Wanawake wenzangu naombeni ushauri: Umewahi kukutana na kulifanya jambo hili?

Wanawake wenzangu naombeni ushauri: Umewahi kukutana na kulifanya jambo hili?

Hawa wanawake wenzio hawaja kuelewa.

Wewe unataka kuuliza kama kumvulia chupi kijana mdogo wa 28y ni sawa?. Lakini naona wao wana ongelea mambo ya ndoa sijui nini.

Acha nikupe ukweli huyo kijana ata kukula na uta fall in love nae, tatizo atasimama na makubaliano yenu ya kukulana tu no strings attached.

Nakuja kwenye suali lako Jee kumvulia chupi kijana mdogo ni sawa?.
Hivi wewe ulipokuwa unavua chupi kwa wanaume walio kuzidi umri uliona sawa?.
Jee wao wanaume waliona sawa kuvua boxer zao kwako nao wakubwa zako?.

Hapo ndipo ninaposhangaa yaani mwanamke kumvulia kibabu sawa ila kijana mdogo iwe tatizo?!!

Yeye akaruke nae majoka ilo suala la umri atajua yeye na kadi lake la kliniki.
kikubwa kijana anajitambua sio Mario pesa zipo, [emoji39] akampe utelezi kwa nafasi bila kubania
 
Back
Top Bottom