Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

unatafuta namna nzuri ya kumwambia bila kumuumiza
Hebu iseme hiyo namna maana jamaa ameamua kuponda tu wengine ilimradi anafikisha ujmbe kwa muhusika wake
 
Kwa hiyo mtoa maada hajakosea uongo kwa kuponda wengine ili hali na wakwake yumo kwenye kundi hilo hilo
 
haaa haaa haaa kwi kwi kwi mkwi kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hatimaye povu limekutoka ww.........ndio nilichokuwa nataka, na nimefanikiwa kwi kwi kwi kwi kwiiiiii
huna jipya

unachukia sana ukweli na unapenda mambo mepesi kama ubongo wako

mfsssssss
 
apunguze tumbo la nini mie nalipenda hivo hivo.....mi haya macomplication yenu ya sijui english figa akuuu. umb


nilijua tu maana we ishu zinazokugusa hukawiagi kutoa povu
 
haaa haaa haaa kwi kwi kwi mkwi kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hatimaye povu limekutoka ww.........ndio nilichokuwa nataka, na nimefanikiwa kwi kwi kwi kwi kwiiiiii


kwahiyo umefurahi Mimi kutokwa povu ?

imekusaidia nini?
 
wana abort sana these days, matumbo yakishatanuka hayarudi
 
nilijua tu maana we ishu zinazokugusa hukawiagi kutoa povu

ndio maana nikasema hujakaa kiume..........unapenda kudandia treni kwa mbele kama mwanamke wa kizaramo..haaaa.....majanga haya..
 
apunguze tumbo la nini mie nalipenda hivo hivo.....mi haya macomplication yenu ya sijui english figa akuuu. umb
Mapenzi yakikolea hayomengine hamna mara tumbo kibamia hayo yanatokeza mapenzi yakiisha
 
ndio maana nikasema hujakaa kiume..........unapenda kudandia treni kwa mbele kama mwanamke wa kizaramo..haaaa.....majanga haya..



Nipe jicho hilo nilifumue fumu fumu ndo utauona ulume Wangu

mnfsssssss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…