Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Ushatanguliza Pesa... Kiufupi tayari unamajibu.Pia nahitaji kuanzisha bishara nyingine aliniambie atanisaidia.
Au atakupa pesa ufungue biashara asipite na wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushatanguliza Pesa... Kiufupi tayari unamajibu.Pia nahitaji kuanzisha bishara nyingine aliniambie atanisaidia.
[emoji1787][emoji1787] Hakuna kitu ndugu yetu bado kuliwa tuYaani bado hajamjibu na kahaidi atamusaidia kufungua biashara nyingine,eti Kuna nn tena hapo[emoji28].....
Ebu aje kusoma huu ushauri wako dearMi naona ulee tu wanao mambo ya kuolewa usiyawaze sana
Huyo mkaka unaeza mtumia tu kama chombo cha starehe tu m'burudike
Wew dada yule kijana aliyedai akilala anakuota wewe ushamsikiliza kwanza? Kama mmeshindwan na ujana alio nao njoo kwangu mwakani ule hela za pensjeni NIMR hapaHamna lolote
Kwakweli now focus na wanao, uwaandalie future maana wewe ndio baba na mama piaMimi kama mimi sihitaji ndoa nishajishukuru kwa maisha yangu.
Sawa lkn unaweza kuishi bila sex?Mimi kama mimi sihitaji ndoa nishajishukuru kwa maisha yangu.
Labda nyege zikizidi atatumia kibomba [emoji1787]Sawa lkn unaweza kuishi bila Uzinzi?
Maana nyege.... Hazina adabu....
Ila mapenzi hayana formula,hayana ushauri...woshonwa siku unasikiaje ndani yako ndo muhimu mpendwa
Chukua hili.. Ongezea na maandiko ya kitabu Cha mabaharia wa 2:3-5 "Awaye na ngongingo, apelekewa moto usio kifani".ni kijana wa miaka 28, hawezi kuwaza future yoyote na wewe amekutamani weupe na shepu lako kama ulivyojinadi.
kama na wewe umemtamani tu mkubalie mufurahie penzi kwa muda mbele huko umuache kijana wa watu atafute binti wakumuoa.
kama umependa kijana wa watu na unawaza kuishi naye kama mume, nikupe pole maana kwa asilimia zote yeye hatoweza kuishi na wewe mtu mzima hivyoo.
lakini kwa yote kwa yote mapenzi hayana ushauri wakukamilika. utajua mwenyew na hisia zako
😅😅Labda nyege zikizidi atatumia kibomba [emoji1787]
Shunie 🤣🤣Chukua hili.. Ongezea na maandiko ya kitabu Cha mabaharia wa 2:3-5 "Awaye na ngongingo, apelekewa moto usio kifani".
[emoji1787]Chukua hili.. Ongezea na maandiko ya kitabu Cha mabaharia wa 2:3-5 "Awaye na ngongingo, apelekewa moto usio kifani".
Mpaka kuleta hapa yashamuumiza kichwa,amini nakwambiaKwakweli now focus na wanao, uwaandalie future maana wewe ndio baba na mama pia
Mapenzi yatumie kama last option yaani yasikuumize akili kabisa dada
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Labda nyege zikizidi atatumia kibomba [emoji1787]
Wajomba hawajaweza kushawishi moyo wa mmama wa watu, mwache mama afurahie maisha kdg walau, moyo wake utaingia vumbi bure! Gari bovu huvutwa na gari zima.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shenzi wewe...Chukua hili.. Ongezea na maandiko ya kitabu Cha mabaharia wa 2:3-5 "Awaye na ngongingo, apelekewa moto usio kifani".