Wanawake wenzangu naombeni ushauri: Umewahi kukutana na kulifanya jambo hili?

Wanawake wenzangu naombeni ushauri: Umewahi kukutana na kulifanya jambo hili?

Wakiingiza tu mapenzi, kila kitu mpaka misaada itakuwa migumu, mapenzi ni jambo gumu sana.

Mfano:

1. Mwanaume atafanya kila kitu kabla hajamvua mwanamke chupi, and mda unavyoenda ndo atazidisha bidii maana ataona hii kitu ina thaman, sio kawaida.

2. Ukishavua chupi tu, kwanza anakuona wa kawaida, mategemeo yake yanaweza yawe mabaya, asipende maungo yako, hawezi kaa.

3. Akienda mwanamka analalama wanaume wote ma Mbwa, hakuma, hawana uumbwa wala, ni ujinga wako tu usiojua saikolojia ya wanaume, ni ngumu sana.

4. Hakuna ndoa ya mwanamke na mwanaume yenye natural Upendo ambayo mwanamke amemzidi mwanaume kwa miaka kumi, lazima iwe na plugins ambayo ni fedha za mwanamke.....

Kwa kumalizia:

Hakuna mwanaume anaweza kumgharamia ki unyumba mwanamke mwenye kumzidi umri mwanaume kwa miaka 10, dogo anataka kufanya experience.
Kama kweli ulitaka ushauri kuchukua huu hapa. Labda uliwe tu kutuliza nyege ila hapao hakuna mapenzi
 
Shangazi uvue tu chupi maana ni.mweupe na ana shepu ya kutosha
Shangazi kashaelekea kibra jamàa yeye ni kujiongeza tu kidogo, tena huyu asingemwambia sijui njoo kwangu sijui nini huyu nyumbani kwake hapo hapo akimtekenya tu kidogo na kumshika chuchu kalegea anaachia mwanya jamaa anajilia mema ya Nchi, Ila sasa balaa linakuja akimaliza kula au hata anaweza asile akamaliza akaona anajichosha tu na mitamaa yake, size ya mguu namba 42 ukiingia kwenye kiatu namba 45 kuna gepu kubwa linabaki mguu unaelea ingawa kuna vijana wamejaaliwa miguu mikubwa
 
Shangazi kashaelekea kibra jamàa yeye ni kujiongeza tu kidogo, tena huyu asingemwambia sijui njoo kwangu sijui nini huyu nyumbani kwake hapo hapo akimtekenya tu kidogo na kumshika chuchu kalegea anaachia mwanya jamaa anajilia mema ya Nchi, Ila sasa balaa linakuja akimaliza kula au hata anaweza asile akamaliza akaona anajichosha tu na mitamaa yake, size ya mguu namba 42 ukiingia kwenye kiatu namba 45 kuna gepu kubwa linabaki mguu unaelea ingawa kuna vijana wamejaaliwa miguu mikubwa
Huyu unachapia hapo hapo saluni
 
Katika mapenzi kuna wanaume kwa dhati kabisa hutafuta wanawake wakubwa wanaowazidi umri kutokana na orientation ya hisia zao, vivyo hivyo kwa wanawake pia, siyo vigeni na siyo ajabu na hakuna ubaya wowote!
Mfano: Priyanka Chopra amemzidi umri mumewe Nick Jonas kwa miaka 10 na bado wanadunda wenyewe. Umri ni preference ya mtu binafsi.

La muhimu kuuliza ni je huyo mwanamke amemwambia umri wake huyo kijana?
 
Habari wanaJamiiForums.

Mimi ni mama wa watoto 2 wakike. Sipo kwenye ndoa kwa sasa Mume wangu alifaliki miaka 6 iliyopita.
Na kifo chake kiliniacha maumivu makali sana sihitaji kukumbuka kabisa. Kwani niliona watoto wawili wa kiume(mapacha) wanaumri kama wa mtoto wangu wa kwanza na wamefanana hivyo hivyo na Baba yao.

Ni kitu kilinishitua sana na kuniacha na maumivu makali sana. Sasa ni single mother nilijaribu kumove on ila mtu yule alikuwa ni mume wa mtu nilikuja kujua baada ya miezi 7 kwenye mahusiano.

Sasa wanawake wenzangu naombeni ushauri kwa hili mimi ninaishi tuu na watoto wangu na ninajishughulisha na salon ya kike ni kibwa sana, pia nauza na vinywaji kama soda na juice.

Sasa miezi kama 9 iliyopita nilifahamiana na kijana mmoja anaumri wa miaka 27 kwenda 28. Mara nyingine sipendi mazoea na wanaume nawaona kama ni waongo tu. Lakini huyu nilimzoea kwa sababu la jina lake ni la kabila letu means wote ni kabila moja.

Alijua maisha yangu ninayoishi kwani alikuwa anakuja kununua mtindi sana maana nauza na mtindi.

Tulibadilishana namba za simu na kuwasiliana , na kuna kipindi tukawa hata tunapiga story hata night.

Nilimzoea kiasi cha kujua maisha yangu na kuanza kuniasidia hasa watoto wangu.

Kiukweli alinisaidia sana tena sana, nikawa ninamshukuru kwa lile, pia alinisaidia kuninunulia hata baadhi ya Vifaa vya salon vya kisasa kwenye salon yangu. Kwa kweli ukalibu nae uliongezeka.

Yeye anafanya kazi na ana gari na mishe zake zingine.

Sasa ishu ni kwamba kama 3 weeks ago aliaanza kuniambie kuwa ananihitaji mimi nikufahamu home kwake niende nipajue na kupiga nae story. Alivyoniambia hivyo nikajua nia yake ni nini. Kusema ukweli nilimzungusha kama 1 week hivi.

Ila mwishowe akaanza kunitongoza siunajua vijana. Sasa sikumjibu lolote kwani sikutana kumjibu vibaya kwa urafiki tulionao. Tena akaenda mbali zaidi na kuniambie usijali tutapima ili tuwe safe dear. Nikamwambia sawa tu dear.

Wanawake wenzangu naombe ushairi mimi mama nina 39 japo ndio nina mvuto na ni mweupe kiasi na shape yangu na sauti yangu hii. Nimeshidwa kumkatalia wala kumjibu vibaya.

Ila naona ni kijana mdogo tena wakumvulia chup* kweli. Naona kama nikifanya hivi anaweza hata tangaza kwa vijana wenzie, maana ndo tabia ya vijana wadogo. Pia katika maisha yangu sijawahi kusexy na kijana mdogo tena aliyenizidi umri zaidi ya 10 years, wote niliokutanao wamenizidi mimi umri.

Pia nahitaji kuanzisha bishara nyingine aliniambie atanisaidia.

Sasa kama kuna mwanamke mwenzangu amewahi kutembea na kijana mdogo aliyemzidi umri kiasi hicho hata kama sio hivyo anipe experience kidogo nijue namna ya kudeal ni hii.

Karibu mwenzangu.
Hii Imeenda 🤣
 
Wanaume wenzangu....

1. Alijua maisha yangu sana .... (maaana alikuwa ananunua mtindi).

2. Alinisaidia kununua vitu vya saluni...(modern soloon items)

3. Ana fanya kazi na ana Gari

4. Aliniahidi kunisaidia kunifungulia biashara nyingine.....

...............................................................................
a) Ana miaka 27/28

b) Mimi nina miaka 39

c) sijawahi kusex na vijana ... amboa huwa nasex nao ni wa rika langu and above (frequently mother huwa ana liwa , but ana mbania mshikaji).


My take: Wanaume tujitahidi punguza ghara ya maisha.. especially kwa upande wa k.... wewe K ya mtu mwenye nearly 40s unahangaikia hivyoo.....


By the way huyu mwana ni jamaa yangu aliwahi kunipigia story ya huyu dada.... but ngoja nitajuaa cha kufanyaa....
 
Mfano: Priyanka Chopra amemzidi umri mumewe Nick Jonas kwa miaka 10 na bado wanadunda wenyewe. Umri ni preference ya mtu binafsi.

La muhimu kuuliza ni je huyo mwanamke amemwambia umri wake huyo kijana?
Mguu unamtosha angekuta mguu haumtoshi asingekubari waoane ukiachia mbali Pesa alizonazo na kwa wahindi wanamke ndie anaemuoa mwanaume
 
Ajikatae ampotezee,, tatizo katanguliza njaa kivulana cha nini wakati wanaume wapo!! Mi ni heri niolewe mke wa tatu ila sio kulala na kivulana aisee tuko tofauti
Sasa kwanini alikuwa anapokea vitu vya jamaa (kivulana)
 
Umri ni namba Tu, umri sio busara...ndo hivo marehemu hasemwi vibaya Ila ningekusimulia mtu flani aliyekuwa na umri mkubwa lakini matendo ya hovyo🤣🤣
Wewe ndo unamjua huyo jamaa, wanawake tumejaaliwa jicho la kuona mbali, mpime, muangalie Kwa Hilo jicho....Kama anafaa nenda kampe yote🤸🏿‍♀️🤣
Again mamy k🤣🤣🤣🤣🙌
 
Back
Top Bottom