... na wembamba wa reli......
usipime kwa macho kijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…