Wanawake wenzangu njooni tuzungumze kidogo

Wanawake wenzangu njooni tuzungumze kidogo

Kila mtu na wakati wake. Kama ulishaolewa na kuzaa ni vyema ungejikita kwenye namna bora ya kuwashauri kuwa kwenye ndoa na kulinda mahusiano yao.
Hakuna anayemjua mwenza kiundani mpaka aishi nae kwa muda.
Ungeanzia pale ambapo changamoto zitakapotokea na namna ya kuzikabiri

Kama kuchunguzana ingekuwa inaleta matokeo chanya, sasa usingesikia changamoto zozote. Maana hakuna anayekurupuka kuolewa. Asante
 
Theresa49 umemaliza yote, umeongea maneno kila mwanamke ayashike yamkae kichwani. Huwa watu husema atabadilika tukioana, jidanganye ni zaidi yake inakuwa. Hapo hana cha kupoteza tena, hii mada imekuja wakati muafaka.

Jana kilitokea kitu, nikasema Mungu ahsante ulijua kuniepusha na huyu jini ningekuwa nalia kila siku. Wadada kingine, ukiona mtu kafanya jambo na roho yako, haimtaki tena, ondoka utakuja kumshukuru Mungu, using'ang'anie mtu.

Tulia, Sali/Swali, tafuta pesa yako, enjoy life, Mungu atakuletea wako, hata kama una miaka 60 ndiyo furaha yako itaanzia hapo itakuwa tu.
Kabisa dear watu wanalia kilasiku
Ndoa zimekuwa ngumu wanawake 5 kati ya ninsowajua wanne wanajutia kuolewa hali ni mbaya sana

Lkn mwisho ya yote familia itabaki kuwa familia tu Ina umuhimu wake pia japo sio kitu Cha kukimbilia
 
Kilamtu anapitia kadri Mungu alivomkadiria mtoammada upo sahihi wengi wanajutia ndoa kuliko wanaofurahia

But Kuishi na mwanamke pia ni kazi sana Jamani
Kuna mood swings😀
Kuna nature ya kuongea ongea 😀
Kuna kutumia hisia kuliko akili 😀 nature yetu ni usumbufu ukiona mwanaume kaweza kumfanya mkewe akawa mwanamke wa kueleweka Mpe heshima yake 🤣🤣
Ujengewe sanamu. You're so mature👍
 
Ladies habarini za asubuhi, leo utani na masihara ya ushangazi naweka pembeni kidogo.

Nakusihi, tafadhali usikimbilie kuolewa na kuzaa. Chonde chonde, naona kuna nyuzi nyingi humu za kusakama wanawake wa over 30 na kuwaambia namna thamani zao zinavyoshuka kadri umri unavyozidi kwenda.

Hiyo ni perspective ya upande wa wanaume, ila kwetu kama wanawake, hakuna kosa kubwa utakalojutia kama kukimbilia ndoa na kuolewa na mtu ambaye si sahihi. Chukua muda kumfahamu mwenza wako na jitahidi kuolewa na mtu mnayeendana kimaadili, kiutashi na mwenye mapenzi ya kweli ili mkipata watoto wasiteseke. Kisaikolojia, inaathiri sana watoto kukua kwenye dysfunctional homes, nyumba ambazo wazazi hawana maelewano, upendo wala wababa hawashiriki kwenye malezi ya watoto wao. Kuna tafiti za kutosha kwenye hili na wengine waliotoka kwenye hizo nyumba za magomvi tunawaona humu kwenye mitandao wanavyobehave.

Usiogope kumuacha mwanaume kwa hofu ya kutopata mwingine, kama unaona dalili na tabia zisizofaa kabla ya ndoa, jua zitaongezeka mara 10 baada ya kuoana. Tunasikia visa kila siku vya wanawake wenzetu wanavyoteseka, ila tumenormalize sana madhila ya mahusiano mpaka yamekua mambo ya kawaida tu. Baadhi yetu tukiambiwa tutaje wanawake watano kutoka kwenye familia zetu au tunaowafahamu kwa ukaribu wenye furaha kwenye ndoa zao, tunaweza tusiweze.

Maisha yamebadilika, fanya uamuzi ambao ni bora kwako na uzao wako na si kwa sababu utaonekanaje kwenye jamii kama hujaolewa.

Ni hayo tu, nawasilisha!

CC:
Bantu Lady jannelle realMamy Joannah leo dada Qashy Lilith Lamomy

PS:
Yes, nimeishi kwenye ndoa na nina watoto. No, sitajibu maswali zaidi kuhusu maisha yangu binafsi.

📌Chukua nyuzi kama unaona inakufaa kama haikufai, achana nayo 📌.
Sijasoma yote nimeishia mstari wa pili tu

Ipo hivi, hakuna mwanamke mwenye sifa za kuwa mke anafikisha miaka 27 bila ndoa

Nimeoa binti wa miaka 24 mwaka juzi, alianza kuchumbiwa akiwa na miaka 17, na alikuwa anakataa posa

Na nimemkuta ana Bikra zote
 
Ladies habarini za asubuhi, leo utani na masihara ya ushangazi naweka pembeni kidogo.

Nakusihi, tafadhali usikimbilie kuolewa na kuzaa. Chonde chonde, naona kuna nyuzi nyingi humu za kusakama wanawake wa over 30 na kuwaambia namna thamani zao zinavyoshuka kadri umri unavyozidi kwenda.

Hiyo ni perspective ya upande wa wanaume, ila kwetu kama wanawake, hakuna kosa kubwa utakalojutia kama kukimbilia ndoa na kuolewa na mtu ambaye si sahihi. Chukua muda kumfahamu mwenza wako na jitahidi kuolewa na mtu mnayeendana kimaadili, kiutashi na mwenye mapenzi ya kweli ili mkipata watoto wasiteseke. Kisaikolojia, inaathiri sana watoto kukua kwenye dysfunctional homes, nyumba ambazo wazazi hawana maelewano, upendo wala wababa hawashiriki kwenye malezi ya watoto wao. Kuna tafiti za kutosha kwenye hili na wengine waliotoka kwenye hizo nyumba za magomvi tunawaona humu kwenye mitandao wanavyobehave.

Usiogope kumuacha mwanaume kwa hofu ya kutopata mwingine, kama unaona dalili na tabia zisizofaa kabla ya ndoa, jua zitaongezeka mara 10 baada ya kuoana. Tunasikia visa kila siku vya wanawake wenzetu wanavyoteseka, ila tumenormalize sana madhila ya mahusiano mpaka yamekua mambo ya kawaida tu. Baadhi yetu tukiambiwa tutaje wanawake watano kutoka kwenye familia zetu au tunaowafahamu kwa ukaribu wenye furaha kwenye ndoa zao, tunaweza tusiweze.

Maisha yamebadilika, fanya uamuzi ambao ni bora kwako na uzao wako na si kwa sababu utaonekanaje kwenye jamii kama hujaolewa.

Ni hayo tu, nawasilisha!

CC:
Bantu Lady jannelle realMamy Joannah leo dada Qashy Lilith Lamomy

PS:
Yes, nimeishi kwenye ndoa na nina watoto. No, sitajibu maswali zaidi kuhusu maisha yangu binafsi.

📌Chukua nyuzi kama unaona inakufaa kama haikufai, achana nayo 📌.
Pole single Maza uliyekosa wa kukuoa kisa Tabia mbaaaaya
 
Ujengewe sanamu. You're so mature👍
Alhamdulillah ninaelewa
Bahat nzuri napenda feedback nilikuwa namsema sana x boyfriend Kwa tabiazake kias Kwamba nikawa naona ana madhaifu mengi sana simuwez Ilikuwa kweli lkn siku niliamua aniambie ukweli namna nilivo nilistaajabu mwenyew jinsi NAmi nilivo mdhaifu na Nina madhaifu na makosa mengi aliamua kukaa kimya hakunambia
 
Alhamdulillah ninaelewa
Bahat nzuri napenda feedback nilikuwa namsema sana x boyfriend Kwa tabiazake kias Kwamba nikawa naona ana madhaifu mengi sana simuwez Ilikuwa kweli lkn siku niliamua aniambie ukweli namna nilivo nilistaajabu mwenyew jinsi NAmi nilivo mdhaifu na Nina madhaifu na makosa mengi aliamua kukaa kimya hakunambia
Mahusiano hustawi kunapo kuwa na effective communication, inabidi partner wako awe best friend kwanza. All in all ni pale mnapojifunza kutunziana madhaifu.
 
Mahusiano hustawi kunapo kuwa na effective communication, inabidi partner wako awe best friend kwanza. All in all ni pale mnapojifunza kutunziana madhaifu.
Exactly 💯
Pia ujue kilamtu hawez kuwa kama wewe kunavitu mtabond na vingine hamuwez kubond
 
mbona huwashauri wakamate vimarioo?😀

au unataka uvibemende vyote peke yako?

sema uwaambie wapunguze vigezo, ili na sisi maskini tuoe

ila pressure lazima iwepo kidogo aisee, haswa kwa wale wanaotaka watoto

mada za namna hii huwa ni ngumu sana
Vimario havitaki ndoa, vinataka vilelewe na ndiyo maana naona havitawafaa.
Kuhusu vigezo, wamekusikia. I hope na wewe umesoma reply zao na kuwaelewa.
 
Watu wanaoweka presha Kwa wanawake humu ni wale ambao maisha yao ya mapenzi ni vuruguvagara ndoa zao zipo kichwa chini miguu juu either wanamkosi kwenye mapenz Kila wanapogusa wanakula vya kichwa Sasa wanaona sehem yakuja kujifariji ni humu JF Ili wapooze mioyo Yao wanaanza kutoa habar negative kuhusu wanawake yaan mtu unaona kabisa huyu Kuna kichwa Cha chuma kimemkuta ndo maana anakuja kutoa povu
Kamwe Sito pelekeshwa na maneno ya humu ndan yaan hata wakitumia viongozi wa dini au vtabu vya din maneno yaoo sio sumu hayaui mtu
Kabisa, umenena vyema sana maana si kwa mapovu haya.
 
Theresa49 umemaliza yote, umeongea maneno kila mwanamke ayashike yamkae kichwani. Huwa watu husema atabadilika tukioana, jidanganye ni zaidi yake inakuwa. Hapo hana cha kupoteza tena, hii mada imekuja wakati muafaka.

Jana kilitokea kitu, nikasema Mungu ahsante ulijua kuniepusha na huyu jini ningekuwa nalia kila siku. Wadada kingine, ukiona mtu kafanya jambo na roho yako, haimtaki tena, ondoka utakuja kumshukuru Mungu, using'ang'anie mtu.

Tulia, Sali/Swali, tafuta pesa yako, enjoy life, Mungu atakuletea wako, hata kama una miaka 60 ndiyo furaha yako itaanzia hapo itakuwa tu.
Dah huyo jini hajielewi hivi anajua options ulizonazo lakn?? Pole sana Madam.

Kwa niaba ya wanufaika vocha wote za huyu mrembo tumlaani huyo jini kisirani, kingine fungua p.m basi nawewee maushauri mengine hayafai hadharani bwana 🤪
 
Najua kikao ni cha wanawake ila kama mfanya usafi wakati nafuta vioo nimeshindwa kujizuia itabidi niseme jambo.

Haya mambo ya changamoto za kisasa za kimahusiano yanasababishwa na vitu vingi sana lakini haiondoi ukweli kuwa nguvu ya mahusiano kudumu ni matokeo ya jitihada za watu wawili tu waliopo katika uhusiano huo.

Kama unataka usiwe topic au kituko cha mahusiano katika umri huo jitafakari sana uliishi vipi kipindi chako cha miaka 16 hadi 26.

Huu ndio umri utakao amua hatima yako ya kimahusiano huko miaka 30 kwenda uzeeni.

Kama ulidanga huo umri then jiandae na matokeo after 30 kwasababu kila unachofanya katika umri huo kinakuja kukuletea malipo yake hata kama ilikuwa ni kwa usiri. Unaweza kuwa ulikuwa unapiga matukio yako kwa kificho sana. Ila siku isiyokuwa na jina kuna yule mshenzi mwenzako atakutafuta na ndipo siri zitajulikana.

Hizi story za usivumilie "this n that" au "usiogope kuachana" ni katika kujitetea tu ila kiuhalisia hapo umeshaanza kulipia hesabu yako.

Maisha baada ya 26 kuelekea 30+ ni maisha ambayo wanawake huwa mnataka kurekebisha makosa na uzembe wenu mliotenda at 16 to 26 prime age. Hautafanikiwa. Shetani akishakupaka shombo lake hakuna sehemu utatoboa kimahusiano. Hapo subiria tu kama MUNGU atakupa neema yake aje kijana mwenye huruma akupe hifadhi ila shida viburi na ujuaji wenu ndivyo vinawakosesha hata hiyo neema ya MUNGU mkishafika huo umri.

Hiki kizazi watoto wa kike sijui nani aliwapa huu mfumo wa maisha mnayoishi. MUNGU awatetee.
Umeona ni kikao cha wanawake, umejikaribisha na kuwa mchangia mada mkuu - reply zaidi ya 10, umepita wanawake wote kwenye hii nyuzi kwa kutoa mapovu na kuchamba.

Aiseee :forsenLaughingAtYou:
 
Theresa49 umemaliza yote, umeongea maneno kila mwanamke ayashike yamkae kichwani. Huwa watu husema atabadilika tukioana, jidanganye ni zaidi yake inakuwa. Hapo hana cha kupoteza tena, hii mada imekuja wakati muafaka.

Jana kilitokea kitu, nikasema Mungu ahsante ulijua kuniepusha na huyu jini ningekuwa nalia kila siku. Wadada kingine, ukiona mtu kafanya jambo na roho yako, haimtaki tena, ondoka utakuja kumshukuru Mungu, using'ang'anie mtu.

Tulia, Sali/Swali, tafuta pesa yako, enjoy life, Mungu atakuletea wako, hata kama una miaka 60 ndiyo furaha yako itaanzia hapo itakuwa tu.
Bantu, umesema yote, uliyepangiwa na Mungu atakuja tu kwa wakati sahihi hakuna haja ya kung'ang'ania.
Ndiyo, sehemu kubwa ya mahusiano ni kuvumiliana, ila kuignore red flags ni makosa sana.

Namjua mdada alikua anapigwa na boyfriend wake toka tuko chuo wakiwa wanadate ila bado aliendelea naye akiamini atabadilika. Wako kwenye ndoa miaka mingi sasa na anateseka, alishadundwa mpaka sasa hivi hasikii vizuri, kapewa ulemavu wa kudumu kwa vipigo 🤦🏾‍♀️
 
Back
Top Bottom