Wanawake wenzangu njooni tuzungumze kidogo

Wanawake wenzangu njooni tuzungumze kidogo

Adui ya mwanamke ni mwanamke

Epuka sana ushauri wa mwanamke unmarried au aliyeachika, 30+ wengi ni feminists

Furaha yao ni kuona wanawake wengine au mabinti wanaharibikiwa

Wewe haujakutwa bikira inamaanisha ni malaya halafu unataka mwanaume eti mwenye maadili

Ndoa nyingi zinaharibika kwa sababu ya wanawake.

Hakuna mwanaume duniani aliyefanikiwa kumfanya malaya kuwa mke
Umemaliza, ukute na hapo kabla hajaolewa kaachika zaidi ya mara 30, kingine utafiti unaonyesha mwanamke ndo hufanya mapenzi na wanaume wengi sana kuliko mwanaume ni vile tu hayako wazi haya na hakunaga last seen
 
Muungwana akipewa ushauri anajibu siuafiki ushauri wako, akiukubali atajibh naukubali ushauri wako lakini kwakuwa wewe ni.bongo lala huyaoni hayo
We kidagaa, hii nyuzi niliita wanawake wenzangu, we ukaja. So, tuanze na swali la msingi. We ni mwanamke? Halafu ndiyo tutaenda kwenye swala la wewe kunishauri nini cha kupost humu JF.
 
Not necessarily lower them ila cha kujiuliza ni what are your standards? Je, hizo standards ulizojiwekea ni realistic? Je ni standards zinazolenga kupata au kum'qualify best candidate for what, husband material or trophy husband?
Exactly ni standards nimeweka nipate kitu bora
Unalenga outcome gani na hizo standards with what time frame and wifh which or who's resources? If ni resources zako unajiona uta toboa na hizo standards?

Unaweza kusema nataka mwanaume ambaye at least anajitegemea kwa kuishi mwenyewe hata kwenye chumba cha 50,000 na ana uhakika wa kuingiza 10,000 kwa mwezi. Hiyo ni standard pia. Ambayo itakupa a lot of supply ya wanaume wa kuanza nao kwenye ndoa sababu imezingatia uhalisia wa mazingira na maisha ya kijana wa kitanzania.

Hapo hata wewe unakuwa na resources za kuweza kuendesha huo uhusiano bila shida na ukafanikiwa. Mfano akishindwa kodi unaweza mpa backup kwa kuazima hata kwa rafiki zako au akiba yako ukamsapoti.


Ila ukasema mimi nataka mwanaume atakae nipa matunzo yenye thamani ya laki 9 kila mwezi,tukaishi sehemu nzuri ambayo kodi kuanzia million 1 kwa mwezi. Awe na gari ya kuanzia million 60 kwenda juu. Atoke familia yenye uwezo,awe na pesa kwenye account. Akutoe out kila mwezi nje ya inchi. Na kila weekend mtoke out.

Je wewe una resources gani kusapoti huo mfumo,tukitoa mwili wako ambao unatumika kingono? Je siku akifeli kwa mwaka tu utaweza mpa back up ya kulipa kodi kwa at least miezi 6,utamsapoti mafuta,vipi hizo outings utaweza kufinance ili wakati anajipanga muendelee kuenjoy mapenzi, unaweza kumlipia gharama za mwanasheria wake incase am

Ni kukosa tu ufahamu wa namna mwili wa mwanadamu unafanya kazi vipi na unatakiwa kufanya nini.

Mood swings sio sababu ya ku misbehave na kumkosea adabu mwanaume wako hayo ni matumizi mabaya ya fursa.

Wanaume pia wanamood swigs wakiamua kujiachia hakuna ndoa itakalika.

Kuongea pia ni sehemu tu ya poor home training. Hakuna sehemu walishaelekeza kuwa mwanamke kuropoka bila stara ni sawa.

Mwa

Unafeli sasa .
Kwa namna gani
 
Mwanamke kama umebahatika kuolewa kaa kwa kutulia na hilo komwe lako, usisikilize ushauri wa singo maza wapumbavu, wamejaa makasiriko njaa na stress za maisha magumu...
Mwanamke ni chombo cha starehe zalisha tupa kule wanaume wengine wamchezee...
Ndoa ni upuuzi ushamba uoga utoto usengerema ushenzi ushetani umasikini na kupoteza muda kwa mwanaume...
Wanawake mkae mkijua kipaumbele cha mwanaume ktk maisha sio ndoa wala kuishi na mwanamke... Kipaumbele cha mwanaume ni kuwa na maisha mazuri. Ndiyo maana mwanaume haoni shida kumuacha mwanamke na watoto kuondoka mbali kutafuta maisha yake...
Hawa singo maza wapumbavu wasiwadanganye mkajiona mna haki mbele ya mwanaume... Singo maza wanaumia roho kuona wanawake wenzao wakiwa ktk ndoa... As long as wew ni singo maza basi wew ni useless hopeless kabisa
 
Ladies habarini za asubuhi, leo utani na masihara ya ushangazi naweka pembeni kidogo.

Nakusihi, tafadhali usikimbilie kuolewa na kuzaa. Chonde chonde, naona kuna nyuzi nyingi humu za kusakama wanawake wa over 30 na kuwaambia namna thamani zao zinavyoshuka kadri umri unavyozidi kwenda.

Hiyo ni perspective ya upande wa wanaume, ila kwetu kama wanawake, hakuna kosa kubwa utakalojutia kama kukimbilia ndoa na kuolewa na mtu ambaye si sahihi. Chukua muda kumfahamu mwenza wako na jitahidi kuolewa na mtu mnayeendana kimaadili, kiutashi na mwenye mapenzi ya kweli ili mkipata watoto wasiteseke. Kisaikolojia,
Wanawake na wasichana ,ila hasa wasichana mmezidi umalaya, mnapenda sana vya kupewa
Ili mwanaume akupende na akuoe lazima uwe msikivu,mnyenyekevu na ujiheshimu.
Sasa unakutana na dungaembe sinza ama tabata linajua kila size,kila siku liko nje usiku utaolewa na nani,data ikianza kuzima unataka umpelekee mwanaume mmoja kisima akaogelee maji machafu,mlisikia wapi
Alafu saii unakutana na vidada vina 30's ama 20's vinafundisha wenzao mambo ya ndoa wakati kako single,kudanganyana tuu,maswala ya ndoa anaeweza kuelekeza mwingine ni alie kwenye ndoa isiyopungua angalau miaka 25-30,
Mwanamke wa kuoa awe feom 18-25 ili mzae vizur na kulea vizuri na awe na vigezo vya kuwa mke,ila hawa ajuza wenye above 30's hawa watafute wazee wanaopokea pensheni ila sio wa kuolewa na kijana
Acheni tamaa,njaa na umalaya ili muolewe,
SINGLE MAZA HAWEZI KUMSHAURI YEYOTE LABDA MWANAE(labda awe amefiwa na mumewe).
 
Ladies habarini za asubuhi, leo utani na masihara ya ushangazi naweka pembeni kidogo.

Nakusihi, tafadhali usikimbilie kuolewa na kuzaa. Chonde chonde, naona kuna nyuzi nyingi humu za kusakama wanawake wa over 30 na kuwaambia namna thamani zao zinavyoshuka kadri umri unavyozidi kwenda.

Hiyo ni perspective ya upande wa wanaume, ila kwetu kama wanawake, hakuna kosa kubwa utakalojutia kama kukimbilia ndoa na kuolewa na mtu ambaye si sahihi. Chukua muda kumfahamu mwenza wako na jitahidi kuolewa na mtu mnayeendana kimaadili, kiutashi na mwenye mapenzi ya kweli ili mkipata watoto wasiteseke. Kisaikolojia, inaathiri sana watoto kukua kwenye dysfunctional homes, nyumba ambazo wazazi hawana maelewano, upendo wala wababa hawashiriki kwenye malezi ya watoto wao. Kuna tafiti za kutosha kwenye hili na wengine waliotoka kwenye hizo nyumba za magomvi tunawaona humu kwenye mitandao wanavyobehave.

Usiogope kumuacha mwanaume kwa hofu ya kutopata mwingine, kama unaona dalili na tabia zisizofaa kabla ya ndoa, jua zitaongezeka mara 10 baada ya kuoana. Tunasikia visa kila siku vya wanawake wenzetu wanavyoteseka, ila tumenormalize sana madhila ya mahusiano mpaka yamekua mambo ya kawaida tu. Baadhi yetu tukiambiwa tutaje wanawake watano kutoka kwenye familia zetu au tunaowafahamu kwa ukaribu wenye furaha kwenye ndoa zao, tunaweza tusiweze.

Maisha yamebadilika, fanya uamuzi ambao ni bora kwako na uzao wako na si kwa sababu utaonekanaje kwenye jamii kama hujaolewa.

Ni hayo tu, nawasilisha!

CC:
Bantu Lady jannelle realMamy Joannah leo dada Qashy Lilith Lamomy

PS:
Yes, nimeishi kwenye ndoa na nina watoto. No, sitajibu maswali zaidi kuhusu maisha yangu binafsi.

📌Chukua nyuzi kama unaona inakufaa kama haikufai, achana nayo 📌.
Wakiona hela unafikiri watakusikiliza basi. kabla ya kuwashushia somo ungewasisitiza kwanza waache tamaa ya kutaka kuishi standard ya maisha ambayo hawawezi kuimudu.

Nina mshkaji wangu kajenga nyumba yake simple tu na ajira ya kula na bata mbili tatu ipo. Anawazalisha mademu kila mwaka, n kila demu anaejileta anajua kabisa mwanzake aliachwa na mtoto.

HAo wanawake wenzako unaowqshauri wakiahaona tu sehemu kuna unafuu wa maisha wanalazimosha kingi bila kufikiria mustakabali wao
 
Kilamtu anapitia kadri Mungu alivomkadiria mtoammada upo sahihi wengi wanajutia ndoa kuliko wanaofurahia

But Kuishi na mwanamke pia ni kazi sana Jamani
Kuna mood swings😀
Kuna nature ya kuongea ongea 😀
Kuna kutumia hisia kuliko akili 😀 nature yetu ni usumbufu ukiona mwanaume kaweza kumfanya mkewe akawa mwanamke wa kueleweka Mpe heshima yake 🤣🤣
Kumbe mnajijua nature yenu ni usumbufu
 
Ladies habarini za asubuhi, leo utani na masihara ya ushangazi naweka pembeni kidogo.

Nakusihi, tafadhali usikimbilie kuolewa na kuzaa. Chonde chonde, naona kuna nyuzi nyingi humu za kusakama wanawake wa over 30 na kuwaambia namna thamani zao zinavyoshuka kadri umri unavyozidi kwenda.

Hiyo ni perspective ya upande wa wanaume, ila kwetu kama wanawake, hakuna kosa kubwa utakalojutia kama kukimbilia ndoa na kuolewa na mtu ambaye si sahihi. Chukua muda kumfahamu mwenza wako na jitahidi kuolewa na mtu mnayeendana kimaadili, kiutashi na mwenye mapenzi ya kweli ili mkipata watoto wasiteseke. Kisaikolojia, inaathiri sana watoto kukua kwenye dysfunctional homes, nyumba ambazo wazazi hawana maelewano, upendo wala wababa hawashiriki kwenye malezi ya watoto wao. Kuna tafiti za kutosha kwenye hili na wengine waliotoka kwenye hizo nyumba za magomvi tunawaona humu kwenye mitandao wanavyobehave.

Usiogope kumuacha mwanaume kwa hofu ya kutopata mwingine, kama unaona dalili na tabia zisizofaa kabla ya ndoa, jua zitaongezeka mara 10 baada ya kuoana. Tunasikia visa kila siku vya wanawake wenzetu wanavyoteseka, ila tumenormalize sana madhila ya mahusiano mpaka yamekua mambo ya kawaida tu. Baadhi yetu tukiambiwa tutaje wanawake watano kutoka kwenye familia zetu au tunaowafahamu kwa ukaribu wenye furaha kwenye ndoa zao, tunaweza tusiweze.

Maisha yamebadilika, fanya uamuzi ambao ni bora kwako na uzao wako na si kwa sababu utaonekanaje kwenye jamii kama hujaolewa.

Ni hayo tu, nawasilisha!

CC:
Bantu Lady jannelle realMamy Joannah leo dada Qashy Lilith Lamomy

PS:
Yes, nimeishi kwenye ndoa na nina watoto. No, sitajibu maswali zaidi kuhusu maisha yangu binafsi.

📌Chukua nyuzi kama unaona inakufaa kama haikufai, achana nayo 📌.
Sasa kama mnataka muwe mnagegedwa alafu mkiona hana tabia nzuri aende kwa mwingine tena, kilometers za nyapi si zitasoma sana?
N. B KAMA SIO BIKRA USIOE!!
 
Ladies habarini za asubuhi, leo utani na masihara ya ushangazi naweka pembeni kidogo.

Nakusihi, tafadhali usikimbilie kuolewa na kuzaa. Chonde chonde, naona kuna nyuzi nyingi humu za kusakama wanawake wa over 30 na kuwaambia namna thamani zao zinavyoshuka kadri umri unavyozidi kwenda.

Hiyo ni perspective ya upande wa wanaume, ila kwetu kama wanawake, hakuna kosa kubwa utakalojutia kama kukimbilia ndoa na kuolewa na mtu ambaye si sahihi. Chukua muda kumfahamu mwenza wako na jitahidi kuolewa na mtu mnayeendana kimaadili, kiutashi na mwenye mapenzi ya kweli ili mkipata watoto wasiteseke. Kisaikolojia, inaathiri sana watoto kukua kwenye dysfunctional homes, nyumba ambazo wazazi hawana maelewano, upendo wala wababa hawashiriki kwenye malezi ya watoto wao. Kuna tafiti za kutosha kwenye hili na wengine waliotoka kwenye hizo nyumba za magomvi tunawaona humu kwenye mitandao wanavyobehave.

Usiogope kumuacha mwanaume kwa hofu ya kutopata mwingine, kama unaona dalili na tabia zisizofaa kabla ya ndoa, jua zitaongezeka mara 10 baada ya kuoana. Tunasikia visa kila siku vya wanawake wenzetu wanavyoteseka, ila tumenormalize sana madhila ya mahusiano mpaka yamekua mambo ya kawaida tu. Baadhi yetu tukiambiwa tutaje wanawake watano kutoka kwenye familia zetu au tunaowafahamu kwa ukaribu wenye furaha kwenye ndoa zao, tunaweza tusiweze.

Maisha yamebadilika, fanya uamuzi ambao ni bora kwako na uzao wako na si kwa sababu utaonekanaje kwenye jamii kama hujaolewa.

Ni hayo tu, nawasilisha!

CC:
Bantu Lady jannelle realMamy Joannah leo dada Qashy Lilith Lamomy

PS:
Yes, nimeishi kwenye ndoa na nina watoto. No, sitajibu maswali zaidi kuhusu maisha yangu binafsi.

📌Chukua nyuzi kama unaona inakufaa kama haikufai, achana nayo 📌.
Unaona kweli wanawake hawapendani yy kaolewa na watoto mwaka wa 7 kwenye ndoa above 30 wenzie anasema watulie kwanza mweee
Ladies habarini za asubuhi, leo utani na masihara ya ushangazi naweka pembeni kidogo.

Nakusihi, tafadhali usikimbilie kuolewa na kuzaa. Chonde chonde, naona kuna nyuzi nyingi humu za kusakama wanawake wa over 30 na kuwaambia namna thamani zao zinavyoshuka kadri umri unavyozidi kwenda.

Hiyo ni perspective ya upande wa wanaume, ila kwetu kama wanawake, hakuna kosa kubwa utakalojutia kama kukimbilia ndoa na kuolewa na mtu ambaye si sahihi. Chukua muda kumfahamu mwenza wako na jitahidi kuolewa na mtu mnayeendana kimaadili, kiutashi na mwenye mapenzi ya kweli ili mkipata watoto wasiteseke. Kisaikolojia, inaathiri sana watoto kukua kwenye dysfunctional homes, nyumba ambazo wazazi hawana maelewano, upendo wala wababa hawashiriki kwenye malezi ya watoto wao. Kuna tafiti za kutosha kwenye hili na wengine waliotoka kwenye hizo nyumba za magomvi tunawaona humu kwenye mitandao wanavyobehave.

Usiogope kumuacha mwanaume kwa hofu ya kutopata mwingine, kama unaona dalili na tabia zisizofaa kabla ya ndoa, jua zitaongezeka mara 10 baada ya kuoana. Tunasikia visa kila siku vya wanawake wenzetu wanavyoteseka, ila tumenormalize sana madhila ya mahusiano mpaka yamekua mambo ya kawaida tu. Baadhi yetu tukiambiwa tutaje wanawake watano kutoka kwenye familia zetu au tunaowafahamu kwa ukaribu wenye furaha kwenye ndoa zao, tunaweza tusiweze.

Maisha yamebadilika, fanya uamuzi ambao ni bora kwako na uzao wako na si kwa sababu utaonekanaje kwenye jamii kama hujaolewa.

Ni hayo tu, nawasilisha!

CC:
Bantu Lady jannelle realMamy Joannah leo dada Qashy Lilith Lamomy

PS:
Yes, nimeishi kwenye ndoa na nina watoto. No, sitajibu maswali zaidi kuhusu maisha yangu binafsi.

📌Chukua nyuzi kama unaona inakufaa kama haikufai, achana nayo 📌.
 
Back
Top Bottom