Wanawake wenzangu njooni tuzungumze kidogo

Wanawake wenzangu njooni tuzungumze kidogo

Moodswings haziepukiki Yani wengi tukifika period ni kasheshe

Kuongea ni kuwa hatuwez kuweka vitu moyoni ni tabia ya kike ndo maana mwanaume akiwa lopolopo watu husema huyu km mwanamke ni nature yetu kama nyie ilivo asili kwenu kukaakimya na kumaliza mambo kiume hiyo nayo ni kujiendekeza?
Ni kukosa tu ufahamu wa namna mwili wa mwanadamu unafanya kazi vipi na unatakiwa kufanya nini.

Mood swings sio sababu ya ku misbehave na kumkosea adabu mwanaume wako hayo ni matumizi mabaya ya fursa.

Wanaume pia wanamood swigs wakiamua kujiachia hakuna ndoa itakalika.

Kuongea pia ni sehemu tu ya poor home training. Hakuna sehemu walishaelekeza kuwa mwanamke kuropoka bila stara ni sawa.

Mwa
Asilimia mia
Unafeli sasa .
 
Kabisa dear watu wanalia kilasiku
Ndoa zimekuwa ngumu wanawake 5 kati ya ninsowajua wanne wanajutia kuolewa hali ni mbaya sana

Lkn mwisho ya yote familia itabaki kuwa familia tu Ina umuhimu wake pia japo sio kitu Cha kukimbilia
Kama wanajutia watoke nje wapambane au?
 
Ni kukosa tu ufahamu wa namna mwili wa mwanadamu unafanya kazi vipi na unatakiwa kufanya nini.

Mood swings sio sababu ya ku misbehave na kumkosea adabu mwanaume wako hayo ni matumizi mabaya ya fursa.

Wanaume pia wanamood swigs wakiamua kujiachia hakuna ndoa itakalika.

Kuongea pia ni sehemu tu ya poor home training. Hakuna sehemu walishaelekeza kuwa mwanamke kuropoka bila stara ni sawa.

Mwa

Unafeli sasa .
Kuongeasana sijamaanisha kumisbehave nafikiri hatujaelewana
 
Hivi kumbe nilikuwa mpk tagged 😻
Umeongea ukweli mtupu Tee, hakuna kitu kinaumiza km kujifanya mashine ya kufatulia vitoto vya kataa ndoa..!! (Wanaume wapuuzi kuwahi kutokea) 😹

Mimi kwakweli bado nipo nipo sana, nitazaa nikijiona nahitaji kupata mtoto na mtu sahihi na sio kina kasongo 😹🤣🤣
 
mbona huwashauri wakamate vimarioo?😀

au unataka uvibemende vyote peke yako?

sema uwaambie wapunguze vigezo, ili na sisi maskini tuoe

ila pressure lazima iwepo kidogo aisee, haswa kwa wale wanaotaka watoto

mada za namna hii huwa ni ngumu sana
Kitu sitakuja kujaribu kuwa na mahusiano na vimarioo, sivipendi jamani vijitu vipo km manunu..!! 😹
 
Hivi kumbe nilikuwa mpk tagged 😻
Umeongea ukweli mtupu Tee, hakuna kitu kinaumiza km kujifanya mashine ya kufatulia vitoto vya kataa ndoa..!! (Wanaume wapuuzi kuwahi kutokea) 😹

Mimi kwakweli bado nipo nipo sana, nitazaa nikijiona nahitaji kupata mtoto na mtu sahihi na sio kina kasongo 😹🤣🤣
Kuna rafikiyngu kanipigia juz anawatoti 3 na ndoa 3 zoote Chali anavotoa ushauri 😂😂😂nikasema huyu ndo kasongo mbona weo😂😂😂
 
Kuna watu ni wanafiki sana humu, kila leo tunaona nyuzi za matusi kwa wanawake waliozalishwa kabla ya ndoa ajabu leo mtu anatoa angalizo na kukumbushana tusizae kabla ya ndoa bado anapopolewa, jf na maajabu yake ndio kama hivi.
 
Ladies habarini za asubuhi, leo utani na masihara ya ushangazi naweka pembeni kidogo.

Nakusihi, tafadhali usikimbilie kuolewa na kuzaa. Chonde chonde, naona kuna nyuzi nyingi humu za kusakama wanawake wa over 30 na kuwaambia namna thamani zao zinavyoshuka kadri umri unavyozidi kwenda.

Hiyo ni perspective ya upande wa wanaume, ila kwetu kama wanawake, hakuna kosa kubwa utakalojutia kama kukimbilia ndoa na kuolewa na mtu ambaye si sahihi. Chukua muda kumfahamu mwenza wako na jitahidi kuolewa na mtu mnayeendana kimaadili, kiutashi na mwenye mapenzi ya kweli ili mkipata watoto wasiteseke. Kisaikolojia, inaathiri sana watoto kukua kwenye dysfunctional homes, nyumba ambazo wazazi hawana maelewano, upendo wala wababa hawashiriki kwenye malezi ya watoto wao. Kuna tafiti za kutosha kwenye hili na wengine waliotoka kwenye hizo nyumba za magomvi tunawaona humu kwenye mitandao wanavyobehave.

Usiogope kumuacha mwanaume kwa hofu ya kutopata mwingine, kama unaona dalili na tabia zisizofaa kabla ya ndoa, jua zitaongezeka mara 10 baada ya kuoana. Tunasikia visa kila siku vya wanawake wenzetu wanavyoteseka, ila tumenormalize sana madhila ya mahusiano mpaka yamekua mambo ya kawaida tu. Baadhi yetu tukiambiwa tutaje wanawake watano kutoka kwenye familia zetu au tunaowafahamu kwa ukaribu wenye furaha kwenye ndoa zao, tunaweza tusiweze.

Maisha yamebadilika, fanya uamuzi ambao ni bora kwako na uzao wako na si kwa sababu utaonekanaje kwenye jamii kama hujaolewa.

Ni hayo tu, nawasilisha!

CC:
Bantu Lady jannelle realMamy Joannah leo dada Qashy Lilith Lamomy

PS:
Yes, nimeishi kwenye ndoa na nina watoto. No, sitajibu maswali zaidi kuhusu maisha yangu binafsi.

📌Chukua nyuzi kama unaona inakufaa kama haikufai, achana nayo 📌.
Dawa yako ni Trump. Feminism itakufa tu
 
My point exactly. "My standards" not "life standards". Maisha yana standards tayari yalizokuposition hata ufanyaje hautaweza kuzibadili. Wewe unapanga ila maisha yanachagua pa kukuweka kulingana na tabia na mwenendo wako ambao ndio mwisho wa siku unakuweka standard fulani.

Unaweza ukawa unajiposition kama mtu wa kutaka vya gharama na maisha ya juu ila maisha yakakupeleka usipotarajia kwasababu ulikuwa unajipa standards ambazo hazishabihiani na matendo yako na mwenendo wako.
For sure,
 
Hivi kumbe nilikuwa mpk tagged 😻
Umeongea ukweli mtupu Tee, hakuna kitu kinaumiza km kujifanya mashine ya kufatulia vitoto vya kataa ndoa..!! (Wanaume wapuuzi kuwahi kutokea) 😹

Mimi kwakweli bado nipo nipo sana, nitazaa nikijiona nahitaji kupata mtoto na mtu sahihi na sio kina kasongo 😹🤣🤣
Take your time Momy, kila siku tunasoma nyuzi za "kataa ndoa ni utumwa"
Ila hao hao akina kasongo, unawakuta kwenye nyuzi za wanawake wanatema mapovu 🚮 🚮
 
Watu wanaoweka presha Kwa wanawake humu ni wale ambao maisha yao ya mapenzi ni vuruguvagara ndoa zao zipo kichwa chini miguu juu either wanamkosi kwenye mapenz Kila wanapogusa wanakula vya kichwa Sasa wanaona sehem yakuja kujifariji ni humu JF Ili wapooze mioyo Yao wanaanza kutoa habar negative kuhusu wanawake yaan mtu unaona kabisa huyu Kuna kichwa Cha chuma kimemkuta ndo maana anakuja kutoa povu
Kamwe Sito pelekeshwa na maneno ya humu ndan yaan hata wakitumia viongozi wa dini au vtabu vya din maneno yaoo sio sumu hayaui mtu
Mkuu kwa hiyo unataka Ndoa zao ziwavuruge na kujifariji wasijifariji yaani wapigwe then wasilie au sio?😄
 
Adui ya mwanamke ni mwanamke

Epuka sana ushauri wa mwanamke unmarried au aliyeachika, 30+ wengi ni feminists

Furaha yao ni kuona wanawake wengine au mabinti wanaharibikiwa

Wewe haujakutwa bikira inamaanisha ni malaya halafu unataka mwanaume eti mwenye maadili

Ndoa nyingi zinaharibika kwa sababu ya wanawake.

Hakuna mwanaume duniani aliyefanikiwa kumfanya malaya kuwa mke
 
Ladies habarini za asubuhi, leo utani na masihara ya ushangazi naweka pembeni kidogo.

Nakusihi, tafadhali usikimbilie kuolewa na kuzaa. Chonde chonde, naona kuna nyuzi nyingi humu za kusakama wanawake wa over 30 na kuwaambia namna thamani zao zinavyoshuka kadri umri unavyozidi kwenda.

Hiyo ni perspective ya upande wa wanaume, ila kwetu kama wanawake, hakuna kosa kubwa utakalojutia kama kukimbilia ndoa na kuolewa na mtu ambaye si sahihi. Chukua muda kumfahamu mwenza wako na jitahidi kuolewa na mtu mnayeendana kimaadili, kiutashi na mwenye mapenzi ya kweli ili mkipata watoto wasiteseke. Kisaikolojia, inaathiri sana watoto kukua kwenye dysfunctional homes, nyumba ambazo wazazi hawana maelewano, upendo wala wababa hawashiriki kwenye malezi ya watoto wao. Kuna tafiti za kutosha kwenye hili na wengine waliotoka kwenye hizo nyumba za magomvi tunawaona humu kwenye mitandao wanavyobehave.

Usiogope kumuacha mwanaume kwa hofu ya kutopata mwingine, kama unaona dalili na tabia zisizofaa kabla ya ndoa, jua zitaongezeka mara 10 baada ya kuoana. Tunasikia visa kila siku vya wanawake wenzetu wanavyoteseka, ila tumenormalize sana madhila ya mahusiano mpaka yamekua mambo ya kawaida tu. Baadhi yetu tukiambiwa tutaje wanawake watano kutoka kwenye familia zetu au tunaowafahamu kwa ukaribu wenye furaha kwenye ndoa zao, tunaweza tusiweze.

Maisha yamebadilika, fanya uamuzi ambao ni bora kwako na uzao wako na si kwa sababu utaonekanaje kwenye jamii kama hujaolewa.

Ni hayo tu, nawasilisha!

CC:
Bantu Lady jannelle realMamy Joannah leo dada Qashy Lilith Lamomy

PS:
Yes, nimeishi kwenye ndoa na nina watoto. No, sitajibu maswali zaidi kuhusu maisha yangu binafsi.

📌Chukua nyuzi kama unaona inakufaa kama haikufai, achana nayo 📌.
Mtaani huku wenzako wanasema kikubwa kavaa shela na kupigiwa tarumbetahata kama ndoa itakufa kesho yake.
 
Back
Top Bottom