Wanawake wenzangu naombeni ushauri: Umewahi kukutana na kulifanya jambo hili?

Akakushauri kusagana?
Raha jipe mwenyewe manake ukajisigue simi lako au waku blend wanawake wenzako mama yetu

Ushauri ndio huo tu mwanakwetu mimi nimetangulia kusema ili ubadilishwe na hata ukisemwa uwe unajua kabisa
Unawashwa sana wewe, utakuja kukunwa na gunzi la mahindi shauri zako
 
Haya natatizo yapo kwetu tu kwa wenzetu wanapishana hata miaka 25 na hakuna tatizo nisichopenda Mimi ni watoto kumuona hapo nyumbani basi.
 
Kwa hiyo unapenda mchi, sawa Scola wamekusikia pm iwe wazi tu

Acha kusagana
Tuachie kazi hiyo wenye michi tuwape raha
Mawe kwa mawe hayawezi chokonoana kwenye matundu yao
Acha kubadili maana za vitu
 
Acha kusagana
Tuachie kazi hiyo wenye michi tuwape raha
Mawe kwa mawe hayawezi chokonoana kwenye matundu yao
Acha kubadili maana za vitu
Wewe ushasema unapenda mchi Scola subiri wenye michi waje wakuchokonoe, mambo yangu achana nayo maana hata iweje wewe sio type yangu [emoji23]

Kuna mdau kanambia weka namba weekend hii akakuliwaze mtoto mzuri [emoji1783]
 
Mi naona ulee tu wanao mambo ya kuolewa usiyawaze sana

Huyo mkaka unaeza mtumia tu kama chombo cha starehe tu m'burudike
Hili ndo jambo la msingi,mama kwa umri wa miaka 39 hutakiwi kuwa na wivu wa kimapenz bak na wivu wa maendeleo na biashara, maana yangu mkubalie kijana awe anaichachua iyo tamu yako na muendelee na shughuli zenu za kukuza uchumi
Usimuwekee presha ya mambo ya ndoa atakukubalia ataichachua then atawah kukukimbia

Mpe uhuru wa kuichachua iyo tamu usije kuangaika na madildo na umri huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haaaa dear,
Umewahi wewe ilikuwaje hata pm njoo dear

Story inafanana na yako tena mwenzio nilikuwa na upinzani hadi na wadada wa bongo movie wanamtaka kijana kachafuka fedha!

Mengine ambayo anayo nitaku pm hapa sichelewi kuharibu maana sijui kujibana nitapigwa ban bure [emoji1787]
 
Uliposema una shepu na ka weupe moyo umepiga paaah, na wivu ukaingia shwaaa ,nakuzidi miaka 3. Mengine tutasaidia , njoo DM, utatangazwa hiyo ni lazima na given jiandae kisaikolojia.

Ngoma ya watoto haikeshi
 
Story inafanana na yako tena mwenzio nilikuwa na upinzani hadi na wadada wa bongo movie wanamtaka kijana kachafuka fedha!

Mengine ambayo anayo nitaku pm hapa sichelewi kuharibu maana sijui kujibana nitapigwa ban bure [emoji1787]
Huko pm tuunganishe na dear wangu cocastic tuipate hiyo story jamani tucheke tuongeze siku za kuishi [emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…