Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,576
- 3,094
Anachekesha Sana kwamba alijua huyo kijana ni msamaria mwema amekuja kumuokoa.Alijua ni mdg yake[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anachekesha Sana kwamba alijua huyo kijana ni msamaria mwema amekuja kumuokoa.Alijua ni mdg yake[emoji23][emoji23]
Yaani mtu awekeze kiasi kile...mamilioni😂😂😂Anachekesha Sana kwamba alijua huyo kijana ni msamaria mwema amekuja kumuokoa.
Haya ndio maneno .Mtoto mdogo Kwani unambeba mgongoni? fanya kile roho yako inapenda
Mimi juu kote hakuna nilichoelewa...Ni mimi tuu au hata wengine hicho kipande cha mapacha wa kiume wanafanana baba yao hamjakielewa? Back to the topic. Sitochangia chochote maana swali limeelekezwa kwa wanawake. Lakini mleta mada ungeusikiliza moyo wako.
Hawa wanawake wenzio hawaja kuelewa.Mimi kama mimi sihitaji ndoa nishajishukuru kwa maisha yangu.
Kula kichwa hichoooo......Ila mi kwa upande wangu siwezi kesho na keshokutwa mtashea na wanao,vjana ni wa hovyo saaanaHabari wanaJamiiForums.
Mimi ni mama wa watoto 2 wakike. Sipo kwenye ndoa kwa sasa Mume wangu alifaliki miaka 6 iliyopita.
Na kido chake kiliniacha maumivu makali sana sihitaji kukumbuka kabisa. Kwani niliona watoto wawili wa kiume(mapacha) wanaumri kama wa mtoto wangu wa kwanza na wamefanana hivyo hivyo na Baba yao. Ni kitu kilinishitua sana na kuniacha na maumivu makali sana. Sasa ni single mother nilijaribu kumove on ila mtu yule alikuwa ni mume wa mtu nilikuja kujua baada ya miezi 7 kwenye mahusiano.
Sasa wanawake wenzangu naombeni ushauri kwa hili mimi ninaishi tuu na watoto wangu na ninajishughulisha na salon ya kike ni kibwa sana, pia nauza na vinywaji kama soda na juice.
Sasa miezi kama 9 iliyopita nilifahamiana na kijana mmoja anaumri wa miaka 27 kwenda 28. Mara nyingine sipendi mazoea na wanaume nawaona kama ni waohongo tuu. Lakini huyu nilimzoea kwa sababu la jina lake ni la kabila letu means wote ni kabila moja.
Alijua maisha yangu ninayoishi kwani alikuwa anakuja kununua mtindi sana maana nauza na mtindi. Tulibadilishana namba za simu na kuwasiliana , na kuna kipindi tukawa hata tunapiga story hata night. Nilimzoea kiasi cha kujua maisha yangu na kuanza kuniasidia hasa watoto wangu.
Ki ukweli alinisaidia sana tena sana, nikawa ninamshukuru kwa lile, pia alinisaidia kuninunulia hata baadhi ya Vifaa vya salon vya kisasa kwenye salon yangu. Kwa kweli ukalibu nae uliongezeka.
Yeye anafanya kazi na anagari na mishe zake zingine.
Sasa ishu ni kwamba kama 3 weeks ago aliaanza kuniambie kuwa ananihitaji mimi nikufahamu home kwake niende nipajue na kupiga nae story. Alivyoniambia hivyo nikajua nia yake ni nini. Kusema ukweli nilimzungusha kama 1 week hivi.
Ila mwishowe akaanza kunitongoza siunajua vijana. Sasa sikumjibu lolote kwani sikutana kumjibu vibaya kwa urafiki tulionao. Tena akaenda mbali zaidi na kuniambie usijali tutapima ili tuwe safe dear. Nikamwambia sawa tuu dear.
Wanawake wenzangu naombe ushairi mimi mama nina 39 japo ndio nina mvuto na ni mweupe kiasi na shape yangu na sauti yangu hii. Nimeshidwa kumkatalia wala kumjibu vibaya.
Ila naona ni kijana mdogo tena wakumvulia chup* kweli. Naona kama nikifanya hivi anaweza hata tangaza kwa vijana wenzie, maana ndo tabia ya vijana wadogo. Pia katika maisha yangu sijawahi kusexy na kijana mdogo tena aliyenizidi umri zaidi ya 10 years, wote niliokutanao wamenizidi mimi umri.
Pia nahitaji kuanzisha bishara nyingine aliniambie atanisaidia.
Sasa kama kuna mwanamke mwenzangu amewahi kutembea na kijana mdogo aliyemzidi umri kiasi hicho hata kama sio hivyo anipe experience kidogo nijue namna ya kudeal ni hii.
Karibu mwenzangu.
Kibaya zaidi anajiuliza mara Tatu Tatu atoe ama asitoe na anasema hajamjibu vibaya yaani mtu akusaidie hivyo kama mwanamke alidhani sijui atamlipa nini labda.Kutoa penzi anaona ni kama ametoa matrilioni ya bajeti ya Tanzania.Yaani mtu awekeze kiasi kile...mamilioni[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa ashavuliwa tu hamna namnaKibaya zaidi anajiuliza mara Tatu Tatu atoe ama asitoe na anasema hajamjibu vibaya yaani mtu akusaidie hivyo kama mwanamke alidhani sijui atamlipa nini labda.Kutoa penzi anaona ni kama ametoa matrilioni ya bajeti ya Tanzania.
Kama chombo Cha starehe 😅Mi naona ulee tu wanao mambo ya kuolewa usiyawaze sana
Huyo mkaka unaeza mtumia tu kama chombo cha starehe tu m'burudike
Wengi vioo vinawadanganya na kujiona wazuriKibaya zaidi anajiuliza mara Tatu Tatu atoe ama asitoe na anasema hajamjibu vibaya yaani mtu akusaidie hivyo kama mwanamke alidhani sijui atamlipa nini labda.Kutoa penzi anaona ni kama ametoa matrilioni ya bajeti ya Tanzania.
Madem bana. Kakusaidia kimaisha, kakununulia na vifaa vya saloon ya kisasa, na hapo unapiga mahesabu atakufungulia biashara mpya, wewe unamlipa nini? Wakati ankufanyia hayo hukuju kama ni kijana mdogo? Ikila kwa kungwi ile na kwa mwali, mpe mzigo kijana afaidi jasho lake. Mkisikia mtu katwangwa risasi muwe mnauliza sababu.Habari wanaJamiiForums.
Mimi ni mama wa watoto 2 wakike. Sipo kwenye ndoa kwa sasa Mume wangu alifaliki miaka 6 iliyopita.
Na kido chake kiliniacha maumivu makali sana sihitaji kukumbuka kabisa. Kwani niliona watoto wawili wa kiume(mapacha) wanaumri kama wa mtoto wangu wa kwanza na wamefanana hivyo hivyo na Baba yao. Ni kitu kilinishitua sana na kuniacha na maumivu makali sana. Sasa ni single mother nilijaribu kumove on ila mtu yule alikuwa ni mume wa mtu nilikuja kujua baada ya miezi 7 kwenye mahusiano.
Sasa wanawake wenzangu naombeni ushauri kwa hili mimi ninaishi tuu na watoto wangu na ninajishughulisha na salon ya kike ni kibwa sana, pia nauza na vinywaji kama soda na juice.
Sasa miezi kama 9 iliyopita nilifahamiana na kijana mmoja anaumri wa miaka 27 kwenda 28. Mara nyingine sipendi mazoea na wanaume nawaona kama ni waohongo tuu. Lakini huyu nilimzoea kwa sababu la jina lake ni la kabila letu means wote ni kabila moja.
Alijua maisha yangu ninayoishi kwani alikuwa anakuja kununua mtindi sana maana nauza na mtindi. Tulibadilishana namba za simu na kuwasiliana , na kuna kipindi tukawa hata tunapiga story hata night. Nilimzoea kiasi cha kujua maisha yangu na kuanza kuniasidia hasa watoto wangu.
Ki ukweli alinisaidia sana tena sana, nikawa ninamshukuru kwa lile, pia alinisaidia kuninunulia hata baadhi ya Vifaa vya salon vya kisasa kwenye salon yangu. Kwa kweli ukalibu nae uliongezeka.
Yeye anafanya kazi na anagari na mishe zake zingine.
Sasa ishu ni kwamba kama 3 weeks ago aliaanza kuniambie kuwa ananihitaji mimi nikufahamu home kwake niende nipajue na kupiga nae story. Alivyoniambia hivyo nikajua nia yake ni nini. Kusema ukweli nilimzungusha kama 1 week hivi.
Ila mwishowe akaanza kunitongoza siunajua vijana. Sasa sikumjibu lolote kwani sikutana kumjibu vibaya kwa urafiki tulionao. Tena akaenda mbali zaidi na kuniambie usijali tutapima ili tuwe safe dear. Nikamwambia sawa tuu dear.
Wanawake wenzangu naombe ushairi mimi mama nina 39 japo ndio nina mvuto na ni mweupe kiasi na shape yangu na sauti yangu hii. Nimeshidwa kumkatalia wala kumjibu vibaya.
Ila naona ni kijana mdogo tena wakumvulia chup* kweli. Naona kama nikifanya hivi anaweza hata tangaza kwa vijana wenzie, maana ndo tabia ya vijana wadogo. Pia katika maisha yangu sijawahi kusexy na kijana mdogo tena aliyenizidi umri zaidi ya 10 years, wote niliokutanao wamenizidi mimi umri.
Pia nahitaji kuanzisha bishara nyingine aliniambie atanisaidia.
Sasa kama kuna mwanamke mwenzangu amewahi kutembea na kijana mdogo aliyemzidi umri kiasi hicho hata kama sio hivyo anipe experience kidogo nijue namna ya kudeal ni hii.
Karibu mwenzangu.
Mnunulie vitu vya saluni uchukue goma hilo 😀 😀Achana nae njoo kwangu nina 50yrs duniani hapa 😃
Mkuu huyu hajashawishika na kijana alivyo. Ni zile huduma alzopewa na ahadi y biashara mpya. Wajomba hawana pesa, huoni kuna mahala kaandika "kijana ana kazi, gari na mishe zake" maana yake anatoa taarifa kuwa huduma inapatikanaWajomba hawajaweza kushawishi moyo wa mmama wa watu, mwache mama afurahie maisha kdg walau, moyo wake utaingia vumbi bure! Gari bovu huvutwa na gari zima.
Sent using Jamii Forums mobile app