Wanawake wenzangu naombeni ushauri: Umewahi kukutana na kulifanya jambo hili?

Chukua hili.. Ongezea na maandiko ya kitabu Cha mabaharia wa 2:3-5 "Awaye na ngongingo, apelekewa moto usio kifani".
 
Ila naona ni kijana mdogo tena wakumvulia chup* kweli. Naona kama nikifanya hivi anaweza hata tangaza kwa vijana wenzie, maana ndo tabia ya vijana wadogo. Pia katika maisha yangu sijawahi kusexy na kijana mdogo tena aliyenizidi umri zaidi ya 10 years, wote niliokutanao wamenizidi mimi umri.

[emoji848]
 
Wajomba hawajaweza kushawishi moyo wa mmama wa watu, mwache mama afurahie maisha kdg walau, moyo wake utaingia vumbi bure! Gari bovu huvutwa na gari zima.

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapo kweny gali bovu huvutwa na zimaaa nakupa maua yako[emoji119][emoji119][emoji119][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…