Wakiingiza tu mapenzi, kila kitu mpaka misaada itakuwa migumu, mapenzi ni jambo gumu sana.
Mfano:
1. Mwanaume atafanya kila kitu kabla hajamvua mwanamke chupi, and mda unavyoenda ndo atazidisha bidii maana ataona hii kitu ina thaman, sio kawaida.
2. Ukishavua chupi tu, kwanza anakuona wa kawaida, mategemeo yake yanaweza yawe mabaya, asipende maungo yako, hawezi kaa.
3. Akienda mwanamka analalama wanaume wote ma Mbwa, hakuma, hawana uumbwa wala, ni ujinga wako tu usiojua saikolojia ya wanaume, ni ngumu sana.
4. Hakuna ndoa ya mwanamke na mwanaume yenye natural Upendo ambayo mwanamke amemzidi mwanaume kwa miaka kumi, lazima iwe na plugins ambayo ni fedha za mwanamke.....
Kwa kumalizia:
Hakuna mwanaume anaweza kumgharamia ki unyumba mwanamke mwenye kumzidi umri mwanaume kwa miaka 10, dogo anataka kufanya experience.