Wanawake wenzangu naombeni ushauri: Umewahi kukutana na kulifanya jambo hili?

Wanawake wenzangu naombeni ushauri: Umewahi kukutana na kulifanya jambo hili?

Miaka 28 sio mdogo kiasi cha kutangaza kwa wenzie, maana sio mgeni wa mbususu huyo ni mzoefu hivyo ondoa shaka, Sana sana aibu kidogo siku ya kwanza ila baadae mtakua mmeshazoeana, pia umri ni siri yenu hamna anayejua alafu na penzi ni siri yenu maana wote ni watu wazima.
 
Ni mimi tuu au hata wengine hicho kipande cha mapacha wa kiume wanafanana baba yao hamjakielewa? Back to the topic. Sitochangia chochote maana swali limeelekezwa kwa wanawake. Lakini mleta mada ungeusikiliza moyo wako.
 
Duuh jitu lina 39 bado linaleta ugumu kutoa uyo dogo wa 28 ndo age nzuri yakukukaza vizuri unataka mbabu tena nyie wanawake mnatakaga nini kwani

Apo kuna siku utakuja kutombwer na dogo mwingine kabisa tena kimasikhara
Uyo dogo nae anafeli anatumia nguvu kubwa kwa we lishangazi ambalo unajiuliza kutoa utamu
 
Umri ni namba Tu, umri sio busara...ndo hivo marehemu hasemwi vibaya Ila ningekusimulia mtu flani aliyekuwa na umri mkubwa lakini matendo ya hovyo🤣🤣
Wewe ndo unamjua huyo jamaa, wanawake tumejaaliwa jicho la kuona mbali, mpime, muangalie Kwa Hilo jicho....Kama anafaa nenda kampe yote🤸🏿‍♀️🤣
Unasengenya marehemu wewe😂
 
Najibu kama mwanaume; hakuna kitu spesho hapo, maisha ya sasa yanahitaji pesa, hata leo akipiga magoli 3 au 7 hela yake hairudi aliyowekeza hapo.
We, mpe tu; muhimu usizae kwa sasa, inawezekana ukapiga hatua nyingi mbele zaidi.
Wote unao waona wana mafanikio makubwa (wadada wa mjini), wengi wao mahusiano ndio yamewatoa.​
 
Back
Top Bottom