Wanawake wenzangu naombeni ushauri: Umewahi kukutana na kulifanya jambo hili?

Mleta mada unazingua, wakati unapokea vitu hukuona umri? Hebu jibu kwanza. Au umesahau? No free lunch in America, Cha bure mjini ni Salam tu.
 
Nimekupenda
 
Mkuu huyu hajashawishika na kijana alivyo. Ni zile huduma alzopewa na ahadi y biashara mpya. Wajomba hawana pesa, huoni kuna mahala kaandika "kijana ana kazi, gari na mishe zake" maana yake anatoa taarifa kuwa huduma inapatikana
Wanawake wenye vupato vya Kati wanaona mwanaume akiwa na gari hata Kama IST wanaona Kama kabutua maisha wasijue mengine mikopo ........
 
Age is just a number mnajua raisi wa ufaransa amepitwa miakamingapi na mke wake, ukilinganisha make wake amemfundisha high school na amesoma pamoja na watoto wake
Anamtukana tu mwalimu wake.

Haya mambo ya kuiga eti kwa kuwa mzungu au mtu mweupe kafanya ni kukosa kujitambua.
Kama ameamua kufaanya uzinzi afanye tu hana haja ya kuomba msaada kwa watu.
Hata watu wote humu wakisema asizini naye haitasaidia kwa sababu amekwisha kuamua.
Halafu haitakiwi kumshauri mtu akatende uzinzi.

Kwanza ni
 
U nailed it binafsi story yake inafanana san na mim na mwnamke mmoja binafsi wanawake wote niliotembea nao wamnizidi umri na tunafurahia sana tu ila kuhusu kuishi nao siwezi japo wanahitaji sana sana
 
Ni mimi tuu au hata wengine hicho kipande cha mapacha wa kiume wanafanana baba yao hamjakielewa? Back to the topic. Sitochangia chochote maana swali limeelekezwa kwa wanawake. Lakini mleta mada ungeusikiliza moyo wako.
Yaani hapo kavuruga mara sijui alikuwa na mke.
 
Bibie jua limeshazam menopause inakaribia, umri ni nmba tu kikubwa kijana anjitambua sijui malengo yake ,ila uyo ndo last chance madam tofauti na apo utaenda ambulia waume za watu, we ni mjane huwezi juwa sala zako zinajibiwa vipi
Mpe dogo ajilimbwase upate na katoto ka. Uzeeni mambo mengine yaendelee,, utakuja kufika 45. Ukaanza sumbuwa vijana wa watu binafsi mpenzi wangu kanizidi 8 na namkojoza hatari hajawah jutia
 
dah, aisee kuna wanawake wana akili ndogo, sasa miaka 39 ndio unaandika nini ichi sasa, yaani akili yako haina uwezo kuamua kitu kidogo kama icho? au kwasababu unafanya kazi salon kwenye umbea na ushangingi?
 
Yani shida zako anakusikiliza anakusaidia wewe shida zake unaoomba ushauri swali hao uliowavulia wenye umri sawa na wewe wapo wapi si wamekugonga wameondooka ebu mtunuku kijana Kama ulivyowatunuku wengine tena kampe yote bila hiyana mpe kijana kwanza hayo Mambo si siri kampe acha kuchelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…