Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
anapewa tu... Ukimkata hatarudia tena kuulilia
sina kichwa kidogo kama cha nazi wala ubongo mchafu kama mavi mpaka niumie na mane no ya kipuuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anapewa tu... Ukimkata hatarudia tena kuulilia
Ukijiona unarudiarudia yale yale, basi ujuwe unaishiawa hoja.... Hakuna aliyechomwa na moto unaousema... Kilichonishangaza ni wewe eti unaomba jicho.... Ukilinganisha maombi hayo na sala ndeeefffuuuu uliyoipost kule vinakinzana...kwanini zinawachoma?
Dharau ni sehemu ya hulka ya viumbe hai, si binadamu pekee... Hata mbwa kuna wakati ana dharau...kama unafikiri hayo mashudu unayoongea yananiuma basi unapoteza mda wako Bure
hayaniumizi sana sana nakudharau tu
kama unafikiri hayo mashudu unayoongea yananiuma basi unapoteza mda wako Bure
hayaniumizi sana sana nakudharau tu
Hata wale walioko milembe hospitali, wanatuona sisi wazima ndo vichaa.... Teh tehesina kichwa kidogo kama cha nazi wala ubongo mchafu kama mavi mpaka niumie na mane no ya kipuuzi
Na kweli, maana dawa ya moto ni moto...sasa unafikiri mimi mwenyewe ningekuwa sijakudharau na kukuona choko ningekuwa nakujibu haya mashudu?
Yaani madada ya siku hizi sijui yakoje!...yanakeraaaa!!..hadi kichechefu!!..
Unakuta dada mzuri ajabu!..shepu shepu, nyuma ana kifurushi cha haja mweh!!...kuja mbele sasa..chevuuuu!!!..mtumbo huo!...uzuri wote chalii!
Tatizo siku hizi mumezidi kuwa waroho!!..mnakula sana kuliko hata midume!..machips mayai, manyama choma, ma bia, ma baga, sijui manini yote yenu! Sasa kwa staili hiyo kwanini msitoke vitambi!
Yaani unakuta mwanaume na mwanamke wanapita hata hujui me ni nani na ke ni nani!..kwani mki maintain shape kuna ubaya gani!..
We huoni watoto kama jokate mwegelo wanavyo pendeza hadi raha!!...sio kama shilole hadi anaogopesha na ule mtumbo!!...au mfano mzuri mdada Lara1 ni bonge la mtoto!..yupo flat sehem za flat na ameumuka sehemu zinazohitajika!
Ni ushauri tu wadada!
dr.holygrail
hahaa! mkuu DEMBA kakukoseaje jinsia bana? haoni hiyo six na midevu hiyo?
actually, JF inazidi kunijenga kila siku...
nilikuwa field kama saa moja na nusu hivi nje, nimekutana na dada mmoja hivi wakati napata chakula, actually alikuwa na tatizo hili la kitambi bana.. basi nimekumbuka hii thread..
sister nimeongea nae kiujanja sana, mpaka tumefikia hatua ya kuongelea tatizo lake la kuwa na kakitambi hako! nimemshauri vitu vingi sana, you cant imagine alivyofurahi kupata ushauri kutoka kwa stranger..!
actually, nimepata rafiki mpya! she is beautiful, she gave me her number..
kumbe we hunijui vema.
Name: Holygrail
o level: songea boys
div.olev: div 1 ptns 10
a level: kibaha sec
comb: pcb
div.alv: div 1 pnts 4
college: muhimbili
faculty: medicine
experience: 12 yrs
haya semeni sasa na mavitambi yenyu!!
hahaa! mkuu DEMBA kakukoseaje jinsia bana? haoni hiyo six na midevu hiyo?
actually, JF inazidi kunijenga kila siku...
nilikuwa field kama saa moja na nusu hivi nje, nimekutana na dada mmoja hivi wakati napata chakula, actually alikuwa na tatizo hili la kitambi bana.. basi nimekumbuka hii thread..
sister nimeongea nae kiujanja sana, mpaka tumefikia hatua ya kuongelea tatizo lake la kuwa na kakitambi hako! nimemshauri vitu vingi sana, you cant imagine alivyofurahi kupata ushauri kutoka kwa stranger..!
actually, nimepata rafiki mpya! she is beautiful, she gave me her number..
kuanzia maza mpaka sisteri zangu wote hawana hiyo mitambi!...ni ma supa viwangozz u know!!...hakuna Le vitambiz u knw!
@excel naona kama unataka ukamata fursa vilee
not a killer number, I hope
jirani siri kwangu mzigo naenda kusema!tena bila hata kuulizwa!hahaa! mkuu DEMBA kakukoseaje jinsia bana? haoni hiyo six na midevu hiyo? actually, JF inazidi kunijenga kila siku... nilikuwa field kama saa moja na nusu hivi nje, nimekutana na dada mmoja hivi wakati napata chakula, actually alikuwa na tatizo hili la kitambi bana.. basi nimekumbuka hii thread.. sister nimeongea nae kiujanja sana, mpaka tumefikia hatua ya kuongelea tatizo lake la kuwa na kakitambi hako! nimemshauri vitu vingi sana, you cant imagine alivyofurahi kupata ushauri kutoka kwa stranger..! actually, nimepata rafiki mpya! she is beautiful, she gave me her number..
mh!...ama kweli nimegundue kumbe vitambi ni disasater ya nchi maana watu walivyo react!...sina hamu!
Be an F.O.C temporal doctor for her. who knows...she might become your permanent concubinenoo! come on dont think that!
leo ndo nimejijengea confidence.. duh!
pamoja na kuwa soo pretty, mtoto wa watu kawa mdooogo kwangu!
kaomba next time nikutane nae for further announcements!!!
jirani siri kwangu mzigo naenda kusema!tena bila hata kuulizwa!
Be an F.O.C temporal doctor for her. who knows...she might become your permanent concubine