Wanawake wenzangu, mwanaume yupi mwenye mvuto kwako humu JF?

mapenzi ni kufikirika best!
au?
we ukiambiwa unapendwa unaaminiga mazima?
ulishawahi kuprove mtu kukupenda?
au kumpenda?
au unaamini tu kuwa unapenda?
hem fikiri upya!
Mi nazungumzia kiutani mkuu kwa jinsi ulivyosema kwenye Ile comment
 
Hahaha loh haya karibu inbox ila ukija inbox mada za siasa ziweke pembeni maana mimi nimeshajiuzulu siasa kwa sasa mpaka awamu hii ipite[emoji3] [emoji3]
 
Muite Pasco, atakuchambulua hata ukitaka historia ya dunia ila inabidi uwe mwelewa maana lugh yake inahitaji umakini wa hali ya juu nadhani ni kutokana na haka kasheria ka mtandao
 
Mimi hata msiponizimikia... Nitabaki kuwa really gentleman tuu...
kwanza demu wangu anani zimikia kinoma tuu..
Halafu pili mie ni Engineer...
Yaan raha tuu..

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Hahahaaa UMETISHAA Engineer mwenzanguu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…