Wanawake wenzangu naombeni ushauri: Umewahi kukutana na kulifanya jambo hili?

Wanawake wenzangu naombeni ushauri: Umewahi kukutana na kulifanya jambo hili?

Habari wanaJamiiForums.

Mimi ni mama wa watoto 2 wakike. Sipo kwenye ndoa kwa sasa Mume wangu alifaliki miaka 6 iliyopita.
Na kifo chake kiliniacha maumivu makali sana sihitaji kukumbuka kabisa. Kwani niliona watoto wawili wa kiume(mapacha) wanaumri kama wa mtoto wangu wa kwanza na wamefanana hivyo hivyo na Baba yao.

Ni kitu kilinishitua sana na kuniacha na maumivu makali sana. Sasa ni single mother nilijaribu kumove on ila mtu yule alikuwa ni mume wa mtu nilikuja kujua baada ya miezi 7 kwenye mahusiano.

Sasa wanawake wenzangu naombeni ushauri kwa hili mimi ninaishi tuu na watoto wangu na ninajishughulisha na salon ya kike ni kibwa sana, pia nauza na vinywaji kama soda na juice.

Sasa miezi kama 9 iliyopita nilifahamiana na kijana mmoja anaumri wa miaka 27 kwenda 28. Mara nyingine sipendi mazoea na wanaume nawaona kama ni waongo tu. Lakini huyu nilimzoea kwa sababu la jina lake ni la kabila letu means wote ni kabila moja.

Alijua maisha yangu ninayoishi kwani alikuwa anakuja kununua mtindi sana maana nauza na mtindi.

Tulibadilishana namba za simu na kuwasiliana , na kuna kipindi tukawa hata tunapiga story hata night.

Nilimzoea kiasi cha kujua maisha yangu na kuanza kuniasidia hasa watoto wangu.

Kiukweli alinisaidia sana tena sana, nikawa ninamshukuru kwa lile, pia alinisaidia kuninunulia hata baadhi ya Vifaa vya salon vya kisasa kwenye salon yangu. Kwa kweli ukalibu nae uliongezeka.

Yeye anafanya kazi na ana gari na mishe zake zingine.

Sasa ishu ni kwamba kama 3 weeks ago aliaanza kuniambie kuwa ananihitaji mimi nikufahamu home kwake niende nipajue na kupiga nae story. Alivyoniambia hivyo nikajua nia yake ni nini. Kusema ukweli nilimzungusha kama 1 week hivi.

Ila mwishowe akaanza kunitongoza siunajua vijana. Sasa sikumjibu lolote kwani sikutana kumjibu vibaya kwa urafiki tulionao. Tena akaenda mbali zaidi na kuniambie usijali tutapima ili tuwe safe dear. Nikamwambia sawa tu dear.

Wanawake wenzangu naombe ushairi mimi mama nina 39 japo ndio nina mvuto na ni mweupe kiasi na shape yangu na sauti yangu hii. Nimeshidwa kumkatalia wala kumjibu vibaya.

Ila naona ni kijana mdogo tena wakumvulia chup* kweli. Naona kama nikifanya hivi anaweza hata tangaza kwa vijana wenzie, maana ndo tabia ya vijana wadogo. Pia katika maisha yangu sijawahi kusexy na kijana mdogo tena aliyenizidi umri zaidi ya 10 years, wote niliokutanao wamenizidi mimi umri.

Pia nahitaji kuanzisha bishara nyingine aliniambie atanisaidia.

Sasa kama kuna mwanamke mwenzangu amewahi kutembea na kijana mdogo aliyemzidi umri kiasi hicho hata kama sio hivyo anipe experience kidogo nijue namna ya kudeal ni hii.

Karibu mwenzangu.
Pole mdada ila naoa visa vyengine havishauriki. Umetuandikia kua upo 39 ila kwa ushauri unaomba ktk jukwa hili ni sawa na binti wa miaka19 kwenda 20. Unao nafasi ya kutembea na uo kijana kwanza nadhani ni mkubwa kuluko ww.. Kila la kheri.
 
1. Mjane anatembelewa na kijana mdogo anaedai kutaka mtindi wa ng'ombe-mjane anakunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeiefu

2.mjane anabadilishana namba na kijana mdogo -mjane anakunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeiefu

3.mjane na kijana wanatambulishana majina ikiwemo yale ya utotoni-mjane anaendelea kukunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeiefu

4. Mjane anavutiwa na jina kijana mdogo-mjane anakunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeief

5.mjane anapiga stori na kijana mdogo adi usiku wa manane-mjane anakunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeiefu.

6.mjane anapokea misaada kutoka kwa kijana mdogo-mjane anaendelea kukunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeief

7.mjane anaendekeza ukaribu na kijana mdogo-mjane anakunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeiefu

8.mjane anatumia gari ya kijana mdogo-mjane anakunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeief

9.kijana anamkaribisha mjane geto kwake akapaone-mjane anachekacheka anakunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeiefu.

10.mjane anaendelea kumzungusha kijana huku alijua nia yake-hata hivyo mjane anakunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeiefu.

11.baada ya kuona huu sasa uboya kijana anaweka wazi nia yake kwa mjane-mjane anajitoa ufaham anaendelea kukunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeiefu.

12.kijana anamwambia mjane wakacheki afya kabla ya kuzagamuana(kijana anataka kuzaa na mjane)-mjane anachekacheka na kumjibu kijana mdogo "sawa" na haombi ushauri Jeiefu


13.mjane anabaini kumbe yale maziwa mtindi ilikuwa gia tu ya kijana kuingilia-hata ivyo mjane anapuuza hayo yote na kuendelea kukunja pesa ya kijana bila kuomba ushauri wowote kwa mwanasheria wake wala hapa Jeiefu

14.Baada ya kijana kuona rasilimali zake zinateketea na hapati majibu yaliyonyooka anaamua kusitisha huduma-mambo ya msingi ya mjane yanakwama maana alishaanzisha ujenzi madale kwa ela ya kijana.

15.baada ya kusisitiziwa atoe utam, mjane anashtuka na kufungua macho na kugundua kuwa;

(i) kumbe yule kijana mfadhili wa muda mrefu ni mdogo na ivyo sio "my type"

(ii) mjane ni mweupe (sijui kaambiwa na nani) na ivyo yule kijana mfadhili wa muda mrefu sio "my type"

(iii) mjane ana shepu na ivyo kijana mfadhili wa muda mrefu sio "my type"

(iv) kajigundua ana 39 na ivyo yule kijana mfadhili wa muda mrefu sio "my type"

(v) ana sauti ya kumtoa nyoka pangoni na ivyo yule kijana mfadhili wa muda mrefu sio "my type"

Hivi tumeishia wapi wajamen?
[emoji23][emoji23][emoji23] mjane anatakiwa kwenda kwa kijana bila kufuli, akifika aiweke mezani iwe inaliwa huku anaomba msamaha kwa yote haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasema mapenzi hayana umri,yawezekana akawa bora ila ndugu ungefikiria umri wake wakati unapokea misaada wanaume wengi hawasaidii bure sasa shida unaileta mwenyewe iwapo ukimtosa na katumia gharama jipange kurudisha vyake iwapo sio muungwana.kama vp liwa tu akitangaza ndo nini 😂
 
Enda ugongwe maisha yaendelee, else anasitisha huduma ambazo umeshazizoea Toka kwake
 
The Say 'Age Ain't Nothing But A Number' (Nevertheless Use Your Common Sense).
 
Mtume Muhammed alikuwa na miaka 25 na Bi Hadija alikuwa na miaka 45 lakini akamuoa na kumzalia mtoto anaitwa fatma. Wewe acha kujifanya humtaki mwamba wakati vitu vyake unapokea. Achia mwamba ale
 
Unaona 10yrs mingi wakati kuna watu wanadeti 22 kwa 48 yaani tofauti 26 hapo. Mapenzi yana nguvu zaidi ya break down.
 
Hapa kuna kitu hakiwekwi vizuri. Ilkuwaje hukujua? Je uhusiano wenu ulianzaje hadi usijue? Je ulipojua ulichukua hatua gani kukwepa haya? Je inakuwaje unamuita mumeo wakati alikuwa mume wa mtu?
Aliniambia rafiki yangu mmoja hivi ambaye mkewe wamekaribiana ofisi zao kule makumbusho.
Na siku tulienda ununio Beach nikamuona yupo na mkewe na watoto. Nilimuuliza na alikili.
 
Mimi ni mwanaume, kwa hiyo naweza wakilisha fikra za huyo, dont ever date na mtu uliyemzidi umri kabisa, labda kama ni for fun and no feelings is involved,

utakuja chukia wanaume milele na kupoteza chance ya kuwa na furaha na mahusiano kwa sababu hiyo.

Pia, kwa nini uende safari ndedu hivyo na kijana wa watu kumgharamisha ujaja uliza ushauri, unakuja uliza? Wakati anakusaidia ulikuwa unafikiria anataka nini kwako?

Keshakulegeza mpaka ana uthubutu wa kukuambia lolote regardless gap ya umri kati yenu, nafikiri umemtumia kijana wa watu vibaya.
Usijumuishe mambo. Mahusiano kudumu au kutodumu haihusiani na umri. Wapo ambao mahusiano yamedumu na wamepishana umri na wengine wako umri sawa na wanaume au ni wadogo zaidi lakini hawakufika mbali. Je mahusiano yote yanayovunjika sababu ni umri? hapana.
 
Umri ni namba Tu, umri sio busara...ndo hivo marehemu hasemwi vibaya Ila ningekusimulia mtu flani aliyekuwa na umri mkubwa lakini matendo ya hovyo🤣🤣
Wewe ndo unamjua huyo jamaa, wanawake tumejaaliwa jicho la kuona mbali, mpime, muangalie Kwa Hilo jicho....Kama anafaa nenda kampe yote🤸🏿‍♀️🤣
Wewe umewahi toka na kijana aliyekuzidi umri??
 
Itakayosex ni umri au mkuyenge wa kijana? Bibi wee kama kakupenda, umempenda, anzisheni mauhusiano. Kapimeni maisha yaendelee. Umri usiwe kikwazo, kuna vijana wana akili kama za watu wazima. Na kuna watu wazima wana akili za kitoto, sasa fata mambo ya umri uyavagae.

Inaonyesha umeshafall in love, kijana anatoa sabuni ya roho. Hapo roho nyeupe. Kwanza nikwambie ukichanganya damu na kijana, utazidi kuonekana nawewe binti wa 20's.
Wee Ngalikihinja umejishaua kuniuliza, wakati jibu unajua nitakalotoa 😏😏😏
Wewe umewahi toka na kijana uliyemzidi umri kipenzi
 
Back
Top Bottom