Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Inasemwa, ukiwa mroho, usiwe mchoyo..!!! Kula uliwe, umesikia Crala kidoti?Vya kwake unavipenda.
Cha kwako hutaki kumpa.
Watu wachoyo sanaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemwa, ukiwa mroho, usiwe mchoyo..!!! Kula uliwe, umesikia Crala kidoti?Vya kwake unavipenda.
Cha kwako hutaki kumpa.
Watu wachoyo sanaaa
Abemendwe kawa mtoto mchanga huyo? Yangu wayatakia nini? 🤣🤣🤣 Tumshauri bidada...Mtoa mada Crala kidoti hakuwa anajua jibu hili..!!! Kwahiyo unamshauri akambemende mtoto wa watu..!!?? Kwani wewe kuna unayembemenda??
Ila mishangazi mna pepo yenu 🤗🙌🙌Hamna maana nyie
Yako nayataka ili tuone kama unachikisema au unachomshauri mwenzio unamaanisha..!!Abemendwe kawa mtoto mchanga huyo? Yangu wayatakia nini? 🤣🤣🤣 Tumshauri bidada...
MWANZO 4:7Habari wanaJamiiForums.
Mimi ni mama wa watoto 2 wakike. Sipo kwenye ndoa kwa sasa Mume wangu alifaliki miaka 6 iliyopita.
Na kifo chake kiliniacha maumivu makali sana sihitaji kukumbuka kabisa. Kwani niliona watoto wawili wa kiume(mapacha) wanaumri kama wa mtoto wangu wa kwanza na wamefanana hivyo hivyo na Baba yao.
Ni kitu kilinishitua sana na kuniacha na maumivu makali sana. Sasa ni single mother nilijaribu kumove on ila mtu yule alikuwa ni mume wa mtu nilikuja kujua baada ya miezi 7 kwenye mahusiano.
Sasa wanawake wenzangu naombeni ushauri kwa hili mimi ninaishi tuu na watoto wangu na ninajishughulisha na salon ya kike ni kibwa sana, pia nauza na vinywaji kama soda na juice.
Sasa miezi kama 9 iliyopita nilifahamiana na kijana mmoja anaumri wa miaka 27 kwenda 28. Mara nyingine sipendi mazoea na wanaume nawaona kama ni waongo tu. Lakini huyu nilimzoea kwa sababu la jina lake ni la kabila letu means wote ni kabila moja.
Alijua maisha yangu ninayoishi kwani alikuwa anakuja kununua mtindi sana maana nauza na mtindi.
Tulibadilishana namba za simu na kuwasiliana , na kuna kipindi tukawa hata tunapiga story hata night.
Nilimzoea kiasi cha kujua maisha yangu na kuanza kuniasidia hasa watoto wangu.
Kiukweli alinisaidia sana tena sana, nikawa ninamshukuru kwa lile, pia alinisaidia kuninunulia hata baadhi ya Vifaa vya salon vya kisasa kwenye salon yangu. Kwa kweli ukalibu nae uliongezeka.
Yeye anafanya kazi na ana gari na mishe zake zingine.
Sasa ishu ni kwamba kama 3 weeks ago aliaanza kuniambie kuwa ananihitaji mimi nikufahamu home kwake niende nipajue na kupiga nae story. Alivyoniambia hivyo nikajua nia yake ni nini. Kusema ukweli nilimzungusha kama 1 week hivi.
Ila mwishowe akaanza kunitongoza siunajua vijana. Sasa sikumjibu lolote kwani sikutana kumjibu vibaya kwa urafiki tulionao. Tena akaenda mbali zaidi na kuniambie usijali tutapima ili tuwe safe dear. Nikamwambia sawa tu dear.
Wanawake wenzangu naombe ushairi mimi mama nina 39 japo ndio nina mvuto na ni mweupe kiasi na shape yangu na sauti yangu hii. Nimeshidwa kumkatalia wala kumjibu vibaya.
Ila naona ni kijana mdogo tena wakumvulia chup* kweli. Naona kama nikifanya hivi anaweza hata tangaza kwa vijana wenzie, maana ndo tabia ya vijana wadogo. Pia katika maisha yangu sijawahi kusexy na kijana mdogo tena aliyenizidi umri zaidi ya 10 years, wote niliokutanao wamenizidi mimi umri.
Pia nahitaji kuanzisha bishara nyingine aliniambie atanisaidia.
Sasa kama kuna mwanamke mwenzangu amewahi kutembea na kijana mdogo aliyemzidi umri kiasi hicho hata kama sio hivyo anipe experience kidogo nijue namna ya kudeal ni hii.
Karibu mwenzangu.
Aaah wapi Mungu hawezi nipa kivulana atanipa mwanamumeYa Mungu mengi uwezi jua uambie mdomo koma 😅
Uyo hajampenda jamaaSasa kipenzi na misaada yake basi asipokee naona hana pa kukwepea na hapo anakwambia mambo ya biashara mpya ameambiwa atasaidiwa tena
Na kingine ukisoma vizuri mwanamke mwenzetu ni kwamba na ye ameshampenda jamaa sema anaona aibu ya umri tu
Ninao mashangazi wananyonya badoIla mishangazi mna pepo yenu 🤗🙌🙌
Kama ajakupa Hadi sasa Basi jua kivulana kipo kwenye mchujo 😂Aaah wapi Mungu hawezi nipa kivulana atanipa mwanamume
Achana na haoNinao mashangazi wananyonya bado
Ha ha ha....wee jamaa bhana[emoji1787]Vile wanaume nasi tunaandaa notes za kufa mtu za kumnasua bibi kizee alienasa[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2632061
Unamshaurije, na vitu alivyotumia atavirudisha vipi?Kwa huyo maza ni mvulana tena kivulana kidogo kwenye hili naona wengi mmeathirika na huu utandawazi mnawaona celebrties wakiishi hivyo lkn kwenye jamii zetu hii haifai kabisaa, yupo aunt yangu kaolewa na mwanaume anaemzidi 12 yrs,,, ila mateso anayopata asalaleeeee alikuwa pisi ya kwenda, imeenea idara zote sura somalia tako beseni guu la bia rangi ya mtume ila kapururuka hatamaniki sababu ya huyo barobaro wake
Ninae mwanamume anaejua kuwa mumeKama ajakupa Hadi sasa Basi jua kivulana kipo kwenye mchujo 😂
Arudishe simple tuUnamshaurije, na vitu alivyotumia atavirudisha vipi?
Wazee wa fursa[emoji38][emoji38]Mpe mbususu hyo bahati haiji mara mbili huyo ndyo chaguo lako
Au njoo pm kuna kitu nikwambie
Akivirudisha atafirisika, na joto la mjini halina ushirikiano na masikiniArudishe simple tu
Ha ha ha....wee jamaa bhana[emoji1]Mambo Hapo Naona Ni MWAYANGUMWAYANGU
BY JK Wa Msoga Chalinze Pwani Tanzania
Acholile Kachora!