Wanawake wenzangu naombeni ushauri: Umewahi kukutana na kulifanya jambo hili?

Na anajitetea kabisa eti alivyomtongoza akajiepusha asimjibu vibaya .R
Tangia siku u
Ya kwanza alivyoona anataka kupewa msaada na kivulana basi angechagua amjibu vibaya au ajirpushe kumjibu vibaya sio mwishoni tayari kashakula vya kutosha
Huyu bwana alijua kabisa kifuatacho kitakuwa Nini,!!Binafsi sipendi kupokea misaada kwa mtu nisiye na plan naye mbeleni maana vitu vyake vitanisakama Koo baadae ,ndio maana Bora nipewe tu msaada na mpenzi wangu japo Sasa ndio wanaume wa siku hizi mnaanza kukwepa jukumu la kumsaidia mpenzi matokeo Mwamba mwingine atasolve tatizo halafu atamkalia mtu kooni.
 
Asubiri drama za kibenten ataimba nyimbo zote, na dharau juu

Hapo nakupinga uyo dogo sio kibenten anaonekana ni mwanaume maana anasimama na mwanamke wake kumsupport na kujenga future yake na watoto,

Uyo jamaa ametoboka pesa na inawezekana akatoboka zaidi, uyo mama sio bikra kusema anatafta mtu asimchezee kumuharibia ubinti wake, kama risk wote wapo kwenye risk ivi mnajua mwanaume kutoa alivyo navyo tena alivyotafta kwa jasho ilivyokazi kama hajakupenda?!! Na ndo ivo ivo mwanamke ilivyokazi kukuvulia chupi kama hajakupenda so hapo wote wapo 50/50

kama kuna wanawake watamuona uyo mama kua ni mjinga kulala ni uyo kijana bas hata uyo kijana wapo wataomwita yeye mjinga kuspend pesa yake kwa mtu aliyekiwsha tumika wakat vibinti vyenye izo sifa alizataja vipo vingi tuu mtaani vinahangaika hata ela za mitaji ya kuuza juice havina.

Chamsingi hapo ajue kumchuna uyo kijana ahakikishe the way anavyovuliwa chupi na ndivyo kijana azidi kutoboka na mali zote aziweke kwenye majina ya watoto wake wala hakutakua na shida.

Mengine ajiongeze ye nimtu mzima anashindwaje kumcontrol kijana mdogo, hakuna mwanaume mbabe kwa mama kama uyo maana skills zote anazo za kumkamata mwanaume kusema sjui atasema hata hao wazee mbona hua tukikaa kwenye vikao vyetu hua wanaongea mengi tuu tena wao wanakula mabinti na kuja kujisifia alivyovichalaza tukiwa kwenye maeneo yetu yakupunguza stress.
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Hajala vya watu kaka alifanya tu hisani. Dada atii kiu yake kama anahitaji pa kupunguzia miwasho ya mwili wapeane once in a while.
Weee dunia hii uliona wapi hisani kutoka kwa mwanaume atoe milioni zake a invest kwenye biashara zako? mwanaume akikupa vitu vyake we jua tu Kuna jambo litafuata..
 
na kuanza kuniasidia hasa watoto wangu.

alinisaidia kuninunulia hata baadhi ya Vifaa vya salon vya kisasa kwenye salon yangu.

Yeye anafanya kazi na ana gari na mishe zake zingine.

Kiukweli alinisaidia sana tena sana

nahitaji kuanzisha bishara nyingine aliniambie atanisaidia.

Wanawake wengi si wote wanaliwa kwa sababu ya kupenda pesa, material things au status ya mwanamume

Ni suala la muda tu utajikuta ushamvulia chupi. Niko pale nimekaa
 
Unakula vitu vya mtu halafu hautaki uliwe, ukianza kupokea vitu vya mwanaume ujue kuna siku utahitajika kuliwa.
Kuna mwingine huku amekua akiniomba nampa hela, ila nilipomtongoza akaanza kusema huniona kama ndugu, yaani mimi dada zangu nawajua, sasa huyu aweje dada yangu, imebidi nimkaushie matunzo hadi aamue moja.

Hakuna na narudia tena hakuna mwanaume anaweza akamsaidia mwanamke mrembo na isije siku akataka kumla.....na kama wapo mniite mbwa niko pale.
 
Ajikatae ampotezee,, tatizo katanguliza njaa kivulana cha nini wakati wanaume wapo!! Mi ni heri niolewe mke wa tatu ila sio kulala na kivulana aisee tuko tofauti
28 years bado mvulana?. Tena anafocus nzuri na maisha. You cant be serious
 
Yani kaka ni hivi ukiwa mdogo sana kwa mwanamke kimjini unaitwa kibenten, ukiwa mdogo ama mnalingana ama hamzidiani sana na huku unahudumiwa na mwanamke kwa kila kitu wewe ni marioo, kuna bwege pia kuna buzi/danga, na kuna yule 'mwanamume' hapo utakuwa umeelewa sasa

Umenena vyema ila simshauri ampe.
 
Ushakula vya watu afu unaomba ushauri πŸ˜€πŸ˜€
 
πŸ’―πŸ€

Huku ndio unafit sio kule
 
28 yrs mbona sio mdogo?
Kwa ninacho kijua mwanaume hawezi kumsaidia mwanamke hivi hivi tu!

Ww ukiona mwanaume anakununulia hata pipi tu shituka huo ni mtego, sasa sembuse mtu akununulie mpaka mavitu ya saloon?

Mpe kijana mzigo huo ajifaidie ushakula vyake vingi.
 
28 years bado mvulana?. Tena anafocus nzuri na maisha. You cant be serious
Kwa huyo maza ni mvulana tena kivulana kidogo kwenye hili naona wengi mmeathirika na huu utandawazi mnawaona celebrties wakiishi hivyo lkn kwenye jamii zetu hii haifai kabisaa, yupo aunt yangu kaolewa na mwanaume anaemzidi 12 yrs,,, ila mateso anayopata asalaleeeee alikuwa pisi ya kwenda, imeenea idara zote sura somalia tako beseni guu la bia rangi ya mtume ila kapururuka hatamaniki sababu ya huyo barobaro wake
 
Vipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…