Wanawake wenzangu naombeni ushauri: Umewahi kukutana na kulifanya jambo hili?

Kama kweli ulitaka ushauri kuchukua huu hapa. Labda uliwe tu kutuliza nyege ila hapao hakuna mapenzi
 
Shangazi uvue tu chupi maana ni.mweupe na ana shepu ya kutosha
Shangazi kashaelekea kibra jamàa yeye ni kujiongeza tu kidogo, tena huyu asingemwambia sijui njoo kwangu sijui nini huyu nyumbani kwake hapo hapo akimtekenya tu kidogo na kumshika chuchu kalegea anaachia mwanya jamaa anajilia mema ya Nchi, Ila sasa balaa linakuja akimaliza kula au hata anaweza asile akamaliza akaona anajichosha tu na mitamaa yake, size ya mguu namba 42 ukiingia kwenye kiatu namba 45 kuna gepu kubwa linabaki mguu unaelea ingawa kuna vijana wamejaaliwa miguu mikubwa
 
Huyu unachapia hapo hapo saluni
 
Katika mapenzi kuna wanaume kwa dhati kabisa hutafuta wanawake wakubwa wanaowazidi umri kutokana na orientation ya hisia zao, vivyo hivyo kwa wanawake pia, siyo vigeni na siyo ajabu na hakuna ubaya wowote!
Mfano: Priyanka Chopra amemzidi umri mumewe Nick Jonas kwa miaka 10 na bado wanadunda wenyewe. Umri ni preference ya mtu binafsi.

La muhimu kuuliza ni je huyo mwanamke amemwambia umri wake huyo kijana?
 
Hii Imeenda 🤣
 
Wanaume wenzangu....

1. Alijua maisha yangu sana .... (maaana alikuwa ananunua mtindi).

2. Alinisaidia kununua vitu vya saluni...(modern soloon items)

3. Ana fanya kazi na ana Gari

4. Aliniahidi kunisaidia kunifungulia biashara nyingine.....

...............................................................................
a) Ana miaka 27/28

b) Mimi nina miaka 39

c) sijawahi kusex na vijana ... amboa huwa nasex nao ni wa rika langu and above (frequently mother huwa ana liwa , but ana mbania mshikaji).


My take: Wanaume tujitahidi punguza ghara ya maisha.. especially kwa upande wa k.... wewe K ya mtu mwenye nearly 40s unahangaikia hivyoo.....


By the way huyu mwana ni jamaa yangu aliwahi kunipigia story ya huyu dada.... but ngoja nitajuaa cha kufanyaa....
 
Mfano: Priyanka Chopra amemzidi umri mumewe Nick Jonas kwa miaka 10 na bado wanadunda wenyewe. Umri ni preference ya mtu binafsi.

La muhimu kuuliza ni je huyo mwanamke amemwambia umri wake huyo kijana?
Mguu unamtosha angekuta mguu haumtoshi asingekubari waoane ukiachia mbali Pesa alizonazo na kwa wahindi wanamke ndie anaemuoa mwanaume
 
Ajikatae ampotezee,, tatizo katanguliza njaa kivulana cha nini wakati wanaume wapo!! Mi ni heri niolewe mke wa tatu ila sio kulala na kivulana aisee tuko tofauti
Sasa kwanini alikuwa anapokea vitu vya jamaa (kivulana)
 
Again mamy k🤣🤣🤣🤣🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…