Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Ungekuwa unaelewa vizuri nini maana ya Comprehension, ungetoa mifano kama ya hao uliowataja hapo juu, wewe ya kwako hata mtoto wa shule ya msingi hawezi kutoa mifano kama hiyo. Kichwa maji ni wewe na miushuhuda yako ya uongo ukijidai wewe ni mtakatifu sana kumbe ni ni wale wale wa kawaida tu.

Umebanwa kwenye kona unataka kutokea kwenye mlango dhaifu.



Adhabu kuu ya mpuuzi ni kupuuzwa...

Akili ndogo na nyepesi hujadili watu si hoja wala mawazo..

Hata kwenye hoja huacha kujadili hoja na humjadili mtoa hoja....


kumshambulia mtoa hoja badala ya hoja huipa hoja mashiko na mguso mkubwa kwa watu...

you are too local

K
 
Eeeh kumbe ndiyo kago ya mshikaji eeeh...🙂 Lara.jpg
 
Adhabu kuu ya mpuuzi ni kupuuzwa...

Akili ndogo na nyepesi hujadili watu si hoja wala mawazo..

Hata kwenye hoja huacha kujadili hoja na humjadili mtoa hoja....


kumshambulia mtoa hoja badala ya hoja huipa hoja mashiko na mguso mkubwa kwa watu...

you are too local

K
Unaleta hoja za kipuuzi halafu unaogopa kujadiliwa. Aliyekujadili wewe humu ni nani kama sio kujadili upuuzi wako humu.
Maskini ya Mungu sidhani kama unajua hata unachokiandika.
 
Unaleta hoja za kipuuzi halafu unaogopa kujadiliwa. Aliyekujadili wewe humu ni nani kama sio kujadili upuuzi wako humu.
Maskini ya Mungu sidhani kama unajua hata unachokiandika.


Aisee rudi tu kule nyumbani kwako..

Akina Maria Roza wanakusubiri

mie huniwezi utaumbuka bure...

kajadili vile vitu vyako nje ya hapo utaaibika kwakuwa

you are too low!!!
 
Last edited by a moderator:
Aisee rudi tu kule nyumbani kwako..

Akina Maria Roza wanakusubiri

mie huniwezi utaumbuka bure...

kajadili vile vitu vyako nje ya hapo utaaibika kwakuwa

you are too low!!!
Hii inaonesha ni kwa jinsi gani wewe ni bwana mdogo sana katika jukwaa hili. Hata kumbukumbu za jukwaa ziko wazi upande wa juu kulia. Hebu jaribu kufuatilia vizuri nyayo zangu unifahamu japo robo bwana mdogo itakusaidia maishani mwako. Kwanza acha kutoa Tigo hapa hakuna wateja wa bidhaa yako

Kwa kuingia kwako kule na kupost ujinga wako ule, nilipokuelekeza cha kufanya basi hata "vision" yako imekuwa kama ya kuku kwamba mimi ni wa kule kule tu. Pole sana kwani hata hiyo SIASA yenyewe huijui kabisaa..
 
Hii inaonesha ni kwa jinsi gani wewe ni bwana mdogo sana katika jukwaa hili. Hata kumbukumbu za jukwaa ziko wazi upande wa juu kulia. Hebu jaribu kufuatilia vizuri nyayo zangu unifahamu japo robo bwana mdogo itakusaidia maishani mwako. Kwanza acha kutoa Tigo hapa hakuna wateja wa bidhaa yako

Kwa kuingia kwako kule na kupost ujinga wako ule, nilipokuelekeza cha kufanya basi hata "vision" yako imekuwa kama ya kuku kwamba mimi ni wa kule kule tu. Pole sana kwani hata hiyo SIASA yenyewe huijui kabisaa..


vain words
 
Kutokana na mtazamo wako finyu mno!....

Naona una lako jambo...

Mtaamo wangu na wako upi finyu?

Nimeweka bandiko unahangaika nalo mpaka leo sijakutag wala kuku mention..

Wanaume hatunaga mashambulizi holela yasiyo na sababu wala faida...

Kunishambulia hakuondoi mguso wa bandiko wala ujumbe walioupata watu kwenye bandiko lile...

"MAANDISHI YA UKUTANI HUWA HAYAFUTIKI HATA UKIPAKA RANGI"

unapoteza mda wako bure kwangu hujui unataka nini wala sijui tatizo lako nini pole sana na hongera kwakuwa na mda mchafu....
 
kwani lusungo kawafanya nini jamani! Mbna mnamshambulia jamani!
 
aisee yani ungelikuwa my wife wangu ungepata shida na raha...

btw, hujambo?

Sijambo, shikamoo, mkuu! teh teh teh!
nakumbuka wakati nikiwa mdogo, nikimsalimia mtu mzima halafu akasema
'kaka yako hajambo'
namjibu 'hajambo shikamoo!'
nilikuwa zuzu!!!
 
Sijambo, shikamoo, mkuu! teh teh teh!
nakumbuka wakati nikiwa mdogo, nikimsalimia mtu mzima halafu akasema
'kaka yako hajambo'
namjibu 'hajambo shikamoo!'
nilikuwa zuzu!!!

hahahaaaa!!! yani ungeniona hapa kwa bedi.. kidogo niingie kwenye web cam nikuonepo!!

dada yako hajambo lilendi?
 
Back
Top Bottom