hussein boxer
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 831
- 335
Mpe kijana utamu wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoa mada huu mtego achomoki hapo alipo kasha fall anamuwaza tu janja na vile Ana upweke sidhan Kama ataachwa salama.Aachie hiyo kitu ale mema ya dunia
Mwanaume ni 'problem solver'; kwa hiyo kama anataka atembee na hao vishoka wasiokuwa na maamuzi mazito kwa kigezo cha umri, tutaishia kusema; atazikwa nayo.Mdanganyeni tu
Tema mate chini Kuna kimasihara usijiapize hvyoMi nitawapa wazee mara ellfu ila sio kivulana hata kimoja
Ukichangia na gharama za kuishi mjini, lazima atakimbilia mteremko tu; joto la Dar linawaunguza sana masikiniMtoa mada huu mtego achomoki hapo alipo kasha fall anamuwaza tu janja na vile Ana upweke sidhan Kama ataachwa salama.
Kaisha ni dhahiri amezama Hana budi kumbless janjaroUkichangia na gharama za kuishi mjini, lazima atakimbilia mteremko tu; joto la Dar linawaunguza sana masikini
Age is just a number mnajua raisi wa ufaransa amepitwa miakamingapi na mke wake, ukilinganisha make wake amemfundisha high school na amesoma pamoja na watoto wakeIla Miaka haifanywi nnaamini atachukua mawazo ya wengi.
Sijui mkuu tujuze ila Miaka ni namba tu ampe kijana atakachoAge is just a number mnajua raisi wa ufaransa amepitwa miakamingapi na mke wake, ukilinganisha make wake amemfundisha high school na amesoma pamoja na watoto wake
Kijana alichemka, alitakiwa alichukue hili goma watoke nje ya mji kama kutalii, uko wangepiga vyombo ''vinywaji'' na wangevuana na kulana huko hukoKaisha ni dhahiri amezama Hana budi kumbless janjaro